Тёмный

Ninakuabudu Mungu Wangu - St. Thomas Aquinas 

Kwaya Mt. Fransisko Ksaveri, Chang'ombe Parish DSM
Подписаться 2,7 тыс.
Просмотров 21 тыс.
50% 1

Karibu kusikiliza wimbo wa Mt. Thomas wa Aquino, wimbo bora sana wa kuabudu.

Опубликовано:

 

10 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 54   
@gabrielnghonolidonald1178
@gabrielnghonolidonald1178 9 месяцев назад
Harmony imekaa moyoni kabisa Hongereni waimbaji na Wakufunzi
@victorchaungwe8066
@victorchaungwe8066 9 месяцев назад
Hongera sana , naomba wimbo na nyota zake . Asante.
@hilarybwagidi-fm2yg
@hilarybwagidi-fm2yg 9 месяцев назад
Yaani, utadhani mnachofanya kila mara huteta nanyi! Nakuombeeni kwa Mungu, Roho Mtakatifu aliyewafunulia ubunifu huu ni wa pekee. Shikamaneni, mko kwenye mpango ambao ni mzuri sana katika kutukumbusha wooote tunaojinadi kuuenzi Muziki Mtakatifu Katoliki Tanzania kwamba hakika ninyi mmepiga hatua sana. Amina sana.
@St.FrancisXavierDSM
@St.FrancisXavierDSM 9 месяцев назад
Asante sana Mwl Bwagidi kwa pongezi. Tutajitahidi kuenzi sacred music
@teddymbuya6696
@teddymbuya6696 2 месяца назад
Amina Amina Amina
@danorina6690
@danorina6690 9 месяцев назад
Pongezi sana Mt Ksaveri kwa kazi hii maridhawa sana. Nimezitazama nyimbo zenu zote hapa mtandaoni, nimewapenda sana. Ninawaombea dua njema kwa shughuli zenu zote. Lazima Mwenyezi Mungu anaippenda kazi sanaa yenu. Hongereni.
@St.FrancisXavierDSM
@St.FrancisXavierDSM 9 месяцев назад
Amina
@teddymbuya6696
@teddymbuya6696 2 месяца назад
barikiwa nawe pia mpendwa kwa kuzitazama na kuzipenda
@januarius-js2xl
@januarius-js2xl 9 месяцев назад
Nawapenda sana waimbaji..haswa wimbo Tuna hazina huwa 🔥🔥🔥🔥 hongereni sana kwa utume mwema.....ishini sana
@teddymbuya6696
@teddymbuya6696 2 месяца назад
Nawe tunakupenda pia, barikiwa sana kutazama, nawe ishi zaidi
@raphaelmagai7536
@raphaelmagai7536 9 месяцев назад
Mungu awatunze mnaimba vizuri sana St Francisco Xavery
@St.FrancisXavierDSM
@St.FrancisXavierDSM 9 месяцев назад
Asante sana
@teddymbuya6696
@teddymbuya6696 2 месяца назад
Asante sana mpendwa, Amina Amina Amina
@maxwellmax3939
@maxwellmax3939 9 месяцев назад
Mziki❤
@LucyWere-s4l
@LucyWere-s4l 28 дней назад
I just love the devotion the choir members have and the love. It's amazing!
@JUMAMSONGANZILA-zt2lk
@JUMAMSONGANZILA-zt2lk 9 месяцев назад
Hongereni sana kwa kazi nzuri, Mungu azidi kuwabariki
@teddymbuya6696
@teddymbuya6696 2 месяца назад
Amina Amina Amina
@rolinengugi556
@rolinengugi556 5 месяцев назад
This song draws me closer to God when ever I listen to it,,,oh God I love you,and am sorry that I keep forgetting what you did on cross for me..mbele ya malaika nitakuimbia zaburi
@teddymbuya6696
@teddymbuya6696 2 месяца назад
Amen Amen Amen. We love you too
@clementlugoda7870
@clementlugoda7870 9 месяцев назад
MUNGU ATUKUZWE, MWANADAMU ATAKATIFUZWE
@teddymbuya6696
@teddymbuya6696 2 месяца назад
Amina Amina Amina
@mapendoglory16
@mapendoglory16 9 месяцев назад
Heeeeee. Utadhani sijawahi kuusia Huu wimbo. Mpya mpya mpya. Mmbarikiwe wapendwa. Asanteni Kwa kunifariji nafsi yangu.
@teddymbuya6696
@teddymbuya6696 2 месяца назад
Wow, Amina Amina Amina
@marychristiansen2990
@marychristiansen2990 9 месяцев назад
Sawa swafi kabsaaa, Mungu atukuzwe duniani kote
@teddymbuya6696
@teddymbuya6696 2 месяца назад
Amina Amina Amina
@victorchaungwe8066
@victorchaungwe8066 9 месяцев назад
Hongera sana, naomba wimbo na nyota zake.
@St.FrancisXavierDSM
@St.FrancisXavierDSM 9 месяцев назад
Utapata. Mwone Mwl Gilishi
@zenobiakapere1379
@zenobiakapere1379 7 месяцев назад
