Тёмный
No video :(

NGUO NA NDEVU ZA MTUME MUHAMMAD UTURUKI ! 

KYATA Online
Подписаться 2,6 тыс.
Просмотров 13 тыс.
50% 1

Uturuki ni moja ya mataifa makubwa ulimwenguni ambayo huwavutia watalii kutoka katika pembe zote za dunia.
Miongoni mwa vitu ambayo huwavutia watalii ni vitu vya kale vilivyoachwa na himaya tofauti zilizotawala dunia.
Katika makala yetu tumetembelea jumba la makumbusho la TopKapı mjini Istanbul, kuthibitisha au kukanusha kile ambacho kimeenea katika mitandoa ya kijamii kwamba mavazi na vifaa tofauti vya Mtume Muhammad vimehifadhiwa katika jumba hilo ambalo linapatikana mjini Istanbul.
►Subscribe to KyataOnline on RU-vid : bit.ly/3dMAX0l
►Follow KyataOnline :
/ hamimkyata
/ kyataonline
/ hamim_kyata_
Production : - Kyata Online @kyataonline
- Eloi B.
Executive Producer : Diaspora Visuals @diaspora_visuals

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 54   
@josephchris7043
@josephchris7043 9 месяцев назад
Nyinyi mnapiga kelele tuu mwenzangu anaizunguka dunia kwenda kujionea kwa macho yake alafu mnamtukana kweli hakili zenu ni mbovu sana
@irakozeshemsa8260
@irakozeshemsa8260 9 месяцев назад
umeona na wewe
@serengetinationalparkintan7418
@serengetinationalparkintan7418 3 года назад
tunashkuru sana kyata online zidii kutuelimisha kwa yanao jiliiii uturuki
@mwavulakairuki9727
@mwavulakairuki9727 3 года назад
hakuna lolote hapo
@serengetinationalparkintan7418
@serengetinationalparkintan7418 3 года назад
@@mwavulakairuki9727 weee aca kabisa mavazi yake kama muhindi wa kusini
@osmankapitula617
@osmankapitula617 3 года назад
@@serengetinationalparkintan7418 hahahhahha
@kyataonline5262
@kyataonline5262 3 года назад
asante sana kwa shavu msela wangu!
@FarajiMaulidi-qe5jf
@FarajiMaulidi-qe5jf 11 месяцев назад
Hakuna upuuzi kama huo waislam sio wapuuzi kiasi hicho wadanganye wapuuzi wenzio. Walghiyadhu bi l, lah
@kyataonline5262
@kyataonline5262 10 месяцев назад
asante kwa comment yako
@jamalkisuse7508
@jamalkisuse7508 10 месяцев назад
Upuuuzi tu
@kyataonline5262
@kyataonline5262 10 месяцев назад
asante kwa comment yako
@osmankapitula617
@osmankapitula617 10 месяцев назад
wewe ndio mpuuzi
@user-sk1bp7gq8v
@user-sk1bp7gq8v 10 месяцев назад
Yesu kwetu ni mtume kma wengne af chunga maneno yako maandazi ww
@kyataonline5262
@kyataonline5262 10 месяцев назад
asante kwa comment yako
@osmankapitula617
@osmankapitula617 10 месяцев назад
kwa hiyo ?
@farideyilmaz1234
@farideyilmaz1234 3 года назад
ndio
@khalfansharji-ez7pg
@khalfansharji-ez7pg 10 месяцев назад
Upuuzi mtupu mfano wa binaadam wa kwanza kuwa fuvu lake liligunduliwa na mzungu tanzania ujinga mtupu!
@kyataonline5262
@kyataonline5262 10 месяцев назад
asante kwa comment yako
@osmankapitula617
@osmankapitula617 10 месяцев назад
wewe ndio mpuuzi
@khalfansharji-ez7pg
@khalfansharji-ez7pg 10 месяцев назад
@@osmankapitula617 we ota ukizinduka utajua
@ramadhanmasiku4105
@ramadhanmasiku4105 10 месяцев назад
Safi lkn ungejarbu kuuliza wenyej ndo utupakulie nasi unaposema hapa "pamezungushiwa uzio pana historia yake" mimi ckuelewi
@kyataonline5262
@kyataonline5262 10 месяцев назад
asante kwa comment yako. Tutalifanyia kazi ombi lako
@jumamagesa2618
@jumamagesa2618 10 месяцев назад
Tena acheni ujinga wenu huo
@kyataonline5262
@kyataonline5262 10 месяцев назад
vinapatikana kwenye hili jumba la makumbusho , mimi nikufahamisha tu mzee Juma Magesa !
