Тёмный

NAPE ADAI HAKUNA WIZI wa BANDO, MUSUKUMA ACHARUKA, SPIKA TULIA AINGILIA 

Подписаться
Просмотров 280 тыс.
% 1 493

NAPE ADAI HAKUNA WIZI wa BANDO, MUSUKUMA ACHARUKA, SPIKA TULIA AINGILIA
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: wasafitv || wasafifm
TWITTER: wasafitv || wasafifm/
FACEBOOK: wasafitv/
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Опубликовано:

 

10 ноя 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 574   
@rehemamejja8342
@rehemamejja8342 Месяц назад
Spika mungu akupe.imani...usipepese macho...mbeya wanakutegemea
@papaadialoo
@papaadialoo Год назад
Nape nilikuwa naamini mwana mapinduzi lakini kwa hili, ameulizwa swali gumu, amejibu majibu mepesi mi sjamuelewa kabisa,
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 Год назад
Mh. Nape tunazungumzia bando si ticket ya kusafiria. Ukweli ni kwamba tunaibiwa wananchi. Utaratibu gani wa kuumizana na utaratibu unaweza kubadilishwa. Tusaidieni ndugu zetu wanaojali wananchi na Mungu awe nanyi tunawaombea🤲🏿
@einsteinmboje4730
@einsteinmboje4730 Год назад
Mhe. spika Nakuona Mbali Sana ,Ukigombea Urais Ntainuka Kukuombea Ushinde Ni Mwanamke Mwenye Misimamo Ya Kiume ,Hongera Sana
@amour5535
@amour5535 Год назад
Mm pia na nitajitolea kumtangaza popote pale
@maswamills3161
@maswamills3161 2 месяца назад
Yeeeeeeees ❤
@misanjolivigha2396
@misanjolivigha2396 Год назад
SPIKA UPO VIZURI SANA,TATIZO BAADHINYA MAWAZIRI WAKISHAPATA FURSA WANAJISAHAULISHA SANA kuwabwasingeingia bungeni bila sisi WAPIGAKURA walalahoi
@swedywamba5535
@swedywamba5535 Год назад
Nape kuna fungu lake katika mitandao ya kijamii sijaona akitetea wananchi hata sku 1 kwenye malalamiko ya mitandao
@zaytunhijja6771
@zaytunhijja6771 Год назад
Kabisa
@adorchmassimba4413
@adorchmassimba4413 2 месяца назад
Nilijiunga bado la wiki 1 nikaingia mtandaoni mida ya usiku nilitumia kama masaa 2 bado likakata nikatumiwa msg kua mb zangu zimekwisha hata mie nahisi tunapigwa kwenye mitandao nahakuna wa kututetea waziri mwenyewe anaitetea mitandao kua haiibi kunanini tena yeye hana shida nawala haimuasili kilichobaki kwa watanzania wanyonge ni mwenyezi Mungu tu atutetee Amin
@sadatistai575
@sadatistai575 2 месяца назад
mimi nilijiunga bando la mwezi,ndani ya siku 4, likawa limeisha.
@amiria.mustafa9859
@amiria.mustafa9859 Год назад
Sema spika, nakuombea pepo kwa allah, hakika unatutetea sanaaa na serikali yako unaijua sanaa🙏🙏
@besaevod7306
@besaevod7306 Год назад
Hakika tumuombee Tulia
@papaadialoo
@papaadialoo Год назад
Mbona Zambia bei Iko chini na makampuni ni hayo hayo, waziri tetea wananchi wako
@gulledhassan380
@gulledhassan380 Год назад
Wiziiiiiiii wakubwaa...Na Nape kwanzia kwa Magu nakutiliaa mashaka sanaa
@gametongwe3539
@gametongwe3539 Год назад
MWESHIMIWA SPIKA MITANO TENA NAKUBL 🔥🌏🚀🙏
@skateweaver
@skateweaver Год назад
Kabisaaaaaa
@juliusmhando4558
@juliusmhando4558 3 месяца назад
Hi likikatwa linaendaga wapi?
