Тёмный
No video :(

NDARO, MR. MWANYA WAMEMCHANA MAKAVU CHIEF GODLOVE ATOKE MAGETONI "NIMEKUTANA NAE LIVE HANA HELA!" 

Mbanga Tv
Подписаться 3 тыс.
Просмотров 20 тыс.
50% 1

Ni aibu! Mchezo wa Chief Godlove kutumia pesa feki tiktok umevuja na washkaji Ndaro na Mr Mwanya wamemchana makavu bila kupepesa macho.
Nimekutana nae Live hana pesa! Haendani na pesa anazoonesha tiktok!
Pia chief godlove ameamua kwenda studio na amesema ataachia ngoma yake hivi karibuni kwa hiyo watu wakae mkao wa kula.
#fyp #chiefgodlove #freemason #tiktok #ndaro #mwanya #mbao

Опубликовано:

 

22 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 33   
@josephmathias8341
@josephmathias8341 10 месяцев назад
Huyu jamaaa pesa anazo nyingi sana ,,,yan namanisha kwamba kama huna pesa huwezifanya vitu kama anavyofanya mwamba,,pesa anazo💪💪
@AllenHuncho-ji8sq
@AllenHuncho-ji8sq 10 месяцев назад
Kwel
@user-wn2gr1in7w
@user-wn2gr1in7w 10 месяцев назад
wew mwanya na huyo ndaro wote nnyiee n panya kwa huyu jamaa sis tuna muelewa sana chifu
@GodiGodi-im5wi
@GodiGodi-im5wi Месяц назад
akili auna tafta pesa alali
@Florisvevotz
@Florisvevotz 5 месяцев назад
Kuna wakati anazungumuza vizuri nakuna wakati anazinguwa
@ABDULKIPAGWILE-ke8ci
@ABDULKIPAGWILE-ke8ci 10 месяцев назад
Mwenye ela amsemi maskin zitaisha izo kumbuka misemo ya ndalo anasema yanamwisho
@zachariasaimon1448
@zachariasaimon1448 10 месяцев назад
chief goodlove ni kaline tunao ishi sasa hivi ambayo imebeba majivuno kwa kili mtu kwangu mimi sio sahihi kuonesha pesa zako sehem za media mitandaon ili kusudi iweje sasa kwangu mimi anakosea sana
@jebellwallace3509
@jebellwallace3509 10 месяцев назад
Huyo ndio mswahili,msaidie utakavyo weza lazima atakunanga
@aliymajala5678
@aliymajala5678 13 дней назад
🇹🇿🇹🇿
@saimongilala8938
@saimongilala8938 9 месяцев назад
Wewe ndaro na mwanya ni fala2 na hamuwezi maisha ya yuyo jamaa pia kama unaweza kuazima azima tuone bs
@deobabula1268
@deobabula1268 6 месяцев назад
🇹🇿 ni icho yenye fujo zisizoumiza tafuta pesa
@user-rw5wy1yw3f
@user-rw5wy1yw3f 6 месяцев назад
Mimi nimemuelewa sana Hii ni mbinu Moja ya juu ya kufanya watu wakukazie uangalifu na hivyo kuwa na followers wa kutosha!!!
@Susanumazi
@Susanumazi 10 месяцев назад
Huyu jamaa anasumbuliwa na ushamba sana
@user-jm9ir5di8p
@user-jm9ir5di8p 6 месяцев назад
Anakosea sana
@husseinbakari7008
@husseinbakari7008 10 месяцев назад
Toka apa Vimbao 😂
@jimmymucowimana9718
@jimmymucowimana9718 10 месяцев назад
Acha mambo zenu chef anapesa kabisa zakutosha muhacheni ujinga nahasira huyo jama niboss Sana
@faidhacute
@faidhacute 10 месяцев назад
Huyu pesa hana ila anaridhisha nafsi yake mpuuz
@user-yd1qo1kk8m
@user-yd1qo1kk8m 8 месяцев назад
Jamani watu waongee vyote lkn chief godlove hela anazo japo tuliona kibao lkn vp clip zake zote kuna vibaoo chief baba upige mwingi tu hakuna mtu anaeweza kupita njia yako iliokufikisha hapo hio ni siri yetu tusonge mbele
@user-jh4bi3th9t
@user-jh4bi3th9t 7 месяцев назад
Sasa ndaro unajilinganisha na chief wewe na mwanya ni makumakuma tu
@mariammariam6356
@mariammariam6356 10 месяцев назад
HUY MGANGA WA JADI AU MWANAMAZINGAOMBWE 😅MBON AKIITWA KWENY REDIIO YOYOT ANAKWEPA KWEND MUONGOOOOOOOO
@user-ws5sd8wf1t
@user-ws5sd8wf1t 10 месяцев назад
Mfano wamtumwenye PESA mtazame bakhresa
@user-zj1pw8tj1z
@user-zj1pw8tj1z 10 месяцев назад
Jamaa anafanya ualisia wa maisha yake ila wanadamu wapo kwajili yakumchafua mtu alie fanikiwa ili ashuke alipo anachokifanya godlove ni sahihi kwa ajili ya maisha yake respect blotter
@user-ch2it3qt5z
@user-ch2it3qt5z 10 месяцев назад
Nakubali Kaka...sema bongo wivu tu na rohoo mbaya tu inatusmbua
@sanchoMohamedi-bh3nf
@sanchoMohamedi-bh3nf 10 месяцев назад
​@@user-ch2it3qt5z😂❤😊2❤0
@user-zb2mj5nd5g
@user-zb2mj5nd5g 10 месяцев назад
kama kujishusha atajishusha mwenyewe nanyodo zake we mbele yamalofa kibao unaonyesha ukwasi , si watakuloga wandewa
@ABDULKIPAGWILE-ke8ci
@ABDULKIPAGWILE-ke8ci 10 месяцев назад
Mbwa hauna ela bwege
@AdrianoMwalupani
@AdrianoMwalupani 10 месяцев назад
Chifu niazime namimi vimbao natambe kwetu
@mariammariam6356
@mariammariam6356 10 месяцев назад
MUONGOOO HUYU BABU YAK GANI CHIEF WAKAT ANAENDAGA DHAMBIA KUNUNUA UCHAWI
@Zaikadena
@Zaikadena 10 месяцев назад
Kwel huyu ni kichaa
@habisnasalum-nz4zo
@habisnasalum-nz4zo 10 месяцев назад
Libaya lijitu lenyewe
@buchomillion4743
@buchomillion4743 10 месяцев назад
Dunia inakutesa wewe.wenye hela hawaongei.
Далее
NDARO NA MBONEKE UTACHEKA
8:52
Просмотров 208 тыс.
SHAFIICOMEDIAN NI MCHOYO 😂😂😂😂
6:39
Просмотров 33 тыс.