Leah Erasto hata sijui ni dating website gani umejiandikisha. Pia kama kuna vitu wameandika wao wenyewe. Kwenye dating website huwezi kuedit ukaweka yako mwenyewe lazima uchaguwe Kati ya walivyokuwekea.
Mbona rahisi sana kuingia kwenye RU-vid account yangu.tafuta mahali pa ku subscribe basi utaangalia video zangu zote. Number ya simu huwa sitting maana ni usufumbu ila unaweza kunipata Facebook
@@AshaMohamed-ib4le ikienda kwenye kulipia lazima ulipie ili uweze kusoma message zako ulizotumiwa na pia uweze kuwasiliana na watu. Unaweza kuwa ulipewa bure kwa siku chache tuu.
Jamani nimeweka links za dating websites zaidi ya moja. Ikikataa moja si unajaribu nyingine na kama ukikuta hakuna za free tena unatakiwa kulipia ni juu yako maana wewe ndiyo mwenye shida
A Selina, jamani yaani umejiandikisha hata hujawaangalia sana umeshaanza kulalamika? Watu hapo wapo wengi sana unafunguwa na kufunguwa na kufunguwa unataka kusema watu wote waliyopo hapo ni wa Singapore? Hapana. nenda taratibu. mimi mwenyewe kuwaelekeza nimesema nipo dar na wamekuja wengi tuu kutoka sehemu mbalimbali.
@@aselina5862 My dear sijui umejaza vipi ukiangalia hiyo video mimi nimejaza naishi dar es salaam. hiyo dating website ina watu wa nchi tofauti tofauti sasa kama mtu aliyekutumia hataki watu ambao wapo mbali na yeye haimaanishi watu wote wapo hivyo. watu humo wapo wengi.
Gee Phile nenda ubalozi wa Greece ukaulize au kama unaweza ku Google uangaliye kama wana website yao watakuwa wameandika jinsi ya kupata visa na unaombaje?
@@kubebazyron99 jamani hizi dating website siyo zangu so ukiamuwa kuingia kutafuta mchumba au rafiki inabidi ufate maelekezo ya hizo dating website. Kama dating website ni ya bure watakwambia na kama ni ya kulipia pia watasema bei na muda gani kama ni siku, week, mwezi au mwaka
Abraham Christopher napatikana Facebook kwa jina hili hili njoo unitumiye messege huko nitakujibu. Number yangu ya simu ni private yangu siwezi ku share na kila mtu.
@@Baraka52Shukuran-qj1qt wewe hijawahi kuangalia video zangu. Tembelea Kwanza usikilize halafu utajuwa. Kwenye dating website wakati wa kujaza utaona kama wewe mwanamke unatafuta mwanaume na kama wewe mwanaume lazima uchaguwe unatafuta mwanamke.
Mimi napenda sana kupata rafiki wa kike mzungu au hata wa kiume lakini si kimapenzi urafiki tu please dada niunganishe na rafiki yoyote huko jamani wa kuchati naye kubadilishana mawazo
Habar dada asante kwa elimu nzuri, hoja yangu kwamba mimi nafahamu kila hatua ya kujiunga na hizi app na hadi kulipia nalipia kwa tigo pesa shida ni kwamba ela inakua nyingi sana na hata ukilipia mfano elf 50 ukichat sms 5 au 7 unambiwa ela imeisha ulipe tena na bei wanaongeza hapo huwa navurugwa sana.
@@mwanasaidi9768pole kwa yanayokukuta tatizo lililopo hapa watu wengi wanafikiria hizi dating website ni zangu. Jamani hizi dating website siyo zangu. Na pia kwenye kutafuta kitu lazima utumiye pesa. Sasa mimi nimeweka kuwasaidia wanaotaka na wanaoweza kumudu. Weww ukiona huwezi kumudu acha tuu siyo lazima ila mimi hakuna faida yoyote ile ninayoipata kuwapa hizo dating website. Nimeona niwasaidiye kwa anayetaka kutafuta mweza, rafiki au mchumba.
Wizzy Liker angalia maelekezo vizuri kwenye video nimeelekeza na pia ikikataa unaweza kujiandikisha kwenye hizo nyingine nimeweka link 13 so haiwezekani zote ushinde kujiandikisha
Nimefika mpk kweny kuandika email lkn njia unayoenda wewe Ni tofauti n kweny simu yangu inanipeleka kwenye mambo mengine.. sasa hata sielewi chakufanya
@@gracekisenene1106email niliyoweka mimi hata siyo valid email na imekubali nimejaza mpk mwisho. Itakuwa umeshindwa kujaza ila sidhani kama email ni tatizo
Tumaini Pallanjo hizo dating website unaweza kukutana na ambayo ni free na nyingine ni za kulipia. Sasa hapo uamuzi unao wewe mwenyewe kulipia au kutokulipia.
Fatuma Hassan wazungu huwa hawanaga mahali kwenye ndoa zao ila unaweza kujmwambia kuwa mila zenu lazima ate mahali kama kweli kakupenda na anataka kukuowa basi unamuelekeza mila za kwenu anatoa ila utamaduni wa mahali wazungu hawana kabisa.
@@fatumahassani2015embu jiongeze kidogo yaani pasport yako wewe halafu yeye ndiyo akuombee? Inaonekana wewe umekaa kimaslahi zaidi. Usipoangalia huyo mzungu atakukimbia maana kila kitu unachouliza ni pesa pesa pesa ate mzungu tuu. Vitu vingine unatakiwa ufanye mwenyewe.kwani huwezi kuomba pasport wewe mwenyewe?