@user-vg6gp3bz1f
@user-vg6gp3bz1f 11 месяцев назад
Acheni ushenzi Mbona hamjatuonyesha izo nguo
@kyataonline5262
@kyataonline5262 10 месяцев назад
skiliza nanichoongea acha kukurupuka ili uelewe !
@osmankapitula617
@osmankapitula617 10 месяцев назад
hukuskia anakwambia bado hawajafungua kipindi hiko
@osmankapitula617
@osmankapitula617 3 года назад
haya tunajiandaa kuja kutembelea huko
@kyataonline5262
@kyataonline5262 3 года назад
karibu sana ! ila usije bila chanjo!
@abdulbonomali6548
@abdulbonomali6548 11 месяцев назад
Makafiri wakubwa nyie nguo za maswahaba mtaziona nyie hayo makaburi yao hamjayaona jahannam ni makazi yenu
@kyataonline5262
@kyataonline5262 10 месяцев назад
asante kwa comment yako
@osmankapitula617
@osmankapitula617 10 месяцев назад
matusi nyie !
@Alkaburu
@Alkaburu 9 месяцев назад
Hiyo ni tabia yako Binafsi sio tabia ya uislamu kuwajibu watu kama ulivyo fanya Mtume Muhammad S. A. W. Ametukataza
@user-fi8jc6jj6y
@user-fi8jc6jj6y 9 месяцев назад
Ulitakiwa kuongozwa na mwenyej akuelekeze sio ww mgen unamaliza mb zetu pumbav
@ubamarsu2751
@ubamarsu2751 9 месяцев назад
umeitwa kwani ?
@user-te8yg7pd2k
@user-te8yg7pd2k 10 месяцев назад
Ulikuw wakati huo ww ht wasumlia upuuzi ama mtume kamuona n nguo Hz wanafki nyinyi Allah walaani duniani mpaka kesho akher kw kumtaja mtume mhammad kw ujinga
@kyataonline5262
@kyataonline5262 10 месяцев назад
asante kwa comment yako
@osmankapitula617
@osmankapitula617 10 месяцев назад
kwa nini mnapenda kutukana !
@samoramussa5336
@samoramussa5336 10 месяцев назад
Mkisikia muhamadi munachachamaa kama jina lake lingeweza kufukuza majini kama la yesu kristo ingekuaje?
@kyataonline5262
@kyataonline5262 10 месяцев назад
asante kwa comment yako
@RayanDai-fr7ks
@RayanDai-fr7ks 8 месяцев назад
Ndio maana Ni Mtume wa Mungu tena wa mwisho tena chunga ulimi wako huyo unaemwita yesu ss tunamjuwa ni mtume wa mungu tena tunamiheshimu sw
@FarajiMaulidi-qe5jf
@FarajiMaulidi-qe5jf 11 месяцев назад
Acheni upuuzi. Mtadhalilika nyie ,,,...
@osmankapitula617
@osmankapitula617 10 месяцев назад
mbona wajinga sana ! kila kitu huwa mnaona tatizo
@AshaSaid-gy2tg
@AshaSaid-gy2tg 10 месяцев назад
Inna lilahi waililay rajiuun kafiri mkubwa unatafut rizk ya haramu😂
@kyataonline5262
@kyataonline5262 10 месяцев назад
vinapatikana katika jumba hilo la makumbusho ambalo lipo mjini Istanbul
@habibakhalfan1065
@habibakhalfan1065 10 месяцев назад
Uongo_mtupu
@nixonmwanguni3094
@nixonmwanguni3094 10 месяцев назад
Upuuzi MTU huo
@kyataonline5262
@kyataonline5262 10 месяцев назад
haya asante
@osmankapitula617
@osmankapitula617 10 месяцев назад
kama wewe
@karimdaud3993
@karimdaud3993 10 месяцев назад
Huyu kafiri inaonekana
@ruzedukajacques8885
@ruzedukajacques8885 10 месяцев назад
tembea uone wewe acha ujinga ! huyo yeye anakuonesha kinachosemwa kuwa kipo katika makumbusho ya Uturuki.
@saidmhamedsimba4720
@saidmhamedsimba4720 10 месяцев назад
Mpumavu wewe
@kyataonline5262
@kyataonline5262 10 месяцев назад
asante kwa comment yako
@osmankapitula617
@osmankapitula617 10 месяцев назад
afu wewe je ?
Далее
JE WAJUA: Miujiza saba ya duniani
3:05
Просмотров 541 тыс.
NAGONGA KOKOTO
10:48
Просмотров 434 тыс.
Kaburi la Bibi Khadija Aleyha Salaam
9:32
Просмотров 74 тыс.
EPISODE; 87 MTUME MUHAMMAD S A W ALIHIJI MARA NGAPI  ?
32:45