Asalam alykumu warahamatulah wabarakatuh shekhe wetu asante sana kwa mawaidha mazuri na nikusikilza vizuri kuhusu malezi ya watoto ss wazazi hasa kina mama je shekhe mm mzazi wa kike ambaye nimechukua majukumu yote ya kulea watoto na hapo inabidi mzazi huyo wa kike ukatafute mbali na watoto kwa kuwa mzazi wa kike ndo kama ulivo sema ss ndo tutaulizwa vip nimewalea watoto na nikaamua mfano kuja kutafuta mbali na nchi yangu lengo nipate pesa kwa ajili nilee watoto wangu, na baada ya hapo kukatokea mtihani baina ya ss wazazi wawili lakini lengo la mm mama nikutafuta kwa ajili ya watoto je nani atakuwa na kosa mbele ya Allah? Ikiwa mm mama natafuta kwa ajili ya kuwalea watoto wangu watoto niwapeleke kusoma eliim ya akhera na yadunia na mzazi wa kiume kashidwa na majukum yake