Тёмный

NILIANZA KUFUNDISHA CHINI YA MTI HUU MIAKA YA SABINI MPAKA LEO SILIPWI, SHEKH RAMADHANI SUNGU 

Saimu gwao Online tv
Подписаться 231 тыс.
Просмотров 81 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

4 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 108   
@mwanakombopongwe8244
@mwanakombopongwe8244 4 года назад
MASHALLAH MASHALLAH MASHALLAH JAZAKALLAH KHEIR INSHAALLAH
@busnaoman9981
@busnaoman9981 3 года назад
Inalilah wainailayh rajighon shekh wetu Allah akulaze pema pepon inshallah
@miriumloyy8968
@miriumloyy8968 3 года назад
Sisi sote kwake tutarejea ,tumuombee tuu innallillah wainnaillayh rajioun,kondoa Leo nimajonzi tu
@maliamhotimaliamhoti5302
@maliamhotimaliamhoti5302 4 года назад
Allah awahifadh masheikh wetu. Allah awalipe khery.
@kinotasontravel3883
@kinotasontravel3883 3 года назад
Amini
@khadijahussain6092
@khadijahussain6092 3 года назад
Allah akupe makaz mema sheikh wetu 😭
@mohammedrajabumwamba1322
@mohammedrajabumwamba1322 3 года назад
Innalillahi Wainnailaihi Raajiuun Sheikh Allah akujaalie kilalenyekheri huko uliko Allahumma Amiin🙏
@ummyzee6247
@ummyzee6247 4 года назад
Allah atupe umoja ummati muhammad
@abuuaisha3582
@abuuaisha3582 Год назад
اجعل لنا ذات أنواط كما لهم ذات أنواط.....الله المستعان
@AbdullahAbdullah-fz9xg
@AbdullahAbdullah-fz9xg 4 года назад
Hapo ni wapi!??
@munaisa5850
@munaisa5850 2 года назад
Inalilahi wainailehirjiun Mungu amuweke peponi
@sofinajuma9284
@sofinajuma9284 4 года назад
mashallah mungu awaweke mzidi kutuongoza. hii tanga jamn
@kinesakn4723
@kinesakn4723 3 года назад
Mambo yameshikiliwa na Allah sio badawiy
@aisharamadhani2156
@aisharamadhani2156 4 года назад
Allaah awaongoze ktk njia ya sawa
@wardakaanynyi6948
@wardakaanynyi6948 3 года назад
Mashaallah shekhe wetu
@jamalathman6219
@jamalathman6219 3 года назад
Inalilahi waina ileihi rajiun Allah akurehemu sheikh wetu
@abuusuleym3676
@abuusuleym3676 4 года назад
ibada iyooo kwa masufi
@biggestnasritv2601
@biggestnasritv2601 4 года назад
BIGGEST BOSS NASRI
@YasinRamadhani-ek8df
@YasinRamadhani-ek8df 3 месяца назад
Mashaalah
@ibrahimdabo7163
@ibrahimdabo7163 3 года назад
baraka zote zinatoka kwa mwenyezi mungu siyo mtii shehe umebuma duuuu
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 2 года назад
haujui kasome dini
@shifaazawadi4438
@shifaazawadi4438 4 года назад
Mashallah
@kilofakilofatv3367
@kilofakilofatv3367 4 года назад
unalipwa sheikh si bure
@mwanahamis5487
@mwanahamis5487 3 года назад
Innalilah wainna illah rajiuon Safari yake iwe ya Kheir chuma kimeondoka Polee kwa wanafunzi wotee wa sungu walipo
@maatumkadhi1760
@maatumkadhi1760 4 года назад
Maa shaa Allah
@maalimndago4663
@maalimndago4663 3 года назад
Sheikh sungu ni rajulun hai na mait mola akueke pema
@abuunutsamuonlinetv2703
@abuunutsamuonlinetv2703 3 года назад
Kwahiyo mnaomba dua kwa baraka za mti sio za alie umba mti huu ni mtihani sana
@ngushy8798
@ngushy8798 2 года назад
Huy mzee shehe mpungaaa
@hassmanmchura4284
@hassmanmchura4284 3 года назад
Kwa we uliyejaaliwa kuwa ktk dn hi yahaq sema ALHANDULILAH mana n raha tele haswa ukiwaunaijuwa dini vzur.