@emmanuelbonifas2804
@emmanuelbonifas2804 Год назад
Rip jpm mungu akupe raha ya milele yote haya uliyaona na ndio maana uliwablock watu kama hawa
@andrewmanaku
@andrewmanaku Год назад
Kweli kabisa ndio maana magu akumtaka huyu
@AdamFundikira-kk5oj
@AdamFundikira-kk5oj Год назад
​@@andrewmanaku ni majizi makubwa
@awadhally1052
@awadhally1052 5 месяцев назад
Kwel kabisa magufuli alikuwa hayataki haya majizi
@HASHIMUMKUNDA-pz1wd
@HASHIMUMKUNDA-pz1wd Месяц назад
Kwani magu si ndiye aliyewaweka hawa bungeni"
@gerry_macopper3808
@gerry_macopper3808 Год назад
Inasikitisha sana sana kuona waziri mwenye dhamana anasimama kumtetea muwekezaji ambaye anaibia watu wa Taifa lake, nchi ngumu sana hii
@Dolomitemusic
@Dolomitemusic Год назад
Tunaibiwa sana waziri badala akili kuwa atalifanyia kazi yeye nae Bado anawakingia kifua watu wa mitandao wanatuobia sana tumechoka paka tunamkumbuka baba etu magufuli angekuwepo angewanyoosha mana mama yeye nikama anawaogopa da,😭😭😭😭😭😭
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 Год назад
Kuna pesa wanapata hawa viongozi siyo bure wanataka ifike mahali GB1 iwe elfu 10
@kassimomar7589
@kassimomar7589 Год назад
Huyu my spika ana akili Sana
@bakarimhina4133
@bakarimhina4133 Год назад
Mheshimiwa Nape Asitetee Makampuni Pekee,Afahamu Makampuni Yanatuumiza Waziwazi. Haitoshi Mheshimiwa Nape Akumbuke Yeye ni MBUNGE WA KUCHAGULIWA Hivyo Asilale Kwenye Nafasi ya Waziri Pekee. (Kutekeleza Makato Bila Tangazo Halijabadilika Huo ni WIZI).
@flova7022
@flova7022 Год назад
afu unamuitaje mh wakati hajiheshimu Kaka...tunaumizwa Sana na wizara yake
@maswamills3161
@maswamills3161 2 месяца назад
Hajasomea mitandao labda.
@japhetdaudmaneno8440
@japhetdaudmaneno8440 Год назад
Jembe JPM mzalendo mwana Africa 🇹🇿💪🔥 lala salama
@emmanuelmasele9585
@emmanuelmasele9585 Месяц назад
Bunge hili Mh.Spika uko vizuri sana.
@misanjolivigha2396
@misanjolivigha2396 Год назад
Makampuni ya simu yaliyopo Tanzania YAMETUIBIA SANA WATEJA.Serikali itatetea kwa sababu inanufaika kwa TOZO kwa kila kona kutoka kwa WATANZANIA WALALAHOI.
@florencemwanansao834
@florencemwanansao834 Год назад
Huyu nape ndo maana alitumbuliwa Kwa mgufuri akili hana
@yacobosonda3843
@yacobosonda3843 Год назад
Spika unatupambania sana wananchi hongera
@rafaelikimati4276
@rafaelikimati4276 2 месяца назад
Mhe Spika hongera sana sana kwa kazi nzuri sana
@misanjolivigha2396
@misanjolivigha2396 Год назад
MAKAMPUNI YA SIMU inaelekea wanatoa cha juu sana kwa baadhi ya viongozi wa serikali , kwa nini huu mfupa wa hii wizara unakuwa mgumu kiasi hiki? SINA IMANI NA HII WIZARA.
@universaldesign4295
@universaldesign4295 Год назад
Always kk.
@gabrielmpanda9709
@gabrielmpanda9709 Год назад
Huo ni ukweli kwa 175%
@haruntongo6703
@haruntongo6703 Год назад
Kila.ariye.achwa.na.malehem..kwamba.hafai..hafai.kweli.
