Тёмный

"NAMPENDA SANA PAULA, SIJAWAHI KUPENDA KIASI HIKI" - MARIOO 

Подписаться
Просмотров 243 тыс.
% 2 121

"NAMPENDA SANA PAULA, SIJAWAHI KUPENDA KIASI HIKI" - MARIOO
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: wasafitv || wasafifm
TWITTER: wasafitv || wasafifm/
FACEBOOK: wasafitv/
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Развлечения

Опубликовано:

 

14 май 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 130   
@DeboraKyembela
@DeboraKyembela Год назад
Ni vizuri mfunge ndoa ndio muanze kuishi pamoja. Lakini Nawashauri muokoke, mmpokee Yesu awe Bwana na Mwokozi wa maisha yenu nanyi mtakua salama.. Yesu anawapenda!!..
@debbylitina3480
@debbylitina3480 11 месяцев назад
Napenda hiii Couple, Mwenyezi Baba GOD aendelee kuwalinda.....
@shery-bf8xh
@shery-bf8xh Год назад
Marioo yuko in love bana nyiee achani makasiriko kila mtu anapitila na pia akuna mwenye hana ex ❤❤❤❤
@aselaabeli853
@aselaabeli853 Год назад
Waoooo couple yenuuu idumuuuu Sana mnapendezanaaaa❤️❤️❤️❤️
@user-gj2mm3ko8m
@user-gj2mm3ko8m 2 месяца назад
❤❤❤❤❤❤Paula mashallah .
@nahimagingo1289
@nahimagingo1289 Год назад
Mungu ayalinde mausiano yenu 🙏🙏🙏🙏♥️
@user-vx7ov2nc3v
@user-vx7ov2nc3v Год назад
Waah marioo sawa baba nakuombea mudumu asikumwage na ww cheza part yangu ikiicha mshikaj mwengne ataingia Kwa mechi paula tulia n marioo usiwe kama mpira Kila mtu anapepeta
@hajjiomary2383
@hajjiomary2383 Год назад
Kawaida sana na ndo maisha ya kibongo wanawake wetu tunawaburuza me namchukua nampa mshikaji wangu we unamchukua na wewe unampa mshikaji wako yani poa alafu bahada ya mda tunawakanyagia
@bakarikisuda4948
@bakarikisuda4948 Год назад
Maisha yakisanii nimaisha ya hovyo sana,,,
@christinajohn2256
@christinajohn2256 6 месяцев назад
Marioo usishindwe mkazie mtoto huyo akikukimbia utakuwa chizi kinoma mpe vitamu❤❤ paka ajione kwenye yupo peke yake nakukubali mtu wa show
@AnneMosandric
@AnneMosandric Месяц назад
Congratulations ❤
@salhamrishoi4943
@salhamrishoi4943 Год назад
Nampendaga uyu kaka wallah ❤❤❤❤❤
@witnesslaurent4817
@witnesslaurent4817 Год назад
Nawapenda sana marioo na paula
@irmgardsamia1827
@irmgardsamia1827 Год назад
😂😂😂😂 ah Yani Paula huyu huyu wakumpeleka hivi marioo 😂
@Bosco_manizzo
@Bosco_manizzo Год назад
Mariooo katekwa ,WE uledipu kbs🎉
@bigirumanalululouise4540
@bigirumanalululouise4540 Год назад
Baaad pau❤❤❤
@fatumasaidi2592
@fatumasaidi2592 Год назад
Wasanii wetu wa bongo hawana ishu zaidi ya hayo 😂 yani wanaboa🇨🇵
@ikouwasi7644
@ikouwasi7644 Год назад
mahusiano Jambo la kawaida hata huko ulaya wapo hivyo
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 Год назад
Sio wasanii wote wana mambo hayo wako walio makini
@marthiasmasasi5819
@marthiasmasasi5819 Год назад
Wah that's great you tow lovers
@stanleymartin2943
@stanleymartin2943 Год назад
Ila muacheni kwasababu hata akiachwa ndio ataandika vizuri kabisa kabisa kwenye nyimbo
@naomikyonike2359
@naomikyonike2359 Год назад
