Тёмный
No video :(

OLESENDEKA AONGEA KWA UCHUNGU MBELE YA WANANCHI MAENEO YA WAMASAI KUGEUZWA KUWA HIFADHI YA WANYAMA 

KUSAGA TV
Подписаться 158 тыс.
Просмотров 34 тыс.
50% 1

Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
RU-vid : www.youtube.co...
Tiktok. www.tiktok.com...

Опубликовано:

 

10 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 66   
@user-zk9ox3di4b
@user-zk9ox3di4b 2 месяца назад
asante sana kaka yetu olesendeka pole sana unatutetea sana lakini serekali ya Samia na CCM yake atumpendi kabisa
@JAMESLAPUT-ye6kk
@JAMESLAPUT-ye6kk 2 месяца назад
Olesendeka fanya kazi nzuri mheshimiwa,be blessed
@jeremiahngoka4980
@jeremiahngoka4980 2 месяца назад
Ameanza kulamba miguu tena.Hii nchi iko na shida aisee
@PartySekemi
@PartySekemi 2 месяца назад
Sendeka anajua vita ya kila aina na hana historia ya kushindwa na tupo nae na sio kila vita ni lazima utumie bunduki kuna vita vinahitaji akili ya kuzaliwa wala sio phd na tunamuamini hatutamuangusha
@JoshuaKamusiara
@JoshuaKamusiara 2 месяца назад
Mweshimiwa mbunge wa simanjiro baba wetu mpendwa kweli siungi mkono rais samia amechoka sana kwa kazi ya inchi yetu tuachiee lisu kazi achana wizi wa CCM
@artsonkimath2917
@artsonkimath2917 2 месяца назад
Yule wa Ngorongoro ndoo mbunge hii ni takataka kabisa
@mossesmepukori1826
@mossesmepukori1826 2 месяца назад
Olesendeka muigizaji tu mmasai yupi anamependa samia aliyetuacha bila ardhi?
@sylvestercameo6263
@sylvestercameo6263 2 месяца назад
Hongera sana Mh. Sendeka kwa kuwajingashia wamasai wenzako. Endelea kujimegea ardhi na kuwavuruisha wamasai wenzio kwa visingizio vya mapendekezo ya "game reserves". Lakini mwenye macho haambiwi ona!
@johakhimu.mgembe.3297
@johakhimu.mgembe.3297 2 месяца назад
Sema Ukweri Watu Wawe Huru.Acha kujificha ktk Ukweri.Unaoeleweka.Wana Akili ya kufahamu Unaowaongoza.
@jumakilinja6341
@jumakilinja6341 2 месяца назад
Mzee wewe huna tofauti na chokoraa mlala jalalani, yaani wewe bado unatuona sisi wote ni mag'ombe tunafuata mapalio,hatuna barabara enzi za ukoloni hadi leo na bado unajisifu na chama chako cha ufisadi
@ShalomNissitv
@ShalomNissitv 2 месяца назад
Si dhani kama huo ni ukweli.
@ElishaOisso
@ElishaOisso 2 месяца назад
Barabara zetu ni mbovu hasifai na huyu mzee ameshindwa kututetea bungeni ,,,tawala muluki orkito
@KiriaKipara
@KiriaKipara 2 месяца назад
Safi sana mkuu
@georgekimasaofficial1629
@georgekimasaofficial1629 2 месяца назад
We shauri lako 😂😂 utajuwa hujui.
@konemelau9068
@konemelau9068 Месяц назад
MUNGU azidi kukupa Afya njema hakika binafsi nimekuelewa, wewe ni kiongozi mkubwa sana na mwenye uchungu katka maa society
@olekitamwasmokotio9855
@olekitamwasmokotio9855 2 месяца назад
Mm kama Masai sijawai kukupenda ww mudomo tu akuna kitu
@PartySekemi
@PartySekemi 2 месяца назад
Hujielewi na hakuna na nina shaka sio na ukabila yako na akili yako
@ZakariaMnzava
@ZakariaMnzava 2 месяца назад
Mzee kama vile ananjaa ya madaraka
@PhilipoMwita-wc1ku
@PhilipoMwita-wc1ku 2 месяца назад
Hongera mzee wangu pigania haki ya wananchi
@user-te7ju3wk1x
