#nacha #jualile #stamina Audio produced by bear BEATZ Video by Director Kilonzo Location: TANDALE DAR ES SALAAM TANZANIA For Booking Contact: nachaousam17@gmail.com
“MATHAYO 6” Kuhusu kuwasaidia maskini 1“Jihadharini msije mkafanya matendo yenu mema mbele ya watu kusudi mwonekane nao. La sivyo, Baba yenu aliye mbinguni hatawapeni tuzo. 2“Basi, unapomsaidia maskini, usijitangaze. Usifanye kama wanafiki wafanyavyo katika masunagogi na njiani ili watu wawasifu. Kweli nawaambieni, hao wamekwisha pata tuzo lao. 3Lakini wewe unapomsaidia maskini, fanya hivyo kwamba hata mwandani wako asijue ufanyalo. 4Toa msaada wako kwa siri, na Baba yako aonaye yaliyofichika, atakutuza
To everyone reading this comment, sometimes it feels like you should give up and quit but, don't stop hustling, keep pushing and trust the process, believe you will actually make it to the top someday. Stopping is never an option. Stay blessed, strong and focused 🙏🙏🙏
Dah!! Huu mzigo nilikuwa nausubiria kwa muda mrefu sana tangu mkiwa mnaanza kuitangaza kuwa itatoka 20/3/2023 saa 3 Asubuhi,, Bonge la ngoma Aisee!!!!!
Idea ya hii video ni nzuri sana ...inaakisi maisha ya kila siku ya wakazi wa mijini katika usafiri wa daladala...Hongera Stamina,,,,video ipo halisi sana
❤❤oya nacha inabidi ujengewe sanamu kaka wew nimbaya like Albert mangwea... Kakaa😮😮😮wew sio poa.. yani tunapiga tuzo na music unapanda beii😂😂😂😂 like ata moja japo nimechelewa....