@ghostballcone531
@ghostballcone531 Год назад
Dada Tulia wewe ni bora kuliko Ndugai angalau unawabana hao wa 10,%
@Worldunite
@Worldunite Год назад
Rip JPM
@nsajigwamwakalonge5702
@nsajigwamwakalonge5702 Год назад
Nyie ni wezi shida watanzania wengi hawamjui adui yao
@everever2807
@everever2807 Год назад
Magufri kayafukunza huyu mwanamke kawarudisha
@amontv8628
@amontv8628 Год назад
3000 dk 55 G1 kweli dah wanaona tuna pesa
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 Год назад
Tatizo hata hiyo G1 inakwenda kama upepo...!
@hope30807
@hope30807 Год назад
Wanatuibia sana kwa kweli..mtu unaunga bando wanakata unaweka bando wanakata ukiwapigia cm wanakwambia tatizo la kimtandao ukiuliza mtanirudishia bando langu maana sijatumia kabisa wanakwambia hairudi ila tutakufanyia setting unga tena .😢😢wanatukosea sana Yan sanaa kwakweli hope one day nikuwe na pawa nisaidie wa Tz wenzangu
@hoseaseif6602
@hoseaseif6602 Месяц назад
Mbadilisheni kitengo waziri Nape sense wizara nyingine mama yetu Samia onamajibu yambunge wahabarinamichezo haleti ufumbuzi kuusu bando
@edwinjohn6334
@edwinjohn6334 Год назад
Watu kama wakina nape hafai kuludi bungeni tena ni watu wa hovyo
@alphoncekagezi4950
@alphoncekagezi4950 Год назад
Bando wananchi wananyonwa na mwenye nacho! Kodi mwananchi analipa kwa kila kitu hata mawasiliano analipia tozo ya bado ni kodi namba 2 kwa mwananchi inayotwa bada ya 1.kununua simu Kodi 2.Kupiga na kupokea au kuunga Internet ni kodi pia!
@huseinhamidu7367
@huseinhamidu7367 Год назад
Hili bunge laccm tu linatuumiza Sana kwakweli
@geja8708
@geja8708 Год назад
Mimi zantel wamenichukulia 2000 hadi leo sijapata bando wapa pesa haijarud, ukiwapigia kila siku wao FANYA SUBRA INSHA ALLAH
@user-pg6db8jl2y
@user-pg6db8jl2y 2 месяца назад
😂😂😂😂mm airtel walibeba buku yangu mpk sas wako kimy tu na simu yangu awapikei
@mozejcs9160
@mozejcs9160 Год назад
Huyu jamaa anafungu lake hko kwenye makapuni ya simu! Apaswi hata kdg kuwa kiongozi huyu mzee wa 10%! Hawa ni wapiga dili ndo maana mzeee aliwapiga chini
@herrysonk.edward609
@herrysonk.edward609 Год назад
Ndoto yangu ilikuwa kuiongoza nchi nlipenda sana kuishi kifalme niitawale na watu wangu na watoto wangu wapate nafasi za juu za uongoz niwanyooshe watu wanaopenda kutetewa maana mm sio mtetezi wa wanyonge mm napenda utajiri kuliko haki hata nchi ikikosa manufaa ilimradi mi namiliki mali mm hanihusu jmn si mtachagua nikigombea hebu gonga like kama unaniunga mkono
@elizalutiga6287
@elizalutiga6287 Год назад
Asante Mbuge wangu 💪💪💪
@rithaurassa
@rithaurassa 2 месяца назад
Uko vizur Mh. Mmbunge huo bado ni wizi mkubwa. Jee watu wadogo tufanyeje. kwa hiyo tuwaogope hao watu wakubwa?
@user-uq7kk4dw2o
@user-uq7kk4dw2o 2 месяца назад
Tumechoka sanaa wizi wa mitandao,ila majibu mtajibu kwa MUNGU,
@radojembe7347
@radojembe7347 Год назад
Asante kiongoziii boraaa
@Dolomitemusic
@Dolomitemusic Год назад
Magufuli tunateseka baba yetu uku duniani jamaniii daaa😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@petrofrank2805
@petrofrank2805 Год назад
Nape anajikanyaga kanyaga tuu,,,, et ni utaratibu,,, hebu watuambie tofauti ya utaratibu na sheria mbn ipo wazi sheria ni utaratibu sasa aseme utaratibu n nn hahahhahaa,,, TULIA ACKSON I NEVER EXPECTED THE WONDERS U DOING ON BEHALF OF US,,,,,,
@barakanestory3521
@barakanestory3521 Год назад
Mimi mwenyewe nikuweka Hela wanakata miambili Kila nikuweka,nchi hii Kila mahali ni shida!! Tunaibiwa sana!!! Kunashida kwa viongozi wetu!!!
