Тёмный

PACOME ALIVYOITEKA SHOO DHIDI YA VIUNGO WA SIMBA/TAZAMA MWANZO MWISHO 

Yanga TV
Подписаться 678 тыс.
Просмотров 111 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

16 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 113   
@misambo7539
@misambo7539 Месяц назад
Nawaomba sana Viongozi kama mtaona hii comment hakikisheni Pacome anapewa Mkataba wa miaka 5 na mshahara uboreshwe sisi mashabiki tutachangia kama klabu itashindwa kumlipa. Kama wananchi mnakubaliana na mimi wekeni like zenu hapa.
@Mr.kigoma
@Mr.kigoma Месяц назад
Kweli kabisa🎉😂
@noelabeli3346
@noelabeli3346 Месяц назад
Kweli
@denimpemba
@denimpemba Месяц назад
Tupo baba
@user-du1nq6sz4m
@user-du1nq6sz4m Месяц назад
Kweli inabidi apewe mapema sana
@user-sm4jq6hq1t
@user-sm4jq6hq1t Месяц назад
Kweli kabisa
@abbykgm2444
@abbykgm2444 Месяц назад
Kama unaamini pacome Zouzoua ndo MVP wa msimu ujao like hapa
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv Месяц назад
Yaani umepewa pasi mpira umekushinda mpelekee Pacome.... ❤❤❤ sijui kata anapita pita vipi jamaa fundi.....sana
@jaffjeff6912
@jaffjeff6912 Месяц назад
Eeeh ukiona pakuupeleka hakuna Kuna msitu wa watu mpe mali Pacome apasue ngome ya adui
@JohnJohnmushi
@JohnJohnmushi Месяц назад
Kazi yetu nimoja tu jaman tulipe kad za uwanachama na ushabiki bss pacome atabaki ❤😊
@Oscartv15
@Oscartv15 Месяц назад
Tunomkubali pacome tulike hapa
@edsonmakweta6347
@edsonmakweta6347 Месяц назад
Le professor 🔥
@damasmayanja2930
@damasmayanja2930 Месяц назад
Pacome ,Mungu Baba yetu wote akupe afya njema, nguvu na maarifa zaidi tukuone imara zaidi CAF CL 2024/2025❤
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 Месяц назад
Yaani Jana ilikua zilezile TANO,..Wakati ujao MAKOLO mtalia ngoja GAMONDI awasome na kocha wenu ,...AMINI NAWAAMBIA
@RhodaMloge
@RhodaMloge Месяц назад
Kikubwa wasimuache mganga wao wa jana😂😂
@amriiddy1972
@amriiddy1972 Месяц назад
Mtu Nanusu 🔥
@Kibudu
@Kibudu Месяц назад
Pa co me Mwamba sana
@Dopa5115
@Dopa5115 Месяц назад
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 profesa
@FatumaKitambuu
@FatumaKitambuu Месяц назад
Mwamuzi kawaokoa sana simba
@MaulidRajab
@MaulidRajab Месяц назад
Pacome, pacome, pacome, nimekuita mara 3 🙏
@SalumRashid-b2s
@SalumRashid-b2s Месяц назад
Hii yanga ni balaa mno tupewe mapema tu kombe letu
@MichaelNgowi-nc3vn
@MichaelNgowi-nc3vn Месяц назад
Pacomeeeee fundi mnoo
@mussakakinda6637
@mussakakinda6637 Месяц назад
Naomba viongozi wetu wamuongezee mkataba miaka 6
@vaxminja9053
@vaxminja9053 Месяц назад
Faulo mbaya kama hiyo hakuna kadi
@damianmcba9525
@damianmcba9525 Месяц назад