@khairotv2802
@khairotv2802 3 года назад
KUMBE ALIKUWA anawaaga kabisa huyu MZEE Allah amrehemuu SHEIKH sungu
@jamillahramadhani147
@jamillahramadhani147 4 года назад
maashaallah
@teddykanondo5753
@teddykanondo5753 4 года назад
Tatizo la sisi Watanzania tunakua na tabia ya kubishana bila kutaja vigezo vilivyofanya Tanzania ifikie "UCHUMI WA KATI" Mimi binafsi nimesomea mambo ya uchumi nijiuliza hawa watu kila kukicha Watanzania walio wengi wanawaita Wazungu "MABEBERU". Watu walioko kwenye Bank ya Dunia walio wengi ni Wazungu. Inakuwaje wanasema tumefikia "UCHUMI WA KATI" wakati Dola 1 ya Marekani ni shillingi za Tanzania 2310/=, Paundi 1 ya Uingereza ni shilingi za Tanzania 2290/=, Euro 1 ni shilingi za Tanzania 2740/=, Dinari 1 ya Kuwaiti ni shilingi za Tanzania 7600/=, Dila 1 ya Marekani ni sawa na Kenyan shillings 100/=, sasa niapeni vigezo vilivyotumika kuiweka Tanzania kwenye uchumi wa Kati wakati Watanzania walio wengi kipato chao ni chini ya dola 1 ya Marekani kwa siku. Wazungu ni watu wenye mbinu nyingi sana katika kuweka hadharani maendeleo ya nchi. Wanajua kabisa wakiambia Serekali ya Tanzania "UCHUMI WENU UMEKUWA" wasomi na wana Siasa watapinga tena kwa hoja. Majukwaa yote ya Siasa za Tanzania wapinzani wanapinga kwa nguvu zote na sababu kubwa ni kwamba hali za Watanzania ni mbaya sana. Miradi mikubwa ya kuzalisha kipato imekufa vikiwemo viwanda, Uwekezaji wa ndani na nje, Mashirika ya Umma yamekufa, Miradi ya vijiji imefilisika, Wafanya biashara wakubwa wamefilisika na wengine wamekimbia nchi. Magufuli amefanya kazi kubwa kwa upeo wa fikra zake lakini akasahau ajira za Watanzania na ndizo zinamtesa sasa hivi. Wapinzani wamevuna wanachama wengi sana kutoka ndani ya CCM, wale unaoona wanarudi CCM toka upinzani ni watu waoga wanaosikiliza hotuba za mheshimiwa Magufuli ambazo mara nyingi amekuwa akijisahau kuwa aliwahi kusema tena hadharani kuwa "MAENDELEO HAYANA CHAMA". Akarudi akajisahau kule Musoma akasema "MKICHAGUA MADIWANI NA WABUNGE WA UPINZANI SITAPELEKA MAENDELEO MAENEO HAYO". Kiongozi wa nchi ukisha kuwa na mtoto wa Tumboni na Mgongoni umeigawa nchi na ndio maana sasa hivi kuna watu wa Magufuli, Tundu Lissu, Zitto Kabwe, na wengineo. Angalia mikutano ya Wana Siasa ilivyoigawa nchi. Mheshimiwa Magufuli anaenda na Wana Muziki kwenye mikutano yake sasa huwezi jua watu wamefuata Sera zake au Muziki. Lissu akiwa kwenye Mikutano yake amejaza watu huwezi jua wanamfuata kwa Sera zake au kwa mshangao kuwa Binadamu atakuaje hai huku amepigwa risasi 16 wakati Tembo anapigwa risasi moja tu na kufa. Watanzania wanajiuliza nchi yenye utwala wa kisheria binadamu anapoteaje, Waandishi wa habari wanapoteaje, Raia wa kawaida wenye mapenzi na vyama vya upinzani wanapoteaje, Wafanya Biashara wenye mapenzi na upinzani wanafilisiwa. Madakitari wametishwa wasitoe ripoti za COVID19, Tanzania na Kenya nani wanajua kwenda Kanisani na Misikitini. Katika watu wenye mpaka mrefu sana ni Kenya na Tanzania. Kutoka Lake Victoria mpaka Indian Ocean. Wafanyakazi hawaongezewi mishahara, Wafanyakazi wametumbuliwa sana na kufukuzwa bila kulipwa stahiki zao. Rais wa nchi anaweka ndugu zake HAZINA ya umma ili akichukua fedha isijulikane. Rais wa nchi ni mbaguzi, Mkabila, Mnafiki, Mwongo, Jeuri, Katili, uliona wapi Rais anatoa amri watu Wachome vifaranga. Wasimamizi wa uchaguzi Mwaka huu watashuhudia makubwa Tanzania. Kama Tume haitatenda haki na kusimamia uchaguzi kwa umakini mkubwa sana Wataingiza Tanzania kwenye uvunjifu wa amani na hili litasababisha baadhi ya viongozi au Tume yenyewe kufikishwa Mhakama ya Kimataifa ICJ. "SAFARI HII CCM WAJIPIME"
@mohamedkikale7241
@mohamedkikale7241 4 года назад
Yaaan pamoja nakusoma uchumi bado huwezi kufafanua maana haris ya uchumi, katika taifa kichwa kimejaa mitazamo yakisiasa tu! Kwa taarifa yako chapa kazi hiyo elimu uliyosoma update kuisaidia jamii yako, ni ushauri tu!
