Тёмный

ONE ON ONE PART 3 TUNU AWEKA WAZI MAHUSIANO YAKE NA KITENGE/CHANZO CHA KATANGA KUONDOKA EFM. 

ValorTV
Подписаться 48 тыс.
Просмотров 46 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

27 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 36   
@AnuariSatari
@AnuariSatari 7 месяцев назад
Asalaam alykum waramatulahi aniatu Nikka rabana takabal dua amin
@oyay2821
@oyay2821 2 года назад
Tunu uko sawa kama mwanadada. Much love from 254.
@edinamgulila8827
@edinamgulila8827 2 года назад
Kipindi hiki kizuri mno ....Juma Ayo fanya mchakato siku moja utuletee Shaffih Dauda hapo Digala ......tulijua mengi sana had ya chini ya kapeti mfano ali kamwe , tunu , jemedari ....halafu taratibuu uje uanze kuleta wachezaji hasa mastaa mfano , chama , mayele nk
@Abdul-oc1ul
@Abdul-oc1ul 2 месяца назад
We malaya tu
@majaliwamussa9268
@majaliwamussa9268 2 года назад
Huyu Tunu jamani hajaolewa akisoma comment mimi nipo tayari kama hakuna aliye nitangulia
@mdalamgir-gu9hu
@mdalamgir-gu9hu 2 года назад
Kama watafuta mke kwa.mitandao hautapata tafuta wenzio wa mitandao
@katushabedotto2883
@katushabedotto2883 2 года назад
Tinu nakupenda sanaaaaa
@iddybakar1946
@iddybakar1946 2 года назад
Tunu namlav sana anajua nilifikiria maulid atahama na uyuu dadaa kwenda wasafi ila mwanaid pia sio mbaya
@flavianchuwa4370
@flavianchuwa4370 2 года назад
Kweli Jamani mkumba,na mhando dahhh
@abuumitema548
@abuumitema548 2 года назад
Umepatia J ni ukweli sana uo.
@amirisaid6341
@amirisaid6341 2 года назад
Keep up bro unajua kufanya interview 🙌
@dishonlinus6514
@dishonlinus6514 2 года назад
sema juma apo kwenye nipe tano 😁😁umenikosha
@abuyunusmohamed6961
@abuyunusmohamed6961 2 года назад
Yote tisa kumi vipi mahusiano yako ya kimapenzi na kitenge tuweke wazi😄
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 2 года назад
Duh..! Umenikumbusha Mkumba na Mhando asee
@lungusii
@lungusii 2 года назад
Mimi huja nipa namba
@samsonphilemonmgina7286
@samsonphilemonmgina7286 2 года назад
Fransis mhando na mkumba wako wapi cku hiz
@christophergeorge5490
@christophergeorge5490 2 года назад
Mhando yupo E sports ile ya j mos na j pili saa mojaila mkumba ndo hayupo
@hijazhija316
@hijazhija316 2 года назад
0:08
@edinamgulila8827
@edinamgulila8827 2 года назад
Huyo fatuma chikawe ni nan na anafanya kaz wap ?
@abbyadams8691
@abbyadams8691 2 года назад
Azam
@motamohele3015
@motamohele3015 2 года назад
EFM
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 2 года назад
Alikuwa Azam nadhani sasa hivi ni mteule ni DC
@gaudinamosnchobe4909
@gaudinamosnchobe4909 2 года назад
@@angellomarcel5677 usichanganye Fatuma Chikawe alikuwa anasoma habari za michezo aliteuliwa na rais ambaye ni mkuu wa miraya ya kigamboni ni Fatuma Almas Nyangasa uyo alianziaga ITV akaja Azam uyo alikuwa anausika na habari na akina Ivon Kamuntu
@murjijamal7994
@murjijamal7994 2 года назад
Mchambuz wa michezo @Azam Media
@selemankaduma1186
@selemankaduma1186 2 года назад
Samahani Niulizie Jimbo Liko Wazi
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 2 года назад
Hii ndio tabu ya sehemu za kazi , Asilimia kubwa sehemu za kazi wana wapenzi, Tena wengine wana wake zao na wana waume zao lkn wana mahusiano makazini...! Mimi kama mwanaume nawaambia wanaume wenzangu, Kama una mke anafanya kazi ujue hayuko Mikono salama JIPANGE...!
@TradersEasyWay
@TradersEasyWay 2 года назад
hahaa! huko sahii kabisa tena kama anafanya kazi zile ambazo anakua na vikao vingi mpaka usiku na kusafiri safiri sana!
@haidhabushiri9558
@haidhabushiri9558 2 года назад
Kazi za shift ndo balaa nursing, police, jeshi ,uandishi
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 2 года назад
@@haidhabushiri9558 ...Yaani kiufupi hivi viumbe viwili vikichangamana ni Mtihani sana....angalia mashirika ya uma , Maji, Umeme,posta, sehemu mbalimbali ni hatari, ukiwa hujafanya kazi za kuajiriwa huwezi kujua, lkn ni AIBU...!
@kilapilo.kilapilo5292
@kilapilo.kilapilo5292 2 года назад
Ndugu yangu Ismail Masoud, siyo kweli ya kwamba kila mwanamke ambaye ana mume wake na anafanya kazi/shughuli mahali fl'ani, basi atakuwa na mahusiano huko kazini/ofisini.{Wapo wanawake ambao ni waaminifu sana kwenye ndoa zao/ mahusiano na wenza wao & wapo wengine ambao pia siyo waaminifu kwenye mahusiano yao}. 👉Kikubwa ni kuzidi kuwajengea wanawake hao uwezo wa kujiamini & kuwapa nafasi pale inapostahili.
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 2 года назад
@@kilapilo.kilapilo5292 ....ungesoma usingejibu hivyo, ni asilimia kubwa sio wote, na usiwaweke wanawake tu' ni wote na wanaume...!...ukweli uko hivyo
Далее
MAGIC TIME ​⁠@Whoispelagheya
00:28
Просмотров 7 млн
На самом деле, все не просто 😂
00:45
MISSION IMPOSSIBLE [60]
23:51
Просмотров 79 тыс.
MAGIC TIME ​⁠@Whoispelagheya
00:28
Просмотров 7 млн