Kama yule fala Mzamilu kamwingia pacome na miguu yote miwili asingeruka kidogo ingekuwa noma
@l.marley_2542
@l.marley_2542 Месяц назад
Pacome ndio Star wa Yanga
@jmwa
@jmwa Месяц назад
Tuwekee ya kaka Mzize pia
@mwajumampokileomckapela7541
@mwajumampokileomckapela7541 Месяц назад
Pacome on 🔥🔥💚🖤💛
@yohanadavid8055
@yohanadavid8055 Месяц назад
Viongozi, wanachama na mashabiki wa Yanga tunapaswa kukemea uamuzi mbovu sana kutoka kwa waamuzi wote watatu ambao jambo lao na mpango wao ulikua ni mmoja walikua well organized kuikwamisha YANGA hawa waamuzi wanasababisha wachezaji wafanye kazi mara mbili na kutumika nguvu nyingi sana, wanapewa kiburi na ile ofisi iliyojaa watu wao
@frankmlalila1705
@frankmlalila1705 Месяц назад
Mbwa weeee
@adammkisema1524
@adammkisema1524 Месяц назад
HAPA CHAMA KAYAKANYAGA ATACHEZEA BENCHI SANA
@neemamwasomola8663
@neemamwasomola8663 Месяц назад
Namkubali max pacome na yaoyao
@Evance-op4jw
@Evance-op4jw Месяц назад
asante muuba kwaajili kiumbe chako hiki pacome
@davidmassawe9288
@davidmassawe9288 Месяц назад
Apewe mkataba mapema Sanaa aisee 💪🔰🔰🔰
@user-db4cq6vb9x
@user-db4cq6vb9x Месяц назад
King of football Pacome deserve balloon 'd or
@HappyKitindi
@HappyKitindi Месяц назад
😂😂😂😂😂😂😂😂
@FiniasBugobola
@FiniasBugobola Месяц назад
Pacome 🎉🎉🎉🎉
@SHABANIABEDI-qt1vw
@SHABANIABEDI-qt1vw Месяц назад
Nani alikua anamfananisha chama na pacome
@amaniomar1755
@amaniomar1755 Месяц назад
Safi sana 🎉🎉🎉
@vibetz9991
@vibetz9991 Месяц назад
Dakika Tisa zote zimejaa matukio ya mtu mmoja tu,,, we huogopi,, 😂😂😂wachezaii wengine 21 wamegawana DK 80😂😂😂
@RashidMuhunzi-pr5xj
@RashidMuhunzi-pr5xj Месяц назад
❤ PACOME ZOUZUA
@kabujeasukile5462
@kabujeasukile5462 Месяц назад
MWAMBA ANATISHA sana
@LucasDeus-l8m
@LucasDeus-l8m Месяц назад
Mtu hataree Sana 🤝
@rosemaryKalega-c5s
@rosemaryKalega-c5s Месяц назад
Pacome ataendelea kua juu daima🎉
@johnabery-vn7eb
@johnabery-vn7eb Месяц назад
Namkubali zouzuaa viongz wamjali sn
@kolosii4351
@kolosii4351 Месяц назад
Mungu amlinde hii ndio sala yangu kwake na wenzio.
@shaibusaady2420
@shaibusaady2420 Месяц назад
Allaah Akbar
@shaluanelson7363
@shaluanelson7363 Месяц назад
Sijui ni kwann mzamiru hakupewa onyo la kadi ya njano. Ama kweli refa aliaumua kuwa mbeleko
@user-rr7du8om1z
@user-rr7du8om1z Месяц назад
Wamshkru tuh refa kwa mapenz yao
@AbdalahIddy-w4x
@AbdalahIddy-w4x Месяц назад
Ball brainn zouz⚽️⚽️⚽️⚽️🌏🌏🌎🌏🌏
@ShafiiHungo
@ShafiiHungo Месяц назад
Weeeeeee pacome wee rahaaaaaaa aiseeeeee huyu kiumbe kama gaucho
@kedyjohn1848
@kedyjohn1848 Месяц назад
Hili lijamaa aisee duuh
@kolosii4351
@kolosii4351 Месяц назад
Maforward inabidi wachangamke zaidi. Viungo wako vizuri sana. Bado wao tu ili mziki unoge.
