“Nina Imani kwamba Lonare atawatoa wananchi wa Matuo katika mchanga wa moto unaowauguza. Hotuba ile haikuwa maneno ya mkahawani, ilikuwa hotuba iliyosheheni busara ya mtu anayejali watu wake.”
a)Weka dondoo hili katika muktadha wake. (Al. 4)
b)Onyesha mbinu mbili za kimtindo katika dondoo hili (Al. 2)
c) Thibitisha ukweli wa kauli kuwa wananchi wa Matuo wamo katika mchanga wa moto unaowaguza. (Al. 14)
12 окт 2024