Baba Nihurumie nimekosa....what a sad song yet so beautifully sung. Mimi ni mwenya dhambi. Nitakaze Baba niweze kukaa nawe milele. Tuhurumie sisi wana wa dunia hii. Twajinyenyekea mbele yako. Msamaha BABA!
Baraka ziwe kwako mtunzi huu wimbo ni baadhi ya nyimbo chache zenye hisia na mvuto na sio rahisi kuchuja haraka nautabilia kuwa utavuma kwa mda mrefu sana.
This song blesses me..Lord make our hearts soft to love you more and more each day..we have sinned oh Lord and fell short of your glory ...Nimekosa Baba.....
Nimekosa baba nabado naendelea kukosa nihulumie mimi nyimbo hua hachokeki kusikika kwenye masikio yangu barikiweni sana waimbaji mungu azidi kuwainua nakuwap kibali kila uchao
Nimekosa Baba nimekosa mimi nihurumie,nimkosefu usiku na mchana nimeacha njia zako na nihurumie Bwana..nahitaji kurudi kwako Baba lakini naanguka kila nikitaka kusimama nihurumie
Hongereni Sana mmetuletea ujumbe mzuri Sana hakika maneno yaliopo kwenye nyimbo hii yanapenya Hadi ndani kwenye moyo hasa ukiwa unajutia dhambi ulizozitenda
Aminan jamani hakika walio imba wimbo huu mungu awabariki sana huu wimbo umeigusa dunia ya sasa vijana wetu sahivi halinimbaya sana maana ukimwambia kijan sahivi habari yakwenda kanisani swali lake nikwamba kuna warembo kanisan jaman mungu atusamehe sana sisi vijana pia atusaidie amina