ccm hakuna mwenye akili yake timamu aliekuwa hawajui vitimbi vyao hapo OMO umesema jambo kubwa kuwa ktk uchaguzi hao viongozi wenye mamlaka huwa makatili mno lkn ukisha uchaguzi ndio wanakuwa na sura za ubinadam na tasbihi mikononi na kuomba maridhiano huku wakijinasibisha na amani na utulivu yaani kwa hapo umemaliza kila kitu kuhusu hao watu hivyo ndivyo walivyo.
Suluhisho la Zanzibar tupigane ili heshima irudi kama Ruanda au Burundi lakini best solution kwa mimi ni kugawana visiwa ili chama upande kiliokuwa na nguvu kiongoze huko.
Mimi nakwambia hii Zanzibar imepinduliwa na hawa wanaongoza ndio walio PINDUA kama mnaweza na nyinyi pinduweni bila ya hilo msiwadanganye watu CCM hawaitoi
Momo sisi tunataka kura ya mapema na serekali ya umoja wa kitaifa vyote viondoke chama kitakachoshinda kiunde madaraka sio kutubabaisha nyinyi mupate sisi mutudanganye hatutaki hayo bhana
Omo kuishinda Ccm siyo rahisi Rais Hussein Mwinyi ameleta maendrleo ya hali ya juu kwa muda mfupi Zanzibar mnyonge Mnyongeni haki yake mpeni Hussein oyeeeee kazi inaendelea ubsrikiwe sanaaaa acha waseme Act Wazalendo hiyo ni Siasa tu Hussein Mwinyi wewe ni mtoto uliyelelewa vizuri sanaaaa
sisi wananchi wana kindaki ndaki wazalendo wazaliwa wa Unguja tunamsemo mkaanga mbuyu huachia wenye meno watafune Au mchumia janga hula na wa kwao . Tuwe na tahadhari na mtu huyu akili ya kuambiwa changanyana za kuwako.
Wewe uelewe maneno yako yote ni ya ochechozi umesoma lakini ujue hii unamajibu mbele ya Allwa uelewe hii nchi haiendeshwi kiislam jitahidi iwe nchi ya kiilam bila ya hivyo litalotokea jukumu unalo
@@muzneali4747 Kwani kupingua lazima muue kunanjia nyingi za mapinduzi. yapo mengine huuwi hata sisimizi. Na hyo mambo ya hukumu tumuachie Allwa kunamtu aliua watu. mia Allwa kamuingiza Peponi. sasa hukumu tumuachie mwenyewe bwana.
Ww tu ndio unapenda kwa sababu ya wizi ila huna hoja Tanzania bara watu millioni 50 wanapiga siku moja watu milioni mbili znz wapige siku mbili nynyi ni wezi wakubwa