😂😂😂😂dah ila nimecheka ahahahahahahaha n kwel atuandikie vizur nyimbo za kutufariji ahahaha
@AsdDsa-fi5qk
@AsdDsa-fi5qk Год назад
Hhhhhhhhhh
@Mellissabahati137
@Mellissabahati137 Год назад
😂
@mariamshee934
@mariamshee934 Год назад
😂😂😂ukweli mtupu
@lulually5209
@lulually5209 Год назад
Marioo wewe kwa sababu sio handsome kumpata mtt mzuri km Paula lazima uchachawe kwa sababu hukutegemea
@assmamohd2876
@assmamohd2876 Год назад
Jmn 🤣🤣🤣pesa inamfanya mtu awe handsome bhna
@StelaDayran-lw1vs
@StelaDayran-lw1vs 7 месяцев назад
Marioo hicho chombo lazma uzdishe upendo ❤
@NasraKhamis-dk1ex
@NasraKhamis-dk1ex 6 месяцев назад
Vzr good
@user-el4fr2bn9i
@user-el4fr2bn9i Год назад
Dada Yupo Kazini Uyo atafuta Hela ..Ampede tuu ...Mwenye Mkono Mrefu Ndo anokula
@lulutweve3516
@lulutweve3516 Год назад
Mungu awalinde mweee mufike mbali
@assinaassina1177
@assinaassina1177 Год назад
Marioo nawapenda sana Allah awape killa lakheri
@salimmachila5736
@salimmachila5736 Год назад
Unaombea zinaa iendele kwa Mungu
@ShedrackMalatu-yc7dg
@ShedrackMalatu-yc7dg Год назад
Mungu awabarki mfunge ndoa
@SimonMdetemi
@SimonMdetemi 19 дней назад
Nakubali Mimi shabiki yako
@nanajoseph2356
@nanajoseph2356 Год назад
Napenda couple yenuu 😍
@AfroMedic
@AfroMedic Год назад
Wakiachana hii itakuwa vibu kubwaaa 😂😂😂
@user-yb1fz5wt2o
@user-yb1fz5wt2o Год назад
Nawapenda wote💕💞
@nadyndgfdg1926
@nadyndgfdg1926 Год назад
Marioo❤❤❤
@user-qq6mv6vh3e
@user-qq6mv6vh3e Год назад
Mario na paulla ❤
@rachelaisha5084
@rachelaisha5084 Год назад
Vizuri saaan Allah awa lindie penzi letu
@user-db7kr1tt6c
@user-db7kr1tt6c Год назад
Nyinyi wabongo acheni kuhadaika na Dunia kumbuken mungu ndyo Kila kitu siyo munapost upumbavu tu juweni Kuna mungu ndyo Kila kitu
@naazizimuniss989
@naazizimuniss989 Год назад
Abby girl acha utoto sasa unataka uone nini kwenye cm ya mario huamin basi mnatupotezea mb zetu
@SolangeAksanti
@SolangeAksanti Месяц назад
Apige mistari kali,ataweza paula
@uwimana940
@uwimana940 Год назад
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@sarahhassan9997
@sarahhassan9997 Год назад
Ayo mahusiano n ya mdaa TU
@fridhausmeju-gi6po
@fridhausmeju-gi6po Год назад
Woow .marioo usimuumze paula bac
@lulually5209
@lulually5209 Год назад
Thubutu yy ndio ataumizwa subiri uone
@nihadshighadi4095
@nihadshighadi4095 Год назад
@@lulually5209 alishaumizwa na mimi mars alipoenda kwa daimond,ashazoea
@mariamosaideabdo9953
@mariamosaideabdo9953 Год назад
Tó assistindo o programa direito de 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@nagrethcherles9199
@nagrethcherles9199 Год назад
Wasafi mnapenda mushenee
@Fc_mobile202
@Fc_mobile202 Год назад
good nice
@saidynkunya8656
@saidynkunya8656 Год назад
Duuuuh zamu yangu akitoka marioo
@chantalmwavita7402
@chantalmwavita7402 Год назад
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@user-xx6zf6xy5h
@user-xx6zf6xy5h Год назад
Mungu awalinde
@SandreAlhlwah-bv1cx
@SandreAlhlwah-bv1cx 11 месяцев назад
❤❤❤❤🎉🎉🎉❤❤❤
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 Год назад