@faidhakadangu7876
@faidhakadangu7876 4 года назад
acha siasa ndugu iitumie elimu yako kuisaidia jamii kila mtu atakwenda na amali zake.
@zuhurahussein5132
@zuhurahussein5132 4 года назад
Mshamba kweli wew kwanza uku umefuata nin?? Alaf unakuja kutuletea siasa uku
@suleimanabdalla4594
@suleimanabdalla4594 4 года назад
@@zuhurahussein5132 ushirikina huu upowazi mkiambiwa mnabisha
@suleimanabdalla4594
@suleimanabdalla4594 4 года назад
@@faidhakadangu7876 kweli hujakua mchanungu Mana unatabaruku kwa mjiti Allah akuongoze
@ankaldally2734
@ankaldally2734 3 года назад
Shirk kubwa mzee anaongelea. Zindukeni ndg zangu elimu ni nuru na ujinga ni kiza. Mzee aache ushirikina
@adenmikoba7506
@adenmikoba7506 3 года назад
ushirikina upi
@hassancharo1496
@hassancharo1496 4 года назад
MASHA ALLAH HIZI NDIYO DALILI ZA MWENYEZI MUNGU ANAPO MPENDA MJA WAKE MWENYEZI MUNGU ANAPO MPENDA MJA WAKE HUWAMBIYA MALAIKA MM NA MPENDA MJAWANGU FULAN KWAIVYO NA NYINYI MPENDENI NA MALAIKA NAO HUZUNGUKA KWA WANA DAMU NAO WAMPENDE MTU YULE
@mwanaimaabdallah7825
@mwanaimaabdallah7825 4 года назад
SubhnaAllah
@hajimahingika6921
@hajimahingika6921 4 года назад
Umejiwekea kwa ajili ya maisha ya kesho Akhera Sheikh.
@habibuhaji-j8t
@habibuhaji-j8t 2 месяца назад
ya subhana llah watu wanaabudia miti sasa ee
@mbarakamsangawina8123
@mbarakamsangawina8123 4 года назад
subha llah
@leylahbillah4876
@leylahbillah4876 3 года назад
Maashallah maashallah maashallah
@hilalalhabsi2047
@hilalalhabsi2047 2 года назад
Sauti za bomba za wanawake zimeingiliana umenifanya akili yangu iudhike sijaelewa kitu
@selemanwaziri7653
@selemanwaziri7653 3 года назад
Inshaalah
@mrsultanzimbwe6746
@mrsultanzimbwe6746 Год назад
Matatizo ya Aqiida n shida kubwa sana
@mwachidzopoposalimpopo8890
@mwachidzopoposalimpopo8890 3 года назад
Inshallah mungu yuko n heri zk
@leylahbillah4876
@leylahbillah4876 3 года назад
Maskin innalillah wainna ilayhi rajioun daah imeniumaa sana aisee😭😭😭😭😭
@tigerroar3545
@tigerroar3545 7 дней назад
Acheni kutabaruku na mti,hii ni SHIRKI.
