Kipindi hiki kizuri mno ....Juma Ayo fanya mchakato siku moja utuletee Shaffih Dauda hapo Digala ......tulijua mengi sana had ya chini ya kapeti mfano ali kamwe , tunu , jemedari ....halafu taratibuu uje uanze kuleta wachezaji hasa mastaa mfano , chama , mayele nk
@@angellomarcel5677 usichanganye Fatuma Chikawe alikuwa anasoma habari za michezo aliteuliwa na rais ambaye ni mkuu wa miraya ya kigamboni ni Fatuma Almas Nyangasa uyo alianziaga ITV akaja Azam uyo alikuwa anausika na habari na akina Ivon Kamuntu
Hii ndio tabu ya sehemu za kazi , Asilimia kubwa sehemu za kazi wana wapenzi, Tena wengine wana wake zao na wana waume zao lkn wana mahusiano makazini...! Mimi kama mwanaume nawaambia wanaume wenzangu, Kama una mke anafanya kazi ujue hayuko Mikono salama JIPANGE...!
@@haidhabushiri9558 ...Yaani kiufupi hivi viumbe viwili vikichangamana ni Mtihani sana....angalia mashirika ya uma , Maji, Umeme,posta, sehemu mbalimbali ni hatari, ukiwa hujafanya kazi za kuajiriwa huwezi kujua, lkn ni AIBU...!
Ndugu yangu Ismail Masoud, siyo kweli ya kwamba kila mwanamke ambaye ana mume wake na anafanya kazi/shughuli mahali fl'ani, basi atakuwa na mahusiano huko kazini/ofisini.{Wapo wanawake ambao ni waaminifu sana kwenye ndoa zao/ mahusiano na wenza wao & wapo wengine ambao pia siyo waaminifu kwenye mahusiano yao}. 👉Kikubwa ni kuzidi kuwajengea wanawake hao uwezo wa kujiamini & kuwapa nafasi pale inapostahili.