Amen amen Asante Mtumishi niliota naona viato vingi mahali pana wene wanavaa zakwao ila mimi nikawa natafuta namba yangu si kupata yaku nienea mana yake nini Nisaidie ili ni elewe
Kuna utayari unautafuta kwa eneo au kazi au urafiki kati ya watu ili uwe na watu wengi,au uwe miongoni mwao. Unajulishwa sio sehemu sahihi kati ya hao watu au marafiki kufanana na wewe hapo wanachokifanya au (kukivaa kiatu ni utayari.
@@GodfreyMwalongo-yg7tq Bwana Yesu asifiwe Mtumishi kutokea na iyi tafsiri nikifatilia ndoto ilio Fata nimeona mwenzangu kwa kazi kataka nikojolea ila mukojo wake hukunipata Badae aka kuwa jiwe kunirushia kwa kicwa nikaona nikajiwe kadogo sana hata akawezi ni fanya kitu mana ake nini Nisaidie Mtumishi
Kukukojolea, alitaka afanikiwe kinyume kwa kukufanya upoe au upooze usiwe bora kuliko yeye, akaanza kutupa kajiwe, jiwe ni maneno ataanzisha ila wewe utaona ni madogo nguvu yake.
Mtumishi nimeota kwamba nilikuwa nipo na wanafunzi wenzangu,kuna mahali tulitakiwa kuingia ila tulitakiwa kuvua viatu,wakati wa kutoka sikuviona kbsa Kwa sababu ya giza,basi kuna watu wakaniazima viatu sandros chakavu nikavaa na kuondoka,ila moyon nikiwa nasema nitarejea kivitafuta tena kesho, hii ndoto ina maana gan
Umebadilishiwa utayari ili usipende tena kuendelea na masomo kwa sababu ya mambo ulokuwa huyaelewielewi(giza,na watu walokubadilishia viatu vibovu, ila Mwombe Mungu utapata viatu vyako.
Bwana yesu asifiwe kuhani wa bwana,nimeota mwanaume ameingia dukan kwangu akaiba hela eti nikamkimbiza nikachukua jiwe kubwa nikampiga nalo lkn hakunirudishia pesa akakimbia,maana yake ni nn mtumishi
Mtumishi mi nimeota kunawatu flani wenye wadhifa wamekuja mchungaji anahofu akaitajika mtuwakuongozana na mchungaji kwenda kwenye hicho kikao mimi nika chaguliwa nimejiandaa navaa viatu vinakaa vibaya vingine havinitoshi nimejalibu kuazima havinitoshi naangaika kutafita viatu na mdaunaenda mpaka naamka sjapata viatu naomba nisaidie maana yake nini?
Kutembea umefumba macho, ni hali ya kutotambua mambo yalombele yako na yatakayoupata ulimwengu alosema BWANA YESU mwe macho ni kukesha au kujiombea YESU anasema maana hamuijui siku wala saa ya kujiliwa kwenu, pia kufumba macho ni sawa kwenda gizani. Unakumbushwa uwe unaomba kimoyomoyo hata kama anatembea.