@abuusuleym3676
@abuusuleym3676 4 года назад
we mzee umri uwo bado unafanya shirki
@kinotasontravel3883
@kinotasontravel3883 3 года назад
Allah Akbar
@mresamresamresa5622
@mresamresamresa5622 3 года назад
Inalillah wainnalillahi rajighuna
@sakinat2527
@sakinat2527 3 года назад
Allah amraham na amueke pema penye wema, Amiin
@abubakariabubakarimafitq783
@abubakariabubakarimafitq783 4 года назад
Hasan libasri allah amurehem anasema. ibilisi anapenda sana bidaa kama hizi kuliko maaswi. Kuliko pombe,wizi,zinaa,
@hassancharo1496
@hassancharo1496 3 года назад
Abubakar punguza kejeli dhidi ya waisilam we nzako hawa wana swali wana funga ramadhani wana hijji na wanaisoma korani ujione wewe msafi
@signtv9848
@signtv9848 4 года назад
Kwa Baraka za mti huu Subhana Lah
@ukwasiukakasi4363
@ukwasiukakasi4363 4 года назад
Maalim hakuna shirki hapo maana ameelezea kwa undani maendeleo ya elimu yaliyopatikana toka mwanzo alipoanza kufundisha chini ya mti huu miaka ya sabini Allah ameijaalia elmu chini ya kivuli cha mti huu ikiwa ni shirki kusema baraka za mti huu vipi tukisema kwa baraka za mtume muhammad s.a.w au kwa baraka za waja wema waliotangulia?
@nyatya199
@nyatya199 4 года назад
Haifai kusema kwa baraka ya fulani hata kama ni nabii balii hili halina dalili nalasawa nikusema kwa barka za matendo mema uliyoyafanya hili linadalili
@ukwasiukakasi4363
@ukwasiukakasi4363 4 года назад
@@nyatya199 nipe elmu zaid wazazi wanatoa baraka kwa watoto wao imekaaje hii
@msafiriduwiya7765
@msafiriduwiya7765 4 года назад
@@ukwasiukakasi4363 baraka sio za wazazi wazazi Yao dua inayokubaliwa haraka baraka hutoa MOLA WA VIUMBE
@mwanaimachayoa8217
@mwanaimachayoa8217 2 года назад
Maneno ya shirki vipi utabaruku kwenye mti
@fatualetoya5066
@fatualetoya5066 3 года назад
🇹🇿💖🧡
@muhidinali8180
@muhidinali8180 3 года назад
Hatarisana kutabaruku kupitia mti
@abubakariabubakarimafitq783
@abubakariabubakarimafitq783 4 года назад
Tatizo masange kunaushirikina sana tena mkubwa nahiyo nishirki allah atuongoze
@abuumaryam1628
@abuumaryam1628 3 года назад
Watu wa bidaaa wana shida sana
@malakiyazidu0080
@malakiyazidu0080 3 года назад
mashaallah
@sharifgojo878
@sharifgojo878 4 года назад
haaaaa yani unatabaruk kwa mti hiyo shirki iliyo wazi kabisa na shekh samir upo dah!!!!!!?
@bongojoonlinetv977
@bongojoonlinetv977 4 года назад
Kwan nn maana ya kutabaruku?
@nyatya199
@nyatya199 4 года назад
Mtihan saana
@solemba595
@solemba595 3 года назад
Nafikiri aliteleza kidogo, Mti hauwezi kuwa na baraka, Mwenyewezi Mungu ndio anatoabaraka
@asafsulayman9375
@asafsulayman9375 3 года назад
Itaku Lwah We mzushi Mushrik, tubu kabla ya kuanga Dunia, Rudi katika Kitabu na Sunna
@masala8099
@masala8099 3 года назад
Akili huna
@abuusuleym3676
@abuusuleym3676 4 года назад
aliekuumba hakutoshi fungua aya 18 suratu yunus utapata jibu lako
@mudhihirumikidadi6066
@mudhihirumikidadi6066 3 года назад
Usiombe kwabaraka zamti huo niushirikina
@minakhamiskhamisi6193
@minakhamiskhamisi6193 3 года назад
Yn ndgu yg weeeewe ach nikupe pole Maan hujui ukiongeacho kwa acha mzeee wetu safri yake iwe salm
@sajumahege4903
@sajumahege4903 2 года назад
@@minakhamiskhamisi6193 hakuna usalama hapo kwenye ushirikina ni khatari sana, eti badawy ananufaisha, subhaanallah. Allah ametakasika na hayo mnayomshirikisha nayo
@hawaheri5833
@hawaheri5833 3 года назад
Laiti ingekuwa maiti inarudi ingerudi wa kilio changu lakun hakikusaidia
@osamaalharthy4150
@osamaalharthy4150 3 года назад
Innalilah wainna lilayhi rajiuun
@abuusuleym3676
@abuusuleym3676 4 года назад
kwnza huyo badawiy ni nan ww
@muhidinali8180
@muhidinali8180 3 года назад
Eti tunatabarukunamtihuu hatarikubwasana
@abdallahhalphani7439
@abdallahhalphani7439 3 года назад
Anasema alikua hana chochote.. lakini kwa Baraka za mti huu mambo yanakwenda vizur.... ndugu zangu hii si ni shirki ya waz kabisaa
@adenmikoba7506
@adenmikoba7506 3 года назад
shirk ipi
@Quranonlycenter
@Quranonlycenter 3 года назад
@@ahmadabdulrahman7675 baba eeeh wapinga tuu wakutukuzwa ni Allah na ndie mwenye kufanya KILA jambo ..sio kuwaeka masharifu juu ni binadamu kama sisi na wako na mapungufu kama sisi.Tufuate aliotuamrisha Mungu na Mtume wake..
