Programu ya kujenga kesho iliyo bora kwa vijana kwa upande wa sekta ya Mifugo maarufu kama BBT-LIFE mbali na kujizolea umaarufu imeonekana kuwa suluhu ya changamoto ya ukosefu wa ajira inayolikabili kundi la vijana na wanawake hapa nchini na kwa kuwa linaweza kutekelezwa na yoyote mwenye nia, Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe. Daktari Yahya Nawanda aliiona fursa hiyo ya unenepeshaji wa Mifugo na kuamua kuingia kwa miguu yote……..
16 сен 2024