Mm nimeota sijajua ayo ni mabwawa au ni madimwbwi maana cijaielew kuwa kulikua na watu weng wanaoga na mm nikawa nachezea tu ya maji baada ya apo wote wakaondka mala kaja kijana moja akasema nikoge nayeye akakoga basi namm nikafanya ivyo gafra tu maji yakakauka nikadumbukia kwenye matope yakanipata mkononi kwenye kiwiko pekee sasa sijui inamaana gani
assalaam alaykum mimi shekh niliwai kuota nimetokezea kwenye mto maji yake ni meupe yatiririka na mle ndan yake nkawaona samaki wanakimbia huku na huko maama yake nini?
Nini maana ya kuota upo mazingira ya chooni , tena hicho choo kishafu sana tena mirango yote hipo wazi na arufu Kali sana ndani ya hicho choo. Pia Nini maana ya kuota uliefuatana nae unamtuma achukue maji hayo Kwa kutumia dumu.
Je Kama mm hapa nliota MTO lakin nliona watoto wakiogelea lakin Maji hayo yalitaka kuwachukuwa uzuri wakatoka Na kuelekea sehemu nyingne huku mwanamke mwngne akiwa anawafuta kuwachukuwa lakin hakuwafkia
Shekhe asalam aleikum. Mm nimeota nimetaka chukuliwa na maji lakini nilipambana nikatoka baada yakutoka yalikuja maji mengi sana yakapita kias kwamba nngkuwepo ningechukuliwa maana ya hii nn????