Tatizo la sisi Watanzania tunakua na tabia ya kubishana bila kutaja vigezo vilivyofanya Tanzania ifikie "UCHUMI WA KATI" Mimi binafsi nimesomea mambo ya uchumi nijiuliza hawa watu kila kukicha Watanzania walio wengi wanawaita Wazungu "MABEBERU". Watu walioko kwenye Bank ya Dunia walio wengi ni Wazungu. Inakuwaje wanasema tumefikia "UCHUMI WA KATI" wakati Dola 1 ya Marekani ni shillingi za Tanzania 2310/=, Paundi 1 ya Uingereza ni shilingi za Tanzania 2290/=, Euro 1 ni shilingi za Tanzania 2740/=, Dinari 1 ya Kuwaiti ni shilingi za Tanzania 7600/=, Dila 1 ya Marekani ni sawa na Kenyan shillings 100/=, sasa niapeni vigezo vilivyotumika kuiweka Tanzania kwenye uchumi wa Kati wakati Watanzania walio wengi kipato chao ni chini ya dola 1 ya Marekani kwa siku. Wazungu ni watu wenye mbinu nyingi sana katika kuweka hadharani maendeleo ya nchi. Wanajua kabisa wakiambia Serekali ya Tanzania "UCHUMI WENU UMEKUWA" wasomi na wana Siasa watapinga tena kwa hoja. Majukwaa yote ya Siasa za Tanzania wapinzani wanapinga kwa nguvu zote na sababu kubwa ni kwamba hali za Watanzania ni mbaya sana. Miradi mikubwa ya kuzalisha kipato imekufa vikiwemo viwanda, Uwekezaji wa ndani na nje, Mashirika ya Umma yamekufa, Miradi ya vijiji imefilisika, Wafanya biashara wakubwa wamefilisika na wengine wamekimbia nchi. Magufuli amefanya kazi kubwa kwa upeo wa fikra zake lakini akasahau ajira za Watanzania na ndizo zinamtesa sasa hivi. Wapinzani wamevuna wanachama wengi sana kutoka ndani ya CCM, wale unaoona wanarudi CCM toka upinzani ni watu waoga wanaosikiliza hotuba za mheshimiwa Magufuli ambazo mara nyingi amekuwa akijisahau kuwa aliwahi kusema tena hadharani kuwa "MAENDELEO HAYANA CHAMA". Akarudi akajisahau kule Musoma akasema "MKICHAGUA MADIWANI NA WABUNGE WA UPINZANI SITAPELEKA MAENDELEO MAENEO HAYO". Kiongozi wa nchi ukisha kuwa na mtoto wa Tumboni na Mgongoni umeigawa nchi na ndio maana sasa hivi kuna watu wa Magufuli, Tundu Lissu, Zitto Kabwe, na wengineo. Angalia mikutano ya Wana Siasa ilivyoigawa nchi. Mheshimiwa Magufuli anaenda na Wana Muziki kwenye mikutano yake sasa huwezi jua watu wamefuata Sera zake au Muziki. Lissu akiwa kwenye Mikutano yake amejaza watu huwezi jua wanamfuata kwa Sera zake au kwa mshangao kuwa Binadamu atakuaje hai huku amepigwa risasi 16 wakati Tembo anapigwa risasi moja tu na kufa. Watanzania wanajiuliza nchi yenye utwala wa kisheria binadamu anapoteaje, Waandishi wa habari wanapoteaje, Raia wa kawaida wenye mapenzi na vyama vya upinzani wanapoteaje, Wafanya Biashara wenye mapenzi na upinzani wanafilisiwa. Madakitari wametishwa wasitoe ripoti za COVID19, Tanzania na Kenya nani wanajua kwenda Kanisani na Misikitini. Katika watu wenye mpaka mrefu sana ni Kenya na Tanzania. Kutoka Lake Victoria mpaka Indian Ocean. Wafanyakazi hawaongezewi mishahara, Wafanyakazi wametumbuliwa sana na kufukuzwa bila kulipwa stahiki zao. Rais wa nchi anaweka ndugu zake HAZINA ya umma ili akichukua fedha isijulikane. Rais wa nchi ni mbaguzi, Mkabila, Mnafiki, Mwongo, Jeuri, Katili, uliona wapi Rais anatoa amri watu Wachome vifaranga. Wasimamizi wa uchaguzi Mwaka huu watashuhudia makubwa Tanzania. Kama Tume haitatenda haki na kusimamia uchaguzi kwa umakini mkubwa sana Wataingiza Tanzania kwenye uvunjifu wa amani na hili litasababisha baadhi ya viongozi au Tume yenyewe kufikishwa Mhakama ya Kimataifa ICJ. "SAFARI HII CCM WAJIPIME"
Yaaan pamoja nakusoma uchumi bado huwezi kufafanua maana haris ya uchumi, katika taifa kichwa kimejaa mitazamo yakisiasa tu! Kwa taarifa yako chapa kazi hiyo elimu uliyosoma update kuisaidia jamii yako, ni ushauri tu!
MASHA ALLAH HIZI NDIYO DALILI ZA MWENYEZI MUNGU ANAPO MPENDA MJA WAKE MWENYEZI MUNGU ANAPO MPENDA MJA WAKE HUWAMBIYA MALAIKA MM NA MPENDA MJAWANGU FULAN KWAIVYO NA NYINYI MPENDENI NA MALAIKA NAO HUZUNGUKA KWA WANA DAMU NAO WAMPENDE MTU YULE
Maalim hakuna shirki hapo maana ameelezea kwa undani maendeleo ya elimu yaliyopatikana toka mwanzo alipoanza kufundisha chini ya mti huu miaka ya sabini Allah ameijaalia elmu chini ya kivuli cha mti huu ikiwa ni shirki kusema baraka za mti huu vipi tukisema kwa baraka za mtume muhammad s.a.w au kwa baraka za waja wema waliotangulia?
Haifai kusema kwa baraka ya fulani hata kama ni nabii balii hili halina dalili nalasawa nikusema kwa barka za matendo mema uliyoyafanya hili linadalili
@@minakhamiskhamisi6193 hakuna usalama hapo kwenye ushirikina ni khatari sana, eti badawy ananufaisha, subhaanallah. Allah ametakasika na hayo mnayomshirikisha nayo
@@ahmadabdulrahman7675 baba eeeh wapinga tuu wakutukuzwa ni Allah na ndie mwenye kufanya KILA jambo ..sio kuwaeka masharifu juu ni binadamu kama sisi na wako na mapungufu kama sisi.Tufuate aliotuamrisha Mungu na Mtume wake..
Hebu tuelimishe na sisi kuna khalifa gani akafanya zefe na kusoma maulid????mambo mengine ni kutumia akili zetu sio kusukumwa kama gunia... Inshaallah Mungu atuongoze njia ilionyooka..Ameeeen.
@@bennymochiwa4800 Allah akikupa hekima jua amekupa kheir nyingi, moja wapo ni kuwa na ikhlaas kwenye matendo, sasa ushirikina na bidaa ni kheir na hikma hizo?
@@saidhassanahmed4 hakuna ushahidi wa hili kama unawo tuma namba yako nikupigie unipatie ushahidi huo, haya mambo niyakisufisufi tu hamna lolote zaidi yakufuata matashi ya nafsi