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 Месяц назад
Tunaibiwa sana mpaka leo tunaibiwa sana. Na huyo Nape ndiyo aliye wasiliana. Haja tufanyia haki Voda kuna mahali. Kwahiyo sisi tupoteze pesa kila wakati.ninyi wakina Wizara na wzkina Nape wanapewa chao.
@wampukamackdonald557
@wampukamackdonald557 Год назад
Hivi nape ameajiliwa na makampuni ya simu au wananchi. Huyu yupo kutetea wananchi au makampuni ya simu. Naona Ni Kama baloz wa makampuni anaejibia makampuni, anatakiwa afatilie Ni nchi gan iliyoendelea yeyota ambayo unaweka muda wa maongez halafu bado Lina limi5 ya muda. Ulivyo kwa wenzetu hata nçh za Africa nying tuu, ukiweka kifurushi utapewa muda wa Dak. Kama Ni dakika Mia lakini hawakubani ziishe cku kadhaa, hauwez kumpangia mtu atumie masaa24 dak100 hapana umempa muda wa maongez hauna mamlaka ya yeye azitumieje. Nape hajielew kabisa Kama anajielew bas sio wazir wa nçh n wazir wa hayo makampuni.
@beatricekapandila5386
@beatricekapandila5386 Год назад
Rushwa ni adui wa haki
@tz4ever579
@tz4ever579 Год назад
Hata mimi namshangaa sana NAPE.Yaani yeye hayupo kabisa na Wananchi.Nadhani kuna anachokipata kwenye haya makampuni si bure.
@hosenimwelekwa5367
@hosenimwelekwa5367 Год назад
Hatuzungumzii teket nape tunaxungumzia bando
@jakisonedison5115
@jakisonedison5115 Год назад
L
@salehwaziri5062
@salehwaziri5062 Год назад
Ndiomaana kipindi chaJpm wapuuziwote nje
@emanuelchrisant8221
@emanuelchrisant8221 Год назад
Mnatuibia sana achana na bando hata ela zinazo baki kwenye muda wa maongezi.
@emmanuelmasele9585
@emmanuelmasele9585 Месяц назад
Hongera sana Mh. Francis.
@hoseaseif6602
@hoseaseif6602 Месяц назад
Saffi sanaaa spika wabunge kuhoji bando kwawananchi wanyonge wasiibiwe
@kenedynedy2615
@kenedynedy2615 Год назад
Waizii haooo pumbavuuu namtakufaaaa subili
@user-sz2ci8rd3l
@user-sz2ci8rd3l Месяц назад
Mh Tulia akili kubwa sana nakupenda mpk naumwa wallahi
@MbwanaKisoro
@MbwanaKisoro 2 месяца назад
Wale ndio walileta matatizo makubwa ktk nchi hii, kunamtu anaitwa Music's alimwambia Jpm hivi, ( nanuku ningekua raisi ningefuta hii mtu akiweka vocha anapewa nabando ) baada kamaya wiki ukatolewa huu utalatibu, matatizo mengi yaliaza apo ikiwemo kikokotoo
@daudpaulo2867
@daudpaulo2867 Год назад
Tunaibiwa Sana unanunua 1000 wanakupa 800
@charlowmathew9762
@charlowmathew9762 Год назад
Huku +254 unanunua ya 50bob ambayo ni libuku ya huko kwetu Tz ni unapata mb 600 24hours
@victaboy7273
@victaboy7273 Год назад
Nape yupo sahihi, ni utaratibu wa kibihashara. Kama soda, kila sehemu kuna bei yake na mtumiaji bila kulazimishwa anaridhia. Sema kwenye kupunguza mb ndio tatizo
@mahamoudduchi3318
@mahamoudduchi3318 Год назад
@@victaboy7273 yupo sahihi kwa lipi majambazi wa kalamu tu Hawa mbn kipindi cha magufuli walikua hawafanyi usenge huu Huku Toto Huku bando pesa hkn kz hmn shida tu mtindo mmoja
@victaboy7273
@victaboy7273 Год назад
@@mahamoudduchi3318 kaka nakuelewa, na pia hata mimi ni miongoni mwa wanao umia. Lakini kaka hebu twende sawa, mfano, kwenye kumbi za starehe au viwanja vya mpira, kuna VVIP, hii huduma siyo lazima. Isipokuwa mtu mwenyewe anaamua. Na pia hii mitandao inapunguza mabando kutokana na serikali kuongezea mizigo ya kodi na tozo. Sasa nini cha kufanya? Hamna cha kufanya kaka.labda maamuzi magumu kama nchi
@dodwiedwin3944
@dodwiedwin3944 Год назад
Nape c ndo wale wale wa mzoga group.
