Shule mia tano zikikumbwa na tishio la kufungwa katika eneo zima la kaskazini mashariki kufuatia upungufu wa walimu, viongozi wa kisiasa katika kaunti ya Wajir sasa wametoa wito kwa watumishi wote wa serikali katika kaunti kuanza kufunza kwenye shule za eneo. Tayari naibu Gavana wa Wajir amejitolea kufunza kwenye shule moja ya upili katika kaunti.
Watch KTN Live www.ktnkenya.tv...
Follow us on / ktnkenya
Like us on / ktnkenya
20 сен 2024