Najaribu kuwaza jinsi alivokua Mzee Nassoro Bachu alafu na jinsi huyu mwanae vitu viwili tofauti, uyu ana shida kwelii Allah atujaalie mwisho mwema kwakwel huu nao mtihan.
Alahamdulillah waswalaatuwassalaam alaa Nabiyyina Muhammad(ﷺ),alakhy katika dua usitumie neno inshaallah nimakosa,kwani nikuwa na wasiwasi juu ya uwezo wa Allah.
Assalamu alykum warahmatullah wabarakatuh shekh wang hapo ulijitoa au ulitolewa.maneno yako yanaonekana ni yenye kujigonga gonga saana kwann msom!!!!!!!
Hii ndio kazi kubwa waliyonayo kila kukicha kukatana mapande huyu anamdharau huyu na yule kumchukia huyu na kujiona yeye ndio bora kwa kila kitu,masheikh wachamungu waliokuwepo zamani hawakuwa kama walivyo hawa wa sasa,hawaheshimiani hata kidogo
Hata wakati Allah alipokuwa akitumia Mitume yake kuna watu walikuwa wakiona walioletewa wakiyaona ni watu wapya na waliyoyaleta pia huyaona ni mapya! Sasa usemalo Leo ni Sawa!maana mumezama ktk Yale waliyokuwa waliyokuwa nayo wazee wenu
Na wengine hata kuambiwa ni wendawazimu na kupata pingamizi nyingi tuu!lkn suala la Maulidi hili ndilo jipya zaidi ktk Uislamu maana Mtume na Maswahaba hawalijuwi?
Bachu ukiangaliwa jinsi unavoongea tu lafdhi zako unaonekana bado hujakomaa kielimu kabisa na tena uko mbali sana, kaa chini fikiria na uendelee kusoma kaka
Inamaana kumbe Zanzibar kuna masheikh kama huja kubali kama wao niwakubwa unazuiliwa wafuasi,thawabu jee akifanya kheir atalipwa bila yakuthibitisha ukubwa wa hao masheikh.
Walikua na chuki na Abuu Muawiya. Hakua na lingana nao kielimu aliwazidi hadi kusomesha alijitahidi sana ABuu muawiya kwenye kila kona. Ila chuki na uongo walio mzushia wataenda mlipa kwa Allah..
Sasa ulikoenda ni wp ambapo kna kheri kurik kwa masalaf?? Bado unamatamanio ya nafsi dogo wew.uko ktoa ma crup video ndo ulipoona panafaa??. Sifa nying tuu utayumba sana
Sasa hivi umenyamazishwa Sasa Kaa kimya katege samaki baharini ndugu zako tumbo Moja wako Madina wametulia wanasoma subir ukikua utajisikiliza hayo maneno yako ndio utakapokuja kujua huana adabu Wala lugha huijui
Eti Hapa ndio anafanya da'waa? Usuna, Ujadida, Usalafi ndio da'waa za siku hizi, sio Uislam. Ndio mtoto wa Bachu huyo. Mwenyewe Anajiona anajua kuliko Kila mtu. Subhaanallah.
Ww n hurafi n hizbi kubwa xn mtu km huyu hatakiwi kusikilizwa n watu wasio n elimu {Maanswar ndugu zenu n matableh n itikadi yenu ya ikhwanul muslimn} Sisi umoja bandia hatuutaki tutaendelea kuwakata mpk muifate njia ilinyooka ety mtu wa sunna ana mapungufu yake sawa endelen kuchukua ilmu kwa Mahajawra ❎
Maimamu wetu bwana kazi ni hio kujifanya mwema wengine akawafanya waovu Maimamu wapenda kujiona Bora Sasa huyu ni apendae sifa Karibu atajipa kina la ulamaaa masifa
😂😂😂😂he kwanza ncheke hata yaani mulianza kuwatukana masufi sasa mumeshageukiana wenyewe kwa wenyewe munakashifiana munadharauliana yaani bora wale waimbaji taraab wanastahiana kuliko nyie hii clip haina faida yoyote katika kuendeleza uislamu bali kuleta migawano tu upuuzi mtupu ujadida sijui nini uislamu kuuita majina yasiokuwa na maana mutakwenda kuulizwa na allah kama elimu muliyopewa munatakiwa kusemana na kuitana majina au kuelimisha watu wapuuzi wakubwa
Jee huyu ambae siwahabi yeye hana kundi,inawezekana kumbe hii kauli ya umma huu utagawanyika makundi 72 hayo makundi hatujayafahamu samahani lakini wewe nisheikh mm nimaamuma tu