@neemamwasomola8663
@neemamwasomola8663 Год назад
Nape acha zako enzi za ujinga zilipita
@everever2807
@everever2807 Год назад
Tcclo hadi nimeitupa line mhuni huyo nape mwehu kabsaa
@neemahezron486
@neemahezron486 Год назад
Tunateseka sana na mabando yanatumia ela nyingi mno nawanakata balaaa uelew limeishaje
@swedywamba5535
@swedywamba5535 Год назад
Huyu si bure itakua anapewa pesa na makampuni ya simu mana anawatetea sana
@williammbuzimai5744
@williammbuzimai5744 Год назад
Nnauye mbona huna huruma na wanainchi wako!!
@stanslausmteme8455
@stanslausmteme8455 Год назад
Hili swala ni tatizo sn ni kweli kabisa
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 Год назад
Ayo makampuni ya simu kama hayawez yaondoke hapa tz Tushachoka kuibiwa ni mijizi tu nyie mashirika ya simu
@emmanuelreuben1863
@emmanuelreuben1863 Месяц назад
Si bora likae hizi siku 7 !!!!! Linakaa siku moja brother
@eltonmika2797
@eltonmika2797 Год назад
Nlikuwa nawaheshmu sana wasomi wa Tz, ila nlipokuja gundua kuwa nina akili kuliko wao, bado hatuna wasomi tuna watu wanaojua kusoma na kuandika, sijasoma lakini nipo bright kuliko waziri
@naswabulusambi9808
@naswabulusambi9808 Год назад
Hafai kazi hiyo mtukufu rais mtafutie kazi ingine
@kurumwagodfrey7052
@kurumwagodfrey7052 Год назад
Spika unaaaaakiiiliiiii sanaaaaaa spikaa
@eluidmorery6411
@eluidmorery6411 Месяц назад
Tunomba Maji na umme na barabar mkowa wa arumeru kijiji cha patanumpe
@ambelejames1862
@ambelejames1862 Год назад
Spika makini sana ktk Bunge hili Mbona waziri ni kama yupo upande wa makampuni hayo
@ibrahimamos6949
@ibrahimamos6949 Год назад
Ni kweli kbsa tunaibiwa na istoshe kwa nn iwe bando la wiki halafu Linaisha siku moja????mh.nape huo sio mfano sahihi acha kutuwekea siasa kwenye ukweli
@bestchanga3729
@bestchanga3729 Год назад
Huyu Waziri hayupo tayari kutete watanzania zaidi Sana yupo kimasrai katika kuwaibia wananchi, maana hakuna jambo lisilo badilika.
@ConnieJohn-ts9rp
@ConnieJohn-ts9rp 14 дней назад
Tunaibiwa sana jamani tena sana Nape umechemka hata hutetei wananchi wako? Mie nimechoka nawaza kuitupa simu bora nikae bila mawasiliano
@sautiyangu1
@sautiyangu1 Год назад
Wooow Wooow mh. Speaker 🙏🙏🙏🙏😁😁😁
@greenwellnsyukwe4729
@greenwellnsyukwe4729 Год назад
Hii nchi tumeizoea, wizi njemje wala hawaogopi na wala hawana Hofu ya Mungu.