@user-te7ju3wk1x 2 месяца назад
Mungu akupiganie baba kwa bidii ya yetu ya wamasai
@user-sb3hh3gc3k
@user-sb3hh3gc3k 2 месяца назад
Viongozi wa sahivi wa Tz HAWAJITAMBUI hata mmoja,kila kitu mama,.mama...mama...mama je serikali iko wapi sahivi!!?
@karolikisaka8991
@karolikisaka8991 2 месяца назад
Wamasai msidanganywe mnadhalilika. Njia ya pekee ya wamasai kusalia kwenye maeneo Yao ni kuiondoa ccm
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 2 месяца назад
Siasa bhana unakanyagwa unalia halafu unamshukuru aliye kukanyaga kwa vile eti kisima cha maji kiko kwake
@LaizerSangau
@LaizerSangau 2 месяца назад
Mzee olesendaka anashida nikwamba mamake abdo Ako madarakani na mtoto wa nyoka niwanyoka tu awesi badilika kwaiyo sendeka ww nimtoto WA Samia Samia akisema wamasaai waondolewe ww unangufu WA kumusuiya Samia sisi tunaitaji katiba mpya ili awokomeshe Hawa walagai WA ccm
@jeremiahblazio4781
@jeremiahblazio4781 2 месяца назад
Acha kujipendekeza mzee shughulika na wananchi wako
@user-bz5ti6op6z
@user-bz5ti6op6z 2 месяца назад
Kumbe mberigiji hafui dafu huyu ndiye Mmasai
@uraiatv8455
@uraiatv8455 2 месяца назад
Shida ya Sendeka ni kujipendekeza
@lusajomwaipopo5042
@lusajomwaipopo5042 2 месяца назад
Kiatu kimembana analaImisha
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 2 месяца назад
Hivi si huyu ndo alikoswakoswa na risasi
@user-jl5uh1xq9f
@user-jl5uh1xq9f 2 месяца назад
Ukikalibia uchaguzi ndo unaleta maneno laini mwaka huu kazi ipo
@clarencehilary5588
@clarencehilary5588 2 месяца назад
Msimtaje samia unatudhi Sana
@elishadodi8787
@elishadodi8787 2 месяца назад
Kalambishwa asali tayari huyo naye
@user-cw3vu8mu3k
@user-cw3vu8mu3k 2 месяца назад
Unafiki ni kiwango kikubwa sana cha uchawi
@PhilipoMwita-wc1ku
@PhilipoMwita-wc1ku 2 месяца назад
Hakuna mwana ccm anaeweza kumkosoa Samia hadharani Haya yote nitatizo la Samia lkn sendeka hawezi subutu
@InnocentCharles-hm3ff
@InnocentCharles-hm3ff 2 месяца назад
Mmh! Yote tunayosikia toka Kanda iyo but mwamba bado anasifia na kucheza Ngoma....akiyanan wallah!
@andrewkissava9184
@andrewkissava9184 2 месяца назад
Ole sendeka acha kuwahadaa na kuwalaghai wananchi unaona uchaguzi una karbia unaanza kugeuka tena kuonekana kama mtetezi wawananchi ,kwanza tukuulize ole sendeka kwani anayeuza hiyo aridhi ninani? Ma anayehamisha masai loliondo ninani? Ana ye uza misitu ninani aliyeuza bandari ninani? Siunamjua sasa kwanini unawalaghai na kuwahadaa wananchi ?
@nkwazigatsha
@nkwazigatsha 2 месяца назад
Kwani huyo Samia wenu anatoa hiyo pesa toka mfukoni mwake? Unawauza nduguzo. Anawafukuza wamasai kupisha upigaji nawe unawahadaa. Kuna siku utaujua ukweli.
@FredrickOlentimama-tj4ps
@FredrickOlentimama-tj4ps Месяц назад
Tutetee baba yangu
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 2 месяца назад
Hivi wewe ole sendeka bado UNATAKA ubunge? Watu wako wanakosa maeneo lkn unatetea ATI umejengewa shule na Hosp hivi unawaza vizuri KWELI 😂😂 Tamaa za pesa mnatesa Ndugu zenu
@adamwoiso2180
@adamwoiso2180 2 месяца назад
Nani atampa kura huyo mama Samia labda utampa wewe na machawa wako
@patellaisangai6013
@patellaisangai6013 2 месяца назад
Kwani kata lokisale nimbona monduli unahusika na nini uko
@GeofreyMwandanji-ot2lf
@GeofreyMwandanji-ot2lf 2 месяца назад
Akipita masai wote nima nyumbu
@MaikoSiria
@MaikoSiria Месяц назад
bas wewe ambae sio nyumbu ingia madarakani utengeneze
@ImaniLaizar
@ImaniLaizar 2 месяца назад
Sawa mwamba tetea wananchi wako
@user-yl2br2ts3i
@user-yl2br2ts3i 2 месяца назад
mnafki huy mzee😂😂😂😂
@kibbysaidi7813
@kibbysaidi7813 2 месяца назад
Nikikumbuka lile shambulio la risasi zaidi ya 10 lakini 4 tu ndio zikaipiga gari yako....mmh! Vipi mheshimiwa si ungeacha hata moja ipasue kioo!!
@YassinRajabu
@YassinRajabu 2 месяца назад
wewe sendeka mchochezi bola mfukuzwe tu mutoke kwenye hifadhi
@elishapalaletlaizer3714
@elishapalaletlaizer3714 2 месяца назад
Pimbii we hauna.Maana kabisa
@ElishaOisso
@ElishaOisso 2 месяца назад
Yani tumpe kura mtu anaeuza maeneo yetu,,alafu anatuambia raisi ajasaini ,,,tumechoka na hii ccm,,,,ormaasailang mee onyo na kito
@lucasparmet3201
@lucasparmet3201 2 месяца назад
Kutaja maeneo kwa kuyajua kwa majina sio tija Mzee acha kuwadanganya wananchi Samia hapati kira simanjiro
@Maasai-TV
@Maasai-TV 2 месяца назад
Mekitamayani nekilepunyeki osinga lepapa lanyorr olesendeka
@user-yl2br2ts3i
@user-yl2br2ts3i 2 месяца назад
tumba tupu😂😂😂....
@lenkitengtajeutajeu
@lenkitengtajeutajeu Месяц назад
Njeeretu ntae enkai
@williamwanga2126
@williamwanga2126 2 месяца назад
Umenena
@lucasparmet3201
@lucasparmet3201 2 месяца назад
Hakuna kitu hapo ni njaa tu hiyo
@EzekielMetia
@EzekielMetia Месяц назад
Uongo😂😂
@saidiathuman-og6bc
@saidiathuman-og6bc 2 месяца назад
Sendeka Acha Ayo Mambo kabisa
@obadiajuma436
@obadiajuma436 2 месяца назад
Sirahisi
@LasaroSilasi
@LasaroSilasi 2 месяца назад
🙏🙏👏👏👏👏👏
@juliusjuliuskalunjulaipu-ik7kq
@juliusjuliuskalunjulaipu-ik7kq Месяц назад
0:12 Tabolu duo ie ngonyek olesendeke ijoito enijoito isipita oo misipita mikiolo tenekishomoki aiyop ingonyek ahu kitanaki engutuk mikiolo tenesipa ing'orito engop eishoi ino mekitaretoki engai taduaa sii meeku ai kishomoki aiyop ingonyeki amu asa taaduo King'ori too ndioli pae irkulie osekin mekingorokini tenemutu imitito engop eishoino tesipata? alaa mekitareroki engai natii shumata amu nenyena pooki
@yamatlemomo542
@yamatlemomo542 2 месяца назад
Bado unatosha kwenye kiti hicho simanjiro musifanye kosa
@NardhisMhagama-sy3eq
@NardhisMhagama-sy3eq 2 месяца назад
Huna lolote unaona wamasai ni wajinga
@user-ff1ti2bo4w
@user-ff1ti2bo4w 2 месяца назад
Niambie kura amuna
@melubokusoro5668
@melubokusoro5668 2 месяца назад
Olesendaka naye ni Mpuuzi Tu! Dalali
@jumamagoma1743
@jumamagoma1743 2 месяца назад
Sendeka.wamasai.sio.wajinga.wana.jambo.lao.2024.25.ccm.subilini.kichapo
@batwelimahenge7850
@batwelimahenge7850 2 месяца назад
Wewe ni chawa kama machawa wengine Njaa tupu
Далее
Gelik yoki Velik?
00:20
Просмотров 1,1 млн
Вся Правда Про Хазяевов !
41:02
Просмотров 2,3 млн
ENKAI IBUNGAKI ENAIBOISHU IRMOING'O, ORKILIKWAI OIROSHI
16:19
Gelik yoki Velik?
00:20
Просмотров 1,1 млн