Nawaomba sana Viongozi kama mtaona hii comment hakikisheni Pacome anapewa Mkataba wa miaka 5 na mshahara uboreshwe sisi mashabiki tutachangia kama klabu itashindwa kumlipa. Kama wananchi mnakubaliana na mimi wekeni like zenu hapa.
Viongozi, wanachama na mashabiki wa Yanga tunapaswa kukemea uamuzi mbovu sana kutoka kwa waamuzi wote watatu ambao jambo lao na mpango wao ulikua ni mmoja walikua well organized kuikwamisha YANGA hawa waamuzi wanasababisha wachezaji wafanye kazi mara mbili na kutumika nguvu nyingi sana, wanapewa kiburi na ile ofisi iliyojaa watu wao
Pia wachezaji wasiwe wabinafsi kwenye pasi watoe kwenye kufunga wafunge wasilazimishe pia ushapu wakafanya mahamuzi ya haraka mfano dube alivyokosa kufunga endapo hasingewai kukimnilia kushangilia goli angerudi haraka nakuweka mpira wavuni baada ya kugonga nguzo nakurudi nje kuchelewa kwake ndio kulimkosesha goli zuri kabisa ,teamwork, consistent na higher spirit mwanzo mpaka mwisho wa mchezo
Nawatakia Kila la kheri kwenye mechi ya kesho kombe tunalitaka hiwe hisiwe maana Azam washajinadi kuwa kesho kombe wanalibeba,pie kuweni makini na Kila mbinu mbaya ikiwemo kuumiza wachezaji wetu na kuweni makini na feisali maana kesho atakamia ilitu hatufunge na wachezaji wengine pia naimani benchi la ufundi litafanya homework nzuri kuikabiri na pia wachezaji wazitumie nafasi vizuri ndani ya box na nje ya box lasivyo ata kimataifa itatucost lazima tuwe makini one chance one goal
jamani kwel hii dhahabu tuliyo pewa iongezwe mkata mpaka elf mbili 30 kwa xixi tunaopenda xayansi ya mpira kiukwel hatuchoki kukitazama hichi kiumbe ata kama hela ya kumublolexhea mkata itakuwa hakuna mtoe tu no ya lipa wengne tuanze kutoa tulicho kuwa nacho mana jamaa he's top top bext player