Тёмный

NIKO SINGLE, NIMEAMUA KUSEMA,HAKUA MTU SAHIHI :Bella kombo (Sauti therapy). 

Roc TV
Подписаться 15 тыс.
Просмотров 31 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

5 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 42   
@barnabazawadi9433
@barnabazawadi9433 Год назад
Linapokuja suala la mwanamke kumtii mwanaume, wanawake wanakuja juu kwamba huo ni utumwa. Na linapokuja suala la mwanaume kumpenda mwanamke, wanaume nao wanakuja juu!! Usipompenda mke itakuwa vigumu kwake kukutii! Mwanamke yuko china yako, wewe ndo unatakiwa uoneshe upendo kwake kwanza na bila kutazamia chochote kutoka kwake. Hapa ndio kuna mgogoro mkubwa!
@RACHELELIAS-s3f
@RACHELELIAS-s3f Год назад
Umesema Kwa mafunuo mpendwa Bwana Yesu akubariki Sana
@alicejumaa89
@alicejumaa89 11 месяцев назад
Uko sahihi
@AdrianMallya-l4h
@AdrianMallya-l4h 6 месяцев назад
Super
@madamfarajakigula8423
@madamfarajakigula8423 6 месяцев назад
Point sana
@elizzywhyte5496
@elizzywhyte5496 4 месяца назад
Wow you're right
@GofA2023
@GofA2023 Месяц назад
Kama walioana wakiwa hawajaokoka atleast i can understand kwa mbaali.
@tausimwinuka
@tausimwinuka 11 месяцев назад
Iko spirit kwa hiyo Beba mzigo kwa ajili Yetu Tuombee sana kwa kweli 😢
@fadhilibarnabas3438
@fadhilibarnabas3438 Год назад
Daaa!! Why gospel singers, pole saana dada . Mungu akusaidie ufike alipokupangia. But naumia saana hii kwa waimbaji asilimia 90 ni hivyo.
@jaligawesa
@jaligawesa Год назад
Vita vya kiroho...pia watu wanaolewa au kuoa watu wasiosahihi
@salvinahassan8778
@salvinahassan8778 Год назад
Ni huduma kubwa lkn wahusu wake wanaona unaweza kufanya bila hata kuwa na maombi ya kutosha, just talent. Wengi wao wanakosa watu sahihi wa kuwaongoza na kuwashauri, tayari wameshakuwa ma super ⭐.
@barnabazawadi9433
@barnabazawadi9433 Год назад
@@jaligawesawala hata sio vita ya Kiroho! Tunamsingizia sana shetani hata kwa vitu ambavyo hahusiki. Ni ukosefu tu wa maarifa sahihi! Kama ni Shetani kwa nini usimpinge? Maana Biblia inasema “mpingeni, naye atawakimbia..” na kama hajakimbia ukakimbia wewe, maana yake ni kwamba wewe ndio unashida! Sijui unaelewa!! Ndoa nyingi zinazovunjika, ni kutokana na ukosefu wa maarifa sahihi, kwanza kuhusu ndoa, pili kuhusu neno la Mungu. Biblia inasema “kama upo kwenye ndoa halafu ukaokoka, lakini mwenzako hataki kuokoka na anataka kuendelea kuishi na wewe, maandiko yanasema usimuache…” hakuna kusema kwamba hakuwa mtu sahihi. Kwani usahihi wa mtu hupimwa kwa mambo gani? Je, ni kwa kutokuwa na changamoto kwenye ndoa? Hapa kuna utata wa kutafsiri usahihi wa mtu…
@heavensent2526
@heavensent2526 Год назад
Kuna kitu kiko nyma ya waimbaji kwani Wakisha anza kuimba gospel wanakosana na waume zao something is wrong in the realm of spirit
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 Год назад
Wengi waabudu mashetani, waliovaa mavazi ya kondoo. What a tragedy.
@mercyetago4020
@mercyetago4020 Год назад
Pride. Pride. Tuwaombee female gospel singers.
@alicejumaa89
@alicejumaa89 11 месяцев назад
The devil will fight pple who oppose him not secular musicians.
@Jacklinjohn-cr4vs
@Jacklinjohn-cr4vs 10 месяцев назад
Lucifa alikua muimbaji MBINGUNI akaanza kujiinua juu ya Mungu kiburi kikapanda..so sie waimbaji kiburi
@stellarjovitas5473
@stellarjovitas5473 10 месяцев назад
🧔:swali gani upendi?! 👩‍🦰:Qn about marital status 🧔:So can you tell me your marital status🙄
@generationtransformation-
@generationtransformation- 2 месяца назад
😂
@mercyetago4020
@mercyetago4020 Год назад
Bora wasameheane na warudiane.
@SamweliFelix-ij2pc
@SamweliFelix-ij2pc 8 месяцев назад
Nahitaji kuonan na wew mm samwel
@salvinahassan8778
@salvinahassan8778 Год назад
Bella, don't feel proudly to mention you're single. Kwa watu wa MUNGU sio kitu kuzuri, lkn pia inaondoa utukufu, sijaelewa Kwa nini unaeleza kitu kibaya lkn in a good way, 😭😭, nilikuwa nasikia utukufu ndani Yako lkn Sasa nasikia uzuni, unapoteza ushuuda na nguvu za MUNGU pia
@esupatthomas5881
@esupatthomas5881 Год назад
Hakuna baunsa wa mahisiano na ndoa
@preneruth5110
@preneruth5110 11 месяцев назад
Watu Kama nyie ndo mnafanya watu wajiue... sasa kwa nn asiseme akatoa lililo moyoni kwanni mtumishi wa Mungu ni malaika hakutani na yanayowakuta wengne
@salvinahassan8778
@salvinahassan8778 11 месяцев назад
@@esupatthomas5881 inategemea unachukuliaje, ndoa it's a big examination na Kwa mtu wa Mungu lazima u pass, haijarishi unapitia changamoto zipi. Baunsa wa mahusiano ni YESU ambae anafanya kazi ndani yetu. Nimesema hivyo Kwa sababu, ukiwa na huduma inayotafutwa ni huduma iliyo ndani Yako, ukishapigwa inakuwa ngumu sana kumwambia mtu matendo ya YESU wakati ameshindwa kutenda kwako
@alicejumaa89
@alicejumaa89 11 месяцев назад
Uko sawa
@benjaminshayo32
@benjaminshayo32 3 месяца назад
Kwaiyo Paulo hakuoa, Kwa maneno ya kisasa-sasa alikuag single, we Hilo unalionaje?
@upendojoseph7912
@upendojoseph7912 Год назад
Ukutane na mtu sahihi dada bella wangu
@salvinahassan8778
@salvinahassan8778 Год назад
Mtu sahihi hayuko duniani, hajazaliwa na hatazaliwa. Kila mtu ana mapungufu yake, kubwa ni kutafuta namna ya ku deal nae, baadae anaweza kuwa mtu mzuri kwako na si duniani, maana akienda Kwa mwingine Bado ataonekana ana mapungufu.
@upendojoseph7912
@upendojoseph7912 Год назад
@@salvinahassan8778 WA mapungufu anayoyaweza bella kuabeba
@barnabazawadi9433
@barnabazawadi9433 Год назад
@@salvinahassan8778uko sahihi kabisa…. Watu wanafikiri mtu sahihi, hatokuudhi wala kukupinga kwa chochote.
@josephmpanda306
@josephmpanda306 Год назад
kama ilikuwa ndoa kweli natamani utengeneze na mwenzio, maana nafasi ya ndoa nyingine kibiblia inakosekana
@dominicdwaax3736
@dominicdwaax3736 9 месяцев назад
kaka ubarikiwe na Bwana wakristo wanatakiwa kusikia hili hasa hawa wapentecoste maana wanaanza kufungisha ndoa wake na waume za watu … Mungu atusaidiee🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙏🏽Tuonee ya ndaniii kabca
@ezekielmichael9431
@ezekielmichael9431 11 месяцев назад
Ni kwa nini wanawake wengi waimba injili wakitoka tu kimziki..,ndoa zao zinavunjika?
@nuruanafisoo4220
@nuruanafisoo4220 4 месяца назад
Kweli
@zuberimohamed43
@zuberimohamed43 4 месяца назад
Kwani si hakunaga kuachana huko au??
@blandinamyinga9489
@blandinamyinga9489 Год назад
eti kazunguka ili apewe majibu kirahisi
@patricklaurent3741
@patricklaurent3741 11 месяцев назад
Bella mbona mkubwa hvyo hijaoa bado
@DaimonMwapelele
@DaimonMwapelele 4 месяца назад
Mashetan wanawamaliza wanawake wanaoim a nyimba za injil za kuzim pumbavu kabisa mnavaa kishenz kishenz pumbavu zenu nyie mnafanyoaa bongo move mwenyez mungu pumbavu kabisa umalaya
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 Год назад
Huduma imevamiwa na waabudu mashetani.
@vincentonsomu8372
@vincentonsomu8372 4 месяца назад
Msameane na murudiane
@opukjaboda7839
@opukjaboda7839 3 месяца назад
I am a big fun from Kenya but this I can tell you without fear will bring you down. God hates divorce. go back to your man and submit before you preach to us. Dont let the devil take over you
Далее
Bella Kombo on how she got into salvation - Cross Over
12:33