Niitieni Baba Levo December inakaribia😎🙎‍♂️
@NeemaMaseke-wc9qi
@NeemaMaseke-wc9qi Год назад
❤️❤️❤️❤️
@ThomasMgeni
@ThomasMgeni Год назад
Marioo
@flinchclassic1531
@flinchclassic1531 Год назад
Kwaiyo marioo anamuita harmonize babamkwe sio
@husseinomary-dg1wx
@husseinomary-dg1wx Год назад
Hahahaha hao madem zao wakupokezana hahahah
@salamsabdullah-st9pt
@salamsabdullah-st9pt Год назад
❤❤❤❤❤❤
@RukiaSelemani-ye9xm
@RukiaSelemani-ye9xm Год назад
Uyo marioo mshamba
@winifridamutashubirwa6332
@winifridamutashubirwa6332 2 месяца назад
Mungu.alinde.penzi.lenu
@user-dw5pr8sh8k
@user-dw5pr8sh8k 17 дней назад
Paula usimfanye mtoto wa watu kuwa chizi mapenzi
@musaogira8375
@musaogira8375 Год назад
wasanii wa bongo washamba sana
@lindambilinyi6253
@lindambilinyi6253 Год назад
Aya na mkiachana usiache kuja fanya interview hpa😅😅😅😅
@FatmaMwinyi-jt2rr
@FatmaMwinyi-jt2rr Год назад
😅😅😅
@FatmaMwinyi-jt2rr
@FatmaMwinyi-jt2rr Год назад
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😊😊😊😊😊😊😊😊umenichekesha sana yaan
@muanashaswaleh5110
@muanashaswaleh5110 Год назад
Ikekua wewe watongoza Paula unge ficha Paula mzuri jamani
@sarhafrancis8824
@sarhafrancis8824 Год назад
💖💖💖💖👄
@lm6373
@lm6373 Год назад
Mario jichunge kwa paola na mama yake hao ni hatari kuwa kama Achraff hakiki
@user-dj1iw4qx6v
@user-dj1iw4qx6v Год назад
Mmependazan jaman
@user-kh2du4ww2p
@user-kh2du4ww2p 10 месяцев назад
Sisi tuliopitia mahusiano mengi tunaijua ihii ya mariooo
@wakhanucentrine3439
@wakhanucentrine3439 2 месяца назад
The BADDIES ❤❤
@gichimujef8806
@gichimujef8806 Год назад
Wasanii wa bongo mafala sana
@habbyhalawa5266
@habbyhalawa5266 Год назад
Mmbwa ww Siku ukiachwa n izo nyimbo zako z mapenz utaimb mwaka mzima bila kupumzika
@biashahassan9225
@biashahassan9225 Год назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@lm6373
@lm6373 Год назад
Mario jichunge na waizi kuwa kama Achraff hakimi
@hadjrahkhalfan3584
@hadjrahkhalfan3584 Год назад
Mmhhh pumbafu zako ww marioo bado una mapenzi na mim mars ila baada ya kukataliwa kule na ulivyo mbaya kuweka vipini puani kma mwanamke sas umempata paula apo kajikuta mwamba saaana mbwa wewee😅😅 nasubir siku utaachwa na hio team mother and daughter njo utatuimbia wimbo mzuri saaana tena kwa hisia za kweli hapana kuigiza
@PhilomenaSteven-tq2tx
@PhilomenaSteven-tq2tx Год назад
Mmm yetu 😮😮😮😮
@abuuabdillahtv8457
@abuuabdillahtv8457 Год назад
Zinaa mnaitangaza live
@naomikyonike2359
@naomikyonike2359 Год назад
Ahahahshahaha nmecheka sana yan ila weee kaka mungu anakuona
@mercysharrif8161
@mercysharrif8161 Год назад
😂😂😂😂😂weeeeh
@RukiaSelemani-ye9xm
@RukiaSelemani-ye9xm Год назад
Mama mtu ajielew mtt nae ajielew apo apo uyo marioo ankj ebu jitambue
@Younger_00
@Younger_00 11 месяцев назад
😮
@RamadhaniMapema-bm7cp
@RamadhaniMapema-bm7cp Месяц назад
Acha apende jamni
@mwezzireen17
@mwezzireen17 Год назад
Kiki tu🤣🤣🤣🤣🤣
@PurityUchi
@PurityUchi 3 месяца назад
Na ashatimiza
@juniormfikilwa
@juniormfikilwa Год назад