@Quranonlycenter
@Quranonlycenter 3 года назад
Hebu tuelimishe na sisi kuna khalifa gani akafanya zefe na kusoma maulid????mambo mengine ni kutumia akili zetu sio kusukumwa kama gunia... Inshaallah Mungu atuongoze njia ilionyooka..Ameeeen.
@abuusuleym3676
@abuusuleym3676 4 года назад
unataka baraka kwa mti
@ramangadu6451
@ramangadu6451 3 года назад
Kasome.
@ramangadu6451
@ramangadu6451 3 года назад
Sio Kunufaika Tu. Unaweza Hata Kudhurika. Ukumbuke Nabii Adam Alahi Salamu. Alitolewa Peponi Kwa Kula Tunda
@sajumahege4903
@sajumahege4903 2 года назад
@@ramangadu6451 ndio aliuomba barka?
@mohamedchorah8514
@mohamedchorah8514 4 года назад
.
@zahorrashid5459
@zahorrashid5459 4 года назад
Huyu shekh mbona simuelewii.mti mti mambogani hy.
@bennymochiwa4800
@bennymochiwa4800 3 года назад
ukitumia akili yako uwez kumuelewa lkn ukitumia hekma na busara unaweza kumwelewa
@sajumahege4903
@sajumahege4903 2 года назад
@@bennymochiwa4800 Allah akikupa hekima jua amekupa kheir nyingi, moja wapo ni kuwa na ikhlaas kwenye matendo, sasa ushirikina na bidaa ni kheir na hikma hizo?
@ismailhassan5662
@ismailhassan5662 4 года назад
Aisee sijui hawa niwaisilam wa ainagan bidaah imewajaa.
@nyatya199
@nyatya199 4 года назад
Hawatoacha watu sunna ispokuwa wataifuata bidaa
@saidhassanahmed4
@saidhassanahmed4 4 года назад
nenda ukasome kwanza afu ndio useme bidaa watu awakurupuki kila kitu wanafanya na sababu
@ismailhassan5662
@ismailhassan5662 4 года назад
@@saidhassanahmed4 njoo markaz pongwe tanga ujionee uislam wa sawasawa usiekua nauzushi tunafanya yale ya kitabu nasuna sio kumfata shee kamanyie shew akisema leo tupige madufu mnaenda akisema twenden makaburin mnaenda sijui zafa mara muridu mh haya ndo bidaa hayakuepo wakat wa mtume s.a.w.
@abubakariabubakarimafitq783
@abubakariabubakarimafitq783 4 года назад
Allah allah awaongoze hawa watu wabidaa.
@nyatya199
@nyatya199 4 года назад
@@saidhassanahmed4 hakuna ushahidi wa hili kama unawo tuma namba yako nikupigie unipatie ushahidi huo, haya mambo niyakisufisufi tu hamna lolote zaidi yakufuata matashi ya nafsi
@mwanakombopongwe8244
@mwanakombopongwe8244 4 года назад
MASHALLAH MASHALLAH MASHALLAH JAZAKALLAH KHEIR INSHAALLAH
@sharifaabdullah6825
@sharifaabdullah6825 4 года назад
Masha allah
@mwanaimaabdallah7825
@mwanaimaabdallah7825 4 года назад
SubhnaAllah
@musitemusite4316
@musitemusite4316 3 года назад
Maashaallah
Далее
SHEKH RAMADHANI SUNGU ATOA USHAURI HUU  KWA BAKWATA....
29:49
КОГДА НАКРОШИЛ НА ПОЛ #shorts
00:19
КОГДА НАКРОШИЛ НА ПОЛ #shorts
00:19