1) Ninakuabudu YesuMungu wangu.Uliyejificha altareni,ninakutole moyo wangu,usiofahamu siri yako.2)Mafahamu yangu yadanganya,Yanapokuona na kugusa,nasadiki Yesu hadanganyi yeye Mungu Mwana na ukweli.3)Waficha umungu msalabani,na ubinadamu altareni,nami naungama yote mbili,kama mwivi yule mwenye toba.4)Tomato aligusa majeraha,nami nasadiki bila shaka,ewe Yesu nipe pendo lako,tumaini kwako na imani.5)Umeteswa nini bwana mwema,kwa kunipa mate wa uzima,Yesu unifiche ndani yako,Ili nilionje pendo lako.6)Yesu pelicane utazamwe,na kwa damu yako nitakase,Tone moja ndio linatosha,na dunia yote yaokoka.7)Nani ya mafumbo Yesu yumo,utafunguliwa kwangu lini? Nikuone Yesu uso wako,Nishiriki nawe heri yako..
@teddymbuya6696
@teddymbuya6696 2 месяца назад
Asante saana mpendwa wetu
@teddymbuya6696
@teddymbuya6696 2 месяца назад
@@zenobiakapere1379 Amina Amina Amina
@altogosbertluhikula9083
@altogosbertluhikula9083 9 месяцев назад
Asanteni sana kwa Tafakari nzuri sana.
@teddymbuya6696
@teddymbuya6696 2 месяца назад
Amina Amina Amina
@januarius-js2xl
@januarius-js2xl 9 месяцев назад
Hongereni sana
@victorchaungwe8066
@victorchaungwe8066 8 месяцев назад
Naomba nyota zake watumishi was Mungu. I real praise God for you people of God, and for yourselves. May He continually bless you more in this area of praise. Lakini Bado naomba nyota zake bado sijazipata. Nitumieni, Asante.
@St.FrancisXavierDSM
@St.FrancisXavierDSM 7 месяцев назад
Hi Victor, We thank you for the compliments. Can you share with us your email?
@teddymbuya6696
@teddymbuya6696 2 месяца назад
Amen Amen Amen
@furahambughi4977
@furahambughi4977 9 месяцев назад
Well harmonized, well sung. Hongereni sana kwa kazi nzuri mno.
@teddymbuya6696
@teddymbuya6696 2 месяца назад
Amina Amina Amina
@deodatusmkongwa2393
@deodatusmkongwa2393 7 месяцев назад
Hongereni sana kwa wimbo huu mzuri... mmeukosha moyo wangu
@teddymbuya6696
@teddymbuya6696 2 месяца назад
Amina Amina Amina
@user-jp7bm4kw7u
@user-jp7bm4kw7u 8 месяцев назад
Safi sana watumishi kz nzuri
@teddymbuya6696
@teddymbuya6696 2 месяца назад
Amina Amina Amina
@valencemwarabu7611
@valencemwarabu7611 9 месяцев назад
Safi sana
@teddymbuya6696
@teddymbuya6696 2 месяца назад
Asante sana
@dominokiba1112
@dominokiba1112 8 месяцев назад
Baraka tunazopokea kupitia uchaji na ibada hii kubwa iliyojaa unyeyekevu. Mbarikiwe sana.
@teddymbuya6696
@teddymbuya6696 2 месяца назад
Amina Amina Amina, tubarikiwe soooote
@user-uz1uj2gu3w
@user-uz1uj2gu3w 7 дней назад
Mungu azidi kuwazidishia kwa uimbaji wenu
@Ricagrovet
@Ricagrovet 9 месяцев назад
Hongereni Sana Kwa Kazi nzuriii 🥰
@St.FrancisXavierDSM
@St.FrancisXavierDSM 9 месяцев назад
Asante sana
@despinae.mdende
@despinae.mdende 9 месяцев назад
Hongeren sana
@St.FrancisXavierDSM
@St.FrancisXavierDSM 9 месяцев назад
Asante. Tumshukuru Mungu.
@sarahmarrion7633
@sarahmarrion7633 3 месяца назад
One of my best adoration song. To God be all the glory. Hallelujah
@teddymbuya6696
@teddymbuya6696 2 месяца назад
Amen
@imanhaonga6687
@imanhaonga6687 9 месяцев назад
kazi nzuri snaa hii hongereni wapendwa. Naombeni namba ya Lazarus Patiu
Далее
LAKINI NI NANI   Fidelis Kashumba
7:36
Просмотров 18 тыс.
WEWE WAJUA SADAKA YANGU   H B BWAGIDI
8:30
Просмотров 74 тыс.
JOYCE KAMBUA - NINAKUABUDU MUNGU WANGU
6:17
Просмотров 7 тыс.
MIMI NIKUTAZAME    Dr  David S  Kacholi
4:51
Просмотров 79 тыс.
Israel Mbonyi - Nina Siri
11:11
Просмотров 60 млн
NYUMBANI MWA BWANA
6:16
Просмотров 61 тыс.
UMENIITA BWANA(Official video)-Peramiho Abbey -SONGEA
9:07
TUNAHAZINA HII  -   Fr  Amadeus Kauki
6:05
Просмотров 6 тыс.
NYIMBO ZA KUABUDU EKARISTI TAKATIFU - 2024
22:56
Просмотров 63 тыс.