Muone huyu rafidhwaa shia sura imepauka kwaajil ya kuwanafikia maswahaba wa mtume, et anamraani shetwani wakati wemwenywee shetwani kafiriiii mkubwa wew
Hujifahamu hujitambui hujielewi Vitabu vya tarekh vimenukuliwa kwa watu kama sisi Unahakika gani kila kilichoandikwa Kiko sawa ?? Katika majina ya wanafiq alokabidhiwa Abdulrahman bin awf Jee jina la unaemtuhumu lipo?? 😂😂😂😂😂😂 Ww ni nanini hata umlaani ?? Bonzo wajifanya wajua kumbe ni sawa na vumbi lakina bacho 😂😂😂😂😂😂
Kuna mijitu mingine bwana sasa kumuelekeza rafidhwaa bachu anaingiaje hapo au unachuki na bachu arafu jifunze kutamka majina ya watu vzr so bacho ni bachu mpe heshima katika jina lake hata kama amekukaa kohoni hapo kwa ubaya ni bachu sio bachu kajifunze vzr lugha ndo utamke majina ya watu, kutamka jina linakushinda hayo mengine utaweza😂😂😂
@@AbdulIssa-o7e Limekuingia likakuchoma na ndivyo ilivyo Unapoelewa na kutahamu unachoambiwa lazima likuunguze moyo Tofauti ya huyu golo shafi na bachu ni lipi?? Wanawaongelea waliotangulia mbele ya Allah bila kujali Heshima zao Fadhila zao Hivi lau anatokea mtu anamuongelea babako kwa ubaya na utovu wa nidhamu Utafurahiya??
@@AbdulIssa-o7e Bachu alipotajies ibnu ttaymiyah Kaja juuu kumtetea Anajisahau yakuwa yeye aliwasema wanazuoni wa wenzake vibaya na kuwatia katika shirki Ilhali ufahamu wake na huyu golo shafii ni mdogo kwa kuwa elimu zao hazijafikia kuwaongelea waliowazidi kielemu Kosa langu ni lipi ikiwa wote hao kuwachanganya ??