Forex tamu sana... Niwashukuru Godfather's of Forex TZ kutuexpose vizuri na hii industry @sir_Jeff @Clintz_Travellah @Elkana_fx. Japo bado tunasuasua but after years am sure Big boys/Sharks watashangaa kwanini pesa mingi inaenda Tanzania😅Vijana wa serikali ya awamu ya tano 😅iyo background music yenyewe... Cant wait for the next...
Nahitaji forex coach Kama Wewe. You are so determined, transparent, self-motivated and willing to disseminate your knowledge to others. Nakupataje mkuu?
Binafsi bado nasubiria kwa hamu sana ahadi yako ya kutufundisha namna ya kuanza biashara ya FOREX nimeandaa capital kila siku na chungulia RU-vid Please Jeff tunyooshee roho tuanze Ku Trade pia
Usianze na ku trade real kwanza ndani ya mwezi mmoja wa kwanza ukisha ona umeanza kuelewa anza kuweka pesa kidgo kidgo hakikisha unapata faida faida katika kiasi kile ulicho kiweka ndio uje u invest ukiweka mtaji mkubwa utakuja kuumia sana cha msingi bro anza kuweka pesa kidgo kidgo usianze kuweka pesa nyingi kwa mara yako ya kwanza mana mwanzoni lazima upate loss kwasababu kuna vitu unakua huvijui
Ili mtu ajue forex na awe na adabu anatakiwa ajifunze kwene real account kwa micro lot 0.01 hii itamfundisha emotional na kuku push kutafuta Elimina sahihi baada ya hasara
Jeff is unasoma hizi comments? Pls andaa darasa la beginners for few days. Hizi tunaziona you tube always but we are not able to enter the market. Think about it. Naona wapo wahitaji humu nawasoma
Bro sidhani kama Jeff anaeza soma ila sikwambii kwaubaya m mwenyewe nimwanafunz wake ila msg yawhatsap Leo sku yatatu. Labda uwe unamfatilia kwenye page yake Instagram kama atapost tena maana juzi kamaliza training ilivoanza j3 namm nilihudhuria
Bro imekaa poa sana! Nko nahitaji kujua zaidi about fx na naamini siko peke yangu so,ningeomba uone utaratibu ambao utaweza kutusaidia bro tunataman sana nasi siku moja tuwe watu wa kutoa ushuhuhuda abt fx confidently kama wewe🙏🙏
I LOVE YOU BRO I UNDERSTAND YOU WELL I HAVE BEEN IN THIS GAME FOR 5 YEARS NOW LET'S MEET JEF AND WE ARRANGE THE DARASA KWAAJILI YA WATU WASIOJUA FOREX KAKA NAOMBA NA NUMBER YAKO KABISA KAKA
Big up Bro Jeff...ila unazungumzia sana kuhusu kupata.......nahivyo unaweka ushawishi mkubwa wa watu kudhani swala la kutrade na kupata ......kuwa more transparent.....hii Forx trading ni sawa na betting au kamali yoyote zinavyochezwa......Risk ni kubwa lakini na faida pia nikubwa ukipata halikadhalika hasara nayo nikubwa ukikosa.......waeleweshe viajana wenzako wasije wajue yote ili waamue kunyoa /kusuka....hata palle lasvegar dar upanga unaweza cheza hizo na ukakopa kudabo pesa yako halafu ukapata pesa kubwa na kurudisha......USHAURI WANGU TU>>>Kama unamtaji wa kuazima au mdogo uliobaki dont risk kufanya hii Foex trading fanya kitu kingine kwanza halafu mega kidogo ujaribu na hii ya FD......ili ukipigwa ucife kifo cha mende....
Sir jeff si bora ungeanza topic one ya forex hadi topic ya mwisho. Na utupe softcopy books maana bro tumeshagundua forex ni bomba ila hatuwez kuifanya hatuna mtu wa kutuongoza . So ni bora tumalize forex kabisa bro kisha uende mada nyingine . Tujaze material za kutosha bro kuhusu iyo forex
Ila tamaa kila mtu anayo hata hao wanaotrade walkuwa mwanzon kama sisi tu but walisoma jinsi yakukabiliana nayo. Kitu chochote ukijifunza bila pupa tabia huwa inabdilika. Huitaji kuogopa
nashauri utengeneze video ukielezea watu kwanini uli fail mwanzo, na elezea margin call pia sio leverage maana leverage kubwa kwa new forex trader sio nzuri, forex inataka uzoefu pia sio elimu tuu
Motivational speakers Wa Bongo huwa wanaassume kila kitu kiko straight hakuna changamoto kitu ambacho siyo kweli, wakubwa fanyeni business hakuna kitu rahisi hiivyo, jamaa hata hii anayofanya anatumia flip chart, camera na You Tube Chanel zote hizo ni gharama, hakuna mtelezo, unaeza kukuta hata jamaa hafanyi yote hayo, msihadaike na lugha za kigeni mara Forex, Mara stock hivyo vyote ukivibadilisha katika kiswahili mambo ni yale yale... Tafteni pesa, no thing easy
Sirjeff nimekupata hapo kwenye leverage swali langu n hili inakuaje sasa mpaka mtu anachoma acc ikiwa ame deposit 100usd kwa leverage ya 1:300 ambayo n 30000usd?
Uelewek brother naona umefungua kupiga pesa tuuu maana kila siku unafundisha kipya umalizi. Ingia kwa walim wanaofundisha elimu ya ujasiriamali ujifunze
Si rahisi kama unavyosema, levarage hiyo uliyoigusia hapo ni upaga wenye ncha mbili, inakupa fursa ya kupata faida maradufu, na pia incase of a loss, inakuwa maradufu vile vile waeleze watazamaji uwezekano wakupoteza pesa zote na hiyo levarage upo.
@@bodybreading7778 Sijui kma ana uhusiano lkn kwa mtu kma Jeff nina uhakika atakua kufuatilia kwa undani na ameshapiga hesabu zake kma zina make sense and kwa uchambuzi wake nina uhakika tutajifunza mengi. Kilichonifanya niulize ni kwasababu nmeskia ametaja kuhusu multi level marketing (MLM) kwenye video.
Nawashangaa sana,ukweli ni kwamba jamaa anaeleza yake maana yy ameshafanikiwa,kasoma mjauu awez toa anavyotrade kamwe,ndo tatizo ya walioendelea awez kukwambia anavyopata profit,tunamwona mjanja
JEFF! How do you do? I had bean studying forex in you tube but till now! I'm not understanding! How I can start to entering to the forex market then! So my brother i have a some request for you! I need your help to teach me! This is my request for you my brother i hope you will! By your friend (KENT)! APPRECIATE TO YOU BRO!
Kaka jeff naomba msaada wako, nahitaji kujifunza forex na ninataka kumiliki biashara ya forex, naomba unisaidie kwenye mafunzo ili niweze kuanza kumiliki biashara, msaada wako tafadhali