Uyu juma musom alipigiw magot n p n c,anaumia Sana kukosa kuwa nafas y karibu na mask ana yake moyoni huu ni ujinga anaongea Kwan nauli waliompa ndio wanajua kwann kaenda n y,mzee mshamba huu anaboa san
Afu uyu mtangazaji anakili ka mtoto mdogo kwanini unataja jina moja kwa moja uyo jama yy ana sema dainamo ili isilete utata badae ww unataja diamond kwanini ?? Ebu kuweni na akili nyie mnazani vinafuraisha ivyo mnavo viongea kwa muhusika inaweza kuleteeni matatizo kutaja majina