Upungufu wa kinga mwilini (UKIMWI) ni ugonjwa hatari, hauna tiba na unaua. Njia pekee ya kujikinga na ugonjwa huu ni kutumia condom, PreP, matumizi sahihi ya ARV na PEP.
Ikiwa upo kwenye kundi la watu walio katika hatari kubwa ya kupata maambukizi ya UKIMWI, hakikisha unafanya vipimo mara moja uonapo dalili za UKIMWI.
Katika video hii utjifunza na kufahamu Njia kuu 4 za kuzuia maambukizi ya UKIMWI kwa wenye UKIMWI na wasio na UKIMWI
Follow us on:
Facebook: / mshaniwellness
Instagram: / mshani_wellness
Twitter(X): / mshaniwellness
TikTok: www.tiktok.com...
Contact: 0743039890
16 окт 2024