Wachokonozi MUNGU YUPO HAPO C WAUNGI MKONO ILA NIMEFUATILIA SANA MNA MIKAKATI MINGI SANA YA KUTUAMSHA WAAFRICA NI KWELI TUMELALA FOFO , ENDELEENI KUPIGA MSASA
Kwenye Mungu nadhani haujafundisha watu kilichopo. Kwakua mala nyingi unasema kua inisaidie nini! Ungesema kua dini zimeletwa lakini sisi tulikua na vya kwetu. Neno Mungu sio la wazungu, hata kwenye kabila lako wana neno ambalo wanatumia
msimuliaji afungamani afungamani namisalaba wala alama alama za mwezi na nyota msimuliaji achagui upande niafya kumlinda msimuliaji jamani by dizasta vina
Tunafurahi kusikia na kuelimika kupitia masomo yenu, Ila nchi zetu za ki Africa ukiwa msemaji wa kuikosoa serikali unaonekana adui, jitahidi bro uachane na mambo ya siasa bado tunakupenda hawachelewi kukupoteza
Lakini Makala kama za Prof. Shivji zinaelezea Sana juu ya haya Mambo kama Contrived togetherness, disoriented people n so forth.. Vijana muda wetu kutafta Maarifa.
Kama kwetu mbeya ni aibu kila baada ya hatua tatu au nne ni lazima ukute makanisa!yanajengwa kwa nguvu,hii nguvu ingetumika kujenga viwanda au kuendeleza sekta ya kilimo"nchi ingependeza,ila sasa tumepotezwa na tumekubali kupotea!inashangaza
😂😂100% watanzania tunavaa chupi made in china!!sisi ni mafala na nimejikubali mimi na wenzetu ambao nchi yetu tanganyika iliondoka na akili,ujuzi,ufanisi wetu wote😢 NA ELIMU TULIONAYO SIO YETU NI MADE IN ULAYA NDIO MAANA INATUSHINDA HATUNA UKIGUNDUA BUNDUKI LAZIMA JAMUHULI IKUFUNGE
@@أبوشريحابنمهدي ni misemo iliyozoeleka… wala haifungamani na kuamini uwepo wa mungu, mfano mtu akwambie tembea na ya yesu hata kama anaekwambia hivyo ni muislam au haamini uwepo wa mungu, Ahsante!
@@bulayaconfidential7212 Hakuna kitu kama hicho kila msemo una mahala pake bc ungetumia msemo wa chooni kuombea chakula Usitumie jina (wallah) alafu useme eti ni msemo wakati hata maana hujui Alafu nani akwambie tembea na yes ni msemo kila mtu anatumia umekosa hoja ya kutumia hapo mkuu Kama ni msemo kamuite babaako fala aalfu useme kuwa ni msemo tu