Shukrani sana sheikhe wetu Allah akulipe kila la kheri la shari Akuepushie tumejifunza mengi ktk mada zako mawaidha unayo tutolea Mungu akuzidishie umri mrefu na afya njema uzidi kutuelimisha
Barakaallahu fiyk Shaikh Kishki, Nawaurumia na kushangaa waumini yaani joto jingi yakaa fun hazitoshi au ni chache mbona wasitoe chochote waongeze fun zingine.
zaina Ally asalam alyum samahann naomba niulize swali eti kumuhimiza mtu kuhuswa swala je huyu muhimizaji anapata ambi na je mwanaume nae anahuzuru ktk swala samahann kama nitoka nje mada
Mashaalaah mawaidha mema sheikh kweli mimi niko iraq mkenya wa mombasa hawa Shia kweli waabudu hussein na Ali. Sijawasikia wakitaja mohamed wako tofauti sana
Assalam aleykum warahmatullah wabarakatu sheikh mimi nilitolewa bila idhini yang mwenyewe na mwanaume nisiye mpenda na wazazi Wang wakanilazimisha kuolewa nae 😭 baada ya mwezi mmoja nilimtoroka yule mwanaume na kutoka kwake lkn wazazi Wang walinirudish tena kwake nilikuw simpendi yule mwanaume hata kidog kbs n wazazi Wang wakawa wananilazimisha kuishi nae n sitaki kuishi nae nakuomba unisaidiy jinsi ya kufanya ss iv mwaka mzima umesha eneya bado t nalazimishwa kurudi kwake lkn sitaki nakuomba unisaidiy je naruhusiw kutafuta mtu mwengine ili aje arudishe mahari yake kwasababu nilikuw sija zaa nae ili anipe talaka 🙏
Sheik mimi nauliza mumewangu alisafiri kwwnda saudia lakini alipfika huko akaowa nilipomuuliza akasema ameshindwa kujizuiya nitatulie hili swala sheik je ndoa yao imeswii
Sheikh naitwa rukia nataka kukuuliza je km mwanaumke alieachika Mara Kwanza na tena anataka kuoleka Ni lazima babake hatoe ruhusa ama n yy mwenye anaweza ama Ni mpka ethini ya baba ten na ameachika 🙏🙏 jibuni tathafadali sababu ukuna shida hapo
Nina miaka 27nliolewa na mume wangu wa kwanza tukaachana lkn akakataa kunipa talaka Nina miaka sita sai.. nkapata mume mwengine akataka kuniowa lkn nkamwambia mm sjaachwa akasema ntakuelezea kadhi.. Basi alikaa akasema kadhi kakubali lkn kusema kweli hakumwambia kadhi ndoa ikapangwa tukaenda kuozeshwa lkn katika Ile married certificate ikaonesha kuwa mm sjawai kuolewa kusema kweli alimdanganya kadhi .Je ino ndoa yaswii .. Wallai Sina Raha naona Kama namkosea mola wangu.. jmn nielimisheni
Je ndoa ya bila sheh nimeolew kwaanzima mahali yangu sjapew ndoa kafungish Babu kamuulz mwanamme umekubal kajibu ndiy kaulizwa mwanamk kajibu ndiy akasema ndoa imeshapita hakun shehe pesa ya Mahal sijapew hakun Chet Cha ndoa he it nindoa kwel au sikwel
Shehe mimi nilibadilisha din kwaajili ya mume wangu tukafunga ndoa sasa kuna ndugu yake hataki mimi niishi na ndugu yake huyo anamtuma mpe talaka huyo mwanamke je nielimishe hapo maana siijui din vizur hichi kitendo kinafaa kweli
Asalam aleikum warahmatullah wabarakatu samahani naomba kujua mwanamke aliyevunja eda ya kuachwa aeza kuolewa ama mpaka arudie eda yake upya licha ya miaka kadhaa kusonga
Assalamu Aleykum. Naomba unisaidie jambo, kuna rafiki yngu kaolewa ndoa ya kiislamu ila walipo pata mtoto mume akataka mwanae awe mkristo je? Hapo kuna ndoa kweli au.