For virgin women,the sexual experience is never that top notch.We get them when they are inexperienced while we are experts at it.The best to do as a man is talk her through the new experiences she is about to encounter,prepare her mind before action.It should not be about you as a man getting to your satisfaction,get to lead the two of you into satisfaction.
hakuna kitu kama hio mda yote ya ndoa kwani hajazoea the new experience kuna wanawake kama hao bro not that they are not prepared well pia mm n9ina bb kama huyo hata um preparee vizuri theyr like that
Jalas hawa wanaume ni fake sana .Yafaa waelewe hii kitu unaitwa family planning inatuchanya sana wanawake kuna inamfanya kuwa na mioto sana na wengine inkuzimisha aki . wewe kukuwa as kwanza kufungua katiba it's your responsibility kumfundisha kila kitu coz hajui siyo kuenda kwa wale gate zao zimeachwa wazi kwa kila mwanaume. Mpango wa kando.unajua anacheza na wangapi in different stiles.Umemkosea sana mke wako
Alex and Jalang'o, Kwenye makari hata ndege,inategemea power ya horsepower. Ukimletea bibi speed zako,ohoh. Usiwaze vile unatendewa kule inje,kapeto hutaka focus aisee!
Yeye ni daktari anaelewa hali ya mwili wa mwanamke akishajifungua na kuanza family planning vitu mob hutokea like hamu kurudi chini au kuongezeka. Anapaswa kuelewa aachane na mpango wa kando. Kwa sababu yeye pia akijifungua hatakua the same.
Mwakideu reminds me of my ex gosh he was there like alikuwa Ana take time for me waaaat? Lakini huyu bwana yangu Mara ooo Gari ya viauzi imeanguka kinangofu ooo wafanyi kazi wanamuibia ooh tutaonana jioni oooh ati morning glory si ni nyibo za sofa nkt 😂😂