@nahimjumanne8188
@nahimjumanne8188 Месяц назад
pacome Kawatesa Sana Makoro 😂😂😂😂😂
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv Месяц назад
Ukitizama mechi za Yanga misimu hii miwili yaani burudani tosha inalipa kwa sisi wapenda soka la burudani
@DanielSunzu-fm5ji
@DanielSunzu-fm5ji Месяц назад
Fundi wampira apawe mkataba wa miaka mitano
@robertchazya2351
@robertchazya2351 Месяц назад
Dube naye vipi sijui hapo
@MichaelMakelo
@MichaelMakelo Месяц назад
Pacoum zidane wa bongo
@CatherineFrancis-ii7eq
@CatherineFrancis-ii7eq Месяц назад
NI RAHA KUMTIZAMA JAMAN
@radhiamussa1629
@radhiamussa1629 Месяц назад
Pia wachezaji wasiwe wabinafsi kwenye pasi watoe kwenye kufunga wafunge wasilazimishe pia ushapu wakafanya mahamuzi ya haraka mfano dube alivyokosa kufunga endapo hasingewai kukimnilia kushangilia goli angerudi haraka nakuweka mpira wavuni baada ya kugonga nguzo nakurudi nje kuchelewa kwake ndio kulimkosesha goli zuri kabisa ,teamwork, consistent na higher spirit mwanzo mpaka mwisho wa mchezo
@samweljames
@samweljames Месяц назад
Oooooh wow🎉😂
@alexponera46
@alexponera46 Месяц назад
Pacoume Ana vitu uyo
@charlesmakuri792
@charlesmakuri792 Месяц назад
Pacome ni kati ya wachezaji walio wa kiwango cha juu
@rasheedabby2871
@rasheedabby2871 Месяц назад
Kiwango cha pacomme ni mara tatu ya wachezaj wote wa simba combined
@patricknyiti5303
@patricknyiti5303 Месяц назад
Zimbwe kaonekana kama mchezaji wa Ndondo
@KhamisHamad-v7f
@KhamisHamad-v7f Месяц назад
Ubaya ubwela walikusudia kumuumiza Eli professor pacome
@radhiamussa1629
@radhiamussa1629 Месяц назад
Nawatakia Kila la kheri kwenye mechi ya kesho kombe tunalitaka hiwe hisiwe maana Azam washajinadi kuwa kesho kombe wanalibeba,pie kuweni makini na Kila mbinu mbaya ikiwemo kuumiza wachezaji wetu na kuweni makini na feisali maana kesho atakamia ilitu hatufunge na wachezaji wengine pia naimani benchi la ufundi litafanya homework nzuri kuikabiri na pia wachezaji wazitumie nafasi vizuri ndani ya box na nje ya box lasivyo ata kimataifa itatucost lazima tuwe makini one chance one goal
@JoshuaAshery-u3x
@JoshuaAshery-u3x Месяц назад
Next MVP
@Fredynchacha-qx1lv
@Fredynchacha-qx1lv Месяц назад
Huyu jamaa n mtu hatariii sana
@user-xr2vr1rm3q
@user-xr2vr1rm3q Месяц назад
Halafu anatolia kenge mmoja anasema Pacome Zouzoua hamna kitu...
@RashidiAhmad-ow5fb
@RashidiAhmad-ow5fb Месяц назад
Acha aitwe profecor
@MafegiPesambili
@MafegiPesambili Месяц назад
Mwamba noma
@MwaniPh
@MwaniPh Месяц назад
Chuma hki
@damasmayanja2930
@damasmayanja2930 Месяц назад
Pacome Siyo binadamu wa kawaida 😂😂😂
@User92.invisible
@User92.invisible Месяц назад
💚
@callicevallice7383
@callicevallice7383 Месяц назад
Refa hata kadi hatoi, mbwa kabisa huyo
@EmanuelLyambata
@EmanuelLyambata Месяц назад
Uyu jamaa anajua jaman
@AllyMasangaluka-bm5ib
@AllyMasangaluka-bm5ib 27 дней назад
Mbona wachezaji wa Simba awapewi kadi au ndio maelekezo kwa kalia msomali
@madibasenior412
@madibasenior412 Месяц назад
Ivi hua mnasumbulisha na nn kueka music sound juu mnatuboa
@idrisamapesa2732
@idrisamapesa2732 Месяц назад
huyu mwamba huwez amin kama walukuja kwa mguu na yao kouas 😂😂😂
@amosimilanzi68
@amosimilanzi68 Месяц назад
Ila nyie mantra muacheni aitwe Bugatti maana anajua kumchochea mtu mpa bas yan...😮
@jumamakuri9176
@jumamakuri9176 Месяц назад
Punguzeni mziki ili matangazo yasikike vizuri
@DavidPoul-y8k
@DavidPoul-y8k Месяц назад
Uyu pacome nimdogo wake messi
@AdelaJohn-h1p
@AdelaJohn-h1p Месяц назад
Ukweli shabalala ameteseka
@charlenekabelela2155
@charlenekabelela2155 Месяц назад
Huyu ni ZoaZoa anasafisha kijiji chote
@josephgalandu128
@josephgalandu128 Месяц назад
mlipatana simba refa apunguze idadi ya magoli
@kolosii4351
@kolosii4351 Месяц назад
Pacome umefanya vizuri kwa mmoja huyo aliyekung'ang'ania maungoni ukamtupia huko! Na wengine wakija vibaya kwako wafanyie hivyo hivyo.
