Kazi nzuri sana Ndugu zangu Ila ingependeza zaidi tukiwa Na Swahili Moja Tu. Kati ya SWAHILI Yetu Ya Congo Na Ya Tanzania Tuchaguwe Moja Ambayo itakayo Kuwa Raisi Kwenye Vinywa Vyetu, Ila Kiufupi Mumepiga Atuwa Nzuri
❤❤❤❤❤tuta wasapoti sana❤❤❤❤❤tuna penda kazi hii. Mungu wangu acha niwa pongezeee saaaaaaaanaaaaaaaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 He wanawake❤❤❤ hutuuliza ahuna mwengine mwana mke una pendana❤❤❤❤ naye. Jibu sasa ni nani ambaye ana enda kununua nguo sokoni na yuko uchi😅😅😅😅😅😅😅 Na'wa na raha kweli. 😂😂😂😂😂
Courage d'avance Nyumbani kwanza kuna picha za huyu kijana Saidi ya zamani ilihenda kwajina la dorcas VIP nitapata Kwa Jia gani kitambo Sana hapa hivi musikati tena kazi nzuri Kweli vipaji vipo nyingi Sana ila wa Sposor ndo akuna
Pongezi sana kwa hatuwa hii, japo kuwa kuna madogomadogo yakukosowa nayo nikawaida kwakuwa mwanzo wote ni ivyo, nikikazia maneno ya profmirror kutumiya lugha za kwetu ni bora zaidi kuliko kuiga kiswaili cha kitanzania ambacho inaweza kuwa chanzo ya sisi kuhata hata mu misemwa, istoshe ki faransa kiwe kidogo kwakuwa lengo nikuinuwa asili yetu na lugha zetu... Tena pongezi zaidi na Mungu awabariki ili mufinge mbali zaidi, psy. Kudra