Da shena kusoma kijeruman inaweza chukua Ata mda gan mwanafunzi kuelewa na je Canada wanatumia lugha gan nipo Oman inshallah Mungu akujalie mwakan naweza kwenda Canada
Uwiii shena asante sana haki unatusaidia sana aisee. Haya mambo wengi tulikua hatuyajui lkn ashukuriwe Mungu aliyekuongoza kuanzisha hii channel. Thank you Shena and God bless you and your family ❤
Lakini ukienda kwa huyo saikojia wala siyo shida. Unajieleza tu kuwa unakosea kwa vile unapata hofu ukiwa na huyo officer wakati wa kutainiwa. Mara nyingi mtu anafeli kwa sababu ya hofu tu siyo kwamba ameshindwa kuendesha gari. Unajitetea kuwa ni hofu lakini kuendesha unajua . Mara ya nne unapewa afficer mpole na friendly. Najua watu kadhaa walipita baada yakujieleza kwa hao saikolojia.
Yaani Mimi kwa mambo hayo ya kuomba visa mbona ningeshindwa! Ninashukuru wakati tumekuja kila kitu serikali ili fanya obviously tulikua tunakuja shuleni 1986. Hata kwenda Uingereza Summer holiday Watanzania tulikua hatukuhitaji kwenda omba visa kutoka Czechoslovakia then in 1986. Tulikua tunakwenda ubalozi wa ujerumani tu kuomba visa/transit visa on our way to the UK.
🤔Ulikosea kidogo Shena lakini umeshajifunza. Ungeomba fiancé visa ambayo ungetakiwa kufunga ndoa ndani ya miezi sita kabla haija expire. Ungetumia njia hio tena ungepewa visa ya indefinite leave to remain. Hapo tena ungekuwa mambo yamekaa vizuri zaidi. Anyway, tayari umeshapata uzoefu sasa hongera na asante kwa kushea🤝
Nilikua nimeshafunga ndoa Tanzania Na visa ya kwanza ya matembezi nilikuja kama mke ila nilikua kazini Ukipewa visa ya kufunga ndoa ni valid kwa few months tu muwe mshafunga ndoa bila hivyo inakua terminated
Pole dada mungu wa mbingu akuchunge sana mimi na itua Mr Ernest natamani unitumiyeko number Yako ya what's kusudi twanze kuongeya maswali mazuri sana kuhusu ya maendeleyo yetu ya maisha Asante dada usi saulike