@beatbyrich2891
@beatbyrich2891 Месяц назад
Pacome mpira wake Upo kichwani kuna watu wangeenda shule wangekuwa ma professor kweli
@YusuphBupamba
@YusuphBupamba Месяц назад
Niatali xana Pacome ni kama feni hivi Sema walitaka kumumiza ndomaana akapunguza sped
@charlesmakuri792
@charlesmakuri792 Месяц назад
Still simba say they played well
@worldhappiness1181
@worldhappiness1181 Месяц назад
Huyu akienda madrid anachukua Ballon d'o
@dragon_tz
@dragon_tz Месяц назад
Mmmh.. mm nachakusema hata.. haakhaa mwenzako. 😮
@SephaniaPaul
@SephaniaPaul Месяц назад
jamani kwel hii dhahabu tuliyo pewa iongezwe mkata mpaka elf mbili 30 kwa xixi tunaopenda xayansi ya mpira kiukwel hatuchoki kukitazama hichi kiumbe ata kama hela ya kumublolexhea mkata itakuwa hakuna mtoe tu no ya lipa wengne tuanze kutoa tulicho kuwa nacho mana jamaa he's top top bext player
@wedsonanangisye5512
@wedsonanangisye5512 Месяц назад
nikupigaaa kichwan badooo wanaaa pumua
@EliasOwilly
@EliasOwilly Месяц назад
Marefa wetu kwakweli wanamapungufu mengi watu wanavuja jasho jingi halafu ,anafanya fyongo ni baya sana
@mwansasujonny3536
@mwansasujonny3536 Месяц назад
Hakunaga
@MudyAlly-q7d
@MudyAlly-q7d Месяц назад
Huyu refa hatokagi na kadi au hua hajisikii kutoa kadi pacome kachezewa rafu 4 ya 5 ndo anatoa kadi
@ahmedsdk6736
@ahmedsdk6736 Месяц назад
Niliwahi kusema kw pacome chama namba uhakika n mdogo kupata
@AllyAmanzi-y8i
@AllyAmanzi-y8i Месяц назад
huyo mzee wa kijiji kuwakusanya
@mupenziildephonse5427
@mupenziildephonse5427 Месяц назад
Yanga murarenze.
@AllyMikidadiAlly-v5f
@AllyMikidadiAlly-v5f Месяц назад
Weka Mutale na zouzuoa halafu fadlu awe kocha atampanga nani kikosi cha kwanza?
@kolosii4351
@kolosii4351 Месяц назад
Hawa wachezaji wa simba rafu nyingi sana na kubembea maungoni mwa wachezaji wetu. Vipi ndio mlichojifundisha huko??
@RahmaniHusseni
@RahmaniHusseni Месяц назад
Ana baya uyu mtu
@allysaidlyambange4500
@allysaidlyambange4500 Месяц назад
😅😅😅TUACHIENI TU DOWNLOAD FOR FREE JOMONI BOSIIII AAAA😅😅
@selemanmussa3459
@selemanmussa3459 Месяц назад
Huyu anayeweka background music huwa ni kiziwi au?
@ThomasElasto
@ThomasElasto Месяц назад
𝑯𝒖𝒚𝒖 𝒏𝒅𝒊𝒐 𝒎𝒗𝒑 𝒂𝒋𝒂𝒆 𝒃𝒊𝒍𝒂 𝒎𝒂𝒌𝒂𝒏𝒅𝒐 𝒌𝒂