me nachekaga tu😂
@mrrajjy
@mrrajjy Год назад
Gisi ameanza kuja huko hakiamungu atabaki nawatu waukotu anaisha kupata upepo mkibiaha mniite lucifer nipo nawasubiria hanzeni kueaabia leo
@gloryemmanuel165
@gloryemmanuel165 11 месяцев назад
For life 😂😂😂 isn't which 😂😂😅
@allykisoma6512
@allykisoma6512 Год назад
Nkpnd sanapaula
@kassimahmed7937
@kassimahmed7937 Год назад
Keshazoea vizee mara hii machel ajiachie
@hidayaabdallah4291
@hidayaabdallah4291 Год назад
SI aliolewa au ilikua kiki sijaelewa
@rosemanase484
@rosemanase484 Год назад
Ilikuwani tangazo
@marysaituni4584
@marysaituni4584 Год назад
Hakuna mapenzi wala kupendana hapa stop fooling people.. anaependa wala hatangazi.. kwani mapenzi yamekuwa mziba?? 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@selemankishema5780
@selemankishema5780 8 месяцев назад
Unahaki manaake nae kakukubali bila kufanananae
@nzitogondwe9976
@nzitogondwe9976 Год назад
Ngoja wwkufilisi hao na mama yake na hapo mamaake nae utampenda
@georgekadaga
@georgekadaga Год назад
Uupuzi tu
@thewiseoptions6208
@thewiseoptions6208 Год назад
Bro ukiishiwa hela utaniambia.
@odenlwila8390
@odenlwila8390 Год назад
Asa we marioo si under dog tu wewe ndio maana imepagawa na paula rayvanny ana pendwa na hao wayu warembo usipime huyo paula kwani maye mrembo c kaibuliwa na vanny boy
@hassanbakari4525
@hassanbakari4525 Год назад
TAFUTA HELA UTAMBE,,,HATA HUYO HAKUWA HIVO
@aminamar2575
@aminamar2575 Год назад
Kiki iyo
@IssaMrisho-rd3tf
@IssaMrisho-rd3tf Год назад
Mfunge ndoa sasa
@invisibleguy-ct6mg
@invisibleguy-ct6mg Год назад
Unafiki tu😂😂😂
@victormbugobola802
@victormbugobola802 Год назад
Wasamiii wa bongo wanakiki za kijinga Tena wakisha sifiwa kuwa wamekuwa wakubwa nyooooo
@ashminaabdulla8946
@ashminaabdulla8946 Год назад
Mmmh bongo noma duh
@spencermwavita
@spencermwavita Год назад
Hakui kupenda MTU ety Na wakati ulee alikua akiimba nyimbo za kulia vile akiachwa atalia Zaidi hahaha mariooo
@josephinelwamlema7331
@josephinelwamlema7331 Год назад
Muongo anampena mimi mars huyo..ni kisasi tuu
@mathiasmanonga3939
@mathiasmanonga3939 Год назад
Uongo huo hakunaga mapenzi ya gafra hivyo yakadumu ngoja nyege ziishe na mihemko ya hisia ikate uone kama hayo anayoyasema kama yataoneka kabla hujmla demu unakuwa na maneno mengi matamu ili aingie king tu
@isaachayes9783
@isaachayes9783 Год назад
Toto jinga sana hili, unaenda date kicheche, vipi wewe dogo!!
@salmayusuph227
@salmayusuph227 Год назад
Umepelea Dogo kabisa
@nihadshighadi4095
@nihadshighadi4095 Год назад
❤❤❤❤🔥
@sumakijaji4547
@sumakijaji4547 Год назад
Wakwanza
@DCUTEMAHELLAHMAHELLAH-iw8wx
Aaaaaaaaaaaaah
@azizaabeid2055
@azizaabeid2055 Год назад
Mhhh kiki hizi huyu ninavyoona Mimi huyu Paula SI mwanamme wake isipokuwa ni kiki Paula kashachuwa chake mapema anawaachia wadadisi wa mitandao wamuongezee views hongera Paula kwa ubunifu wako mjini
@MapenziLawama-km6nq
@MapenziLawama-km6nq Год назад
Kwan jaman huyo anaehoji ni zuchu au ni nan? Kwaiy na yy anahoji?