@BIGBOSS-hl3bu
@BIGBOSS-hl3bu 2 месяца назад
Spika yupo vizuri mh nape badilisheni MFUMO wananchi tunapata pesa ktk mazingira magumu sana tuoneeni huruma na sisi ni binadamu
@peterjohn8405
@peterjohn8405 Год назад
Kwanini NAPE anatetea sana Makampuni ya Simu? Amechaguliwa kama waziri , ayasimamie yasituumize wananchi. Yeye anasimama upande wao kuona kama wako sahihi. Hawa watu wanaingiza pesa nyingi sana .
@leonardgodliver9043
@leonardgodliver9043 Год назад
Huyu mbunge ana akili sana...Good presentation
@kangaelias7782
@kangaelias7782 Год назад
Najivunia kuwa na kiongozi Kama huyu spika wetu wa jamhuri wa muungano wa Tanzania, sio Siri unafaa Sana Tena Sana Mama yangu, TULIA
@bahi_bay24
@bahi_bay24 Год назад
Hiyo wizara ni changamoto. Haisaidii kabisa wananchi... Ndani ya miaka miwili bando 1GB kutoka 1000 mpaka 3000 Sasa wao wanona kawaida. Da! Hatari kweli
@mariammosha2804
@mariammosha2804 Год назад
Ata miaka miwl haijaisha mpk ije kuisha 5 2talia nakusaga meno
@odenlwila8390
@odenlwila8390 Год назад
Uwizi upo sana hiyo mintory mkulima asie jua kusoma kijijini huko huyo huwa anaferi sana
@obedpeter6874
@obedpeter6874 Год назад
Wezi mno hasa bando kwa Sasa ukiweka 2000 wanakata juu kwa juu 500 du mitandao ya sim ni wezi sana
@JamesChrizestome
@JamesChrizestome Месяц назад
Tafautisha bando na mfano ulitoa wa kusafiri wapi na wapi? Tatizo mkishakuwa huko juu mnajiona mnajua kuliko wengine aise basi tu
@doctorz1954
@doctorz1954 Год назад
Ni kweli kuwa ni tatizo la ufahamau au ni kibri ya kuendekeza dhulma kwa faida ya binafsi. Kweli kwenye bundle za simu kuna wizi. Ukinunua LUKU unapata units za kiasi ulicho lipia. Lakini ifikapa mwezi mwengine zile units zilizo bakia huwa zipo kwenye Mita yako na utazitumia. Sasa kwa nini ninunuwe bando la wiki na ifikapo wiki hata ukiongeza kununuwa bando huunganishiwi kile kiasi ambacho hukutumia? WIZI KWENYE BANDO UPO.
@allymwilu8089
@allymwilu8089 Год назад
Yani magu alikua anamaana sana
@moseskomba7705
@moseskomba7705 Год назад
Ohfh
@kephasieto8105
@kephasieto8105 Год назад
Asante sana mungu akubariki
@kabulukimati
@kabulukimati Год назад
Mwizi.apigwe.mawe.adi.ave
@awadhally1052
@awadhally1052 5 месяцев назад
Kwel hawa watu wa bado niwizi mkubwaa
@PeterKisiongo
@PeterKisiongo 13 часов назад
Waaaah nice
@martinlazaro9344
@martinlazaro9344 Год назад
Na siyo hivyo tu baadhi ya makapuni haya yamekuja na mbinu mpya za kuwaibia watu kupitia bima kuwa wao wanadai ukipata tatizo mfano kulazwa nk wanakupa fidia ukiwa umejiuunga tayari lakini ukishakuja kupata hiyo shida ama tatizo hilo hawakujali kwa lolote na huku ushalipa malipo yao ya mwezi mmoja mpka hata mitatu wakati mwingine
@jafarisospeter8743
@jafarisospeter8743 Год назад
Tulia nimekukubali. Hongera kwa kulipigilia nyundo hilo
@neemamwasomola8663
@neemamwasomola8663 Год назад
Lakini uyy nape ajawahi kumhurumia mwananchi ata siku moja
@mwanaishaabubakar5013
@mwanaishaabubakar5013 Год назад
Ovyo huyu hana imani mkandamizaji siku zote. Hafai, lakini kuna mwisho wake ymekaribia.
@yusuphmohmedy9534
@yusuphmohmedy9534 Год назад
Yani muheshimiwa spika namuelewa sana kiswahili kinasikika vizuri hawa wasio muelewa sijui wanataka lugha gani
@besaevod7306
@besaevod7306 Год назад
Wanatuibia sana,Mpk nammisi JPM Mda wote
@MarthaTemba
@MarthaTemba 2 месяца назад
Safi sana spika kama vifurushi vya tv vinatunyonya
@benjaminsarakikya766
@benjaminsarakikya766 Год назад
Nape hayupo sawa na ninamshauri kwenye mswala ya kizalendo hayahitaji siasa unadhani kati ya simu na vocha kipi hapo ambacho kinastaili kuwekewa ukomo wa kutumika hapo jamani na kumbuka mtiriko wa matumizi ya muda wa maongezi na upo kificho kwa mtumiaji kuona unavyo tumika
@GeraldNyamaiswe
@GeraldNyamaiswe Месяц назад
Waziri Nape ameshindwa KABISA kutoa majibu yaliyo sahihi,yawezekana KABISA kuna faida wanazopata hawa ViongoziNape hufai KABISA jiandae Uwaziri ulipata Kwa kuwa ni Mbunge;dawa yako ni kukunja Kidole tu siku zaja hazigandi.
@kunyaobelela4062
@kunyaobelela4062 Год назад
Spika🎉🎉. Hawa mawaziri nahisi hawatoshi kwenye kwenye maeneo wanapofanyakazi. Wengi wao wanalack listening skills ndio maana majibu yao yanakuwa km kukurupuka hivi wanajibu kujidefence wao ila sio kujibu kilichoulizwa
@kawanga0073
@kawanga0073 Год назад
Kwan nchi nyingine wanafanya vp mpk wananunua MB kwa kiwango cha chino? bando lipande tu ghafla bila taarifa lkn wanachukulia poa wakt ss ndio tunaumia na wao wanatumia udhaifu wetu kwa kuwa wanajua tutanunua tu lkn sio fair km kuna jambo lipo ambalo linafanya kuwa hv wakae chin waongee na wasolve na serekali ifanye watu wake wasiendelee kuumia. Na kingine mpk mtandao ambao unamilikiwa na Serikali na ule wenye ubia na serikali pia bei zao km wengine , is not fair na viongozi wanawatetea hawa wanyonyaji na wenye tamaa mpk wanatupa mashaka km na wao wanapata chochote kitu kwny akaunti zao. #shushaBeiZaBando
@yuzotv458
@yuzotv458 Год назад
WIZI WABUNDLE UPO NA UHUJUMU UCHUMI WA WANANCHI.
@zaytunhijja6771
@zaytunhijja6771 Год назад
Mxiuuuu wazir wa ovyo kabisa kuwahi kutokea tanzania
@georgemassebu2083
@georgemassebu2083 Год назад
Mitandao ya simu ni majambazi tu, unawatetea kitu gani, wamekupa nini asee? Ni majizi bhana
@kulwankuba2785
@kulwankuba2785 Год назад
Wizi upo mkubwa Sana kwenye bando,mbona luku ikifikia mwisho wa mwezi haiishi unit naendelea kuona Umeme,halafu wamepunguza Sana hizo mb zenyewe.
@iddyjohn1032
@iddyjohn1032 Год назад
Huyu jamaa ni hovyo kabisa,1000 unapata dakika 40 na MB 350 kweli?????
@SudyMgeni
@SudyMgeni 2 месяца назад
Wezi Sana mamangu waziri mzushi.
@joycepeter5110
@joycepeter5110 Год назад
Wasieleze sana maana ni kuwaibia wananchi kwa faida yao hata ya mwezi wanaiba tuuuu ni wezi kama wezi wengine
@user-gp8qu5qz3q
@user-gp8qu5qz3q 2 месяца назад
Hata hivyo bando halina maana kabisa, kwani ukitumia kwa mfulizo , hata wiki halimalizi