Naipenda Imani yangu Katoliki sanaa. Asante kwa wimbo huu wa moyo Mtakatifu wa Yesu, Naukumbuka kwenye kuabudu, hasa hasa baraka ya kuabudu Sakramenti ya Ekaristi takatifu.
daa asee Asante sana kwa wimbo huu, hakika nimeutafuta kwa mufa mlefu sana Zaid ya miaka 2, maana nilikuwa cujui jina lake, lakn Leo mwez wa6 2022 nmesearch lahayo baht nzr nimeupata. wimbo huu uko na baraka ndani yake, na muimbji abarikiwe🙏🙏🙏
Kwakweli Mungu ni Mkubwa, katika uwezo anaowajalia watumishi wake...wimbo huu unainua nyoyo kwa Mungu katika tafakari tulivu, wimbo unaleta amani, furaha na upendo kwa jirani na kwa mtu binafsi...mtunzi ubarikiwe sana...😊😊😊
Kwa kweli wimbo huu ni wa zamani kidogo, lakini niliutafuta sana nikikumbuka enzi hizo, tukiimba wakati wa kuabudu Sacrament Takatifu... Hakuna unanisogeza karibu kwa Mungu..! Mungu Awabariki enyi Waimbaji