Linapokuja suala la mwanamke kumtii mwanaume, wanawake wanakuja juu kwamba huo ni utumwa. Na linapokuja suala la mwanaume kumpenda mwanamke, wanaume nao wanakuja juu!! Usipompenda mke itakuwa vigumu kwake kukutii! Mwanamke yuko china yako, wewe ndo unatakiwa uoneshe upendo kwake kwanza na bila kutazamia chochote kutoka kwake. Hapa ndio kuna mgogoro mkubwa!
Ni huduma kubwa lkn wahusu wake wanaona unaweza kufanya bila hata kuwa na maombi ya kutosha, just talent. Wengi wao wanakosa watu sahihi wa kuwaongoza na kuwashauri, tayari wameshakuwa ma super ⭐.
@@jaligawesawala hata sio vita ya Kiroho! Tunamsingizia sana shetani hata kwa vitu ambavyo hahusiki. Ni ukosefu tu wa maarifa sahihi! Kama ni Shetani kwa nini usimpinge? Maana Biblia inasema “mpingeni, naye atawakimbia..” na kama hajakimbia ukakimbia wewe, maana yake ni kwamba wewe ndio unashida! Sijui unaelewa!! Ndoa nyingi zinazovunjika, ni kutokana na ukosefu wa maarifa sahihi, kwanza kuhusu ndoa, pili kuhusu neno la Mungu. Biblia inasema “kama upo kwenye ndoa halafu ukaokoka, lakini mwenzako hataki kuokoka na anataka kuendelea kuishi na wewe, maandiko yanasema usimuache…” hakuna kusema kwamba hakuwa mtu sahihi. Kwani usahihi wa mtu hupimwa kwa mambo gani? Je, ni kwa kutokuwa na changamoto kwenye ndoa? Hapa kuna utata wa kutafsiri usahihi wa mtu…
Bella, don't feel proudly to mention you're single. Kwa watu wa MUNGU sio kitu kuzuri, lkn pia inaondoa utukufu, sijaelewa Kwa nini unaeleza kitu kibaya lkn in a good way, 😭😭, nilikuwa nasikia utukufu ndani Yako lkn Sasa nasikia uzuni, unapoteza ushuuda na nguvu za MUNGU pia
Watu Kama nyie ndo mnafanya watu wajiue... sasa kwa nn asiseme akatoa lililo moyoni kwanni mtumishi wa Mungu ni malaika hakutani na yanayowakuta wengne
@@esupatthomas5881 inategemea unachukuliaje, ndoa it's a big examination na Kwa mtu wa Mungu lazima u pass, haijarishi unapitia changamoto zipi. Baunsa wa mahusiano ni YESU ambae anafanya kazi ndani yetu. Nimesema hivyo Kwa sababu, ukiwa na huduma inayotafutwa ni huduma iliyo ndani Yako, ukishapigwa inakuwa ngumu sana kumwambia mtu matendo ya YESU wakati ameshindwa kutenda kwako
Mtu sahihi hayuko duniani, hajazaliwa na hatazaliwa. Kila mtu ana mapungufu yake, kubwa ni kutafuta namna ya ku deal nae, baadae anaweza kuwa mtu mzuri kwako na si duniani, maana akienda Kwa mwingine Bado ataonekana ana mapungufu.
kaka ubarikiwe na Bwana wakristo wanatakiwa kusikia hili hasa hawa wapentecoste maana wanaanza kufungisha ndoa wake na waume za watu … Mungu atusaidiee🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙏🏽Tuonee ya ndaniii kabca
Mashetan wanawamaliza wanawake wanaoim a nyimba za injil za kuzim pumbavu kabisa mnavaa kishenz kishenz pumbavu zenu nyie mnafanyoaa bongo move mwenyez mungu pumbavu kabisa umalaya
I am a big fun from Kenya but this I can tell you without fear will bring you down. God hates divorce. go back to your man and submit before you preach to us. Dont let the devil take over you