To bring out the ideal picture of the challenges facing citizens at large #kenyanpolitics #nuruokangake #citizendigital #kenya #difmedia #ruto #bungelamwananchi #raila #railaodinga #kenyanyoutuber
Hii nafasi ikipita tutalilia kwa choo,,, ruto anapika mahesabu pole pole tu, aliweka mkuu wa majeshi mwenye amepakisha mwaka Moja aende retire alafu tuwekewe mkale, mmmm hapo ndiyo mtajuwa hamujui ,,,,, wakati ni sasa na kama si sasa ni sasa hivi hakuna wakati wa kuharibu, GEN Z KAMILISHENI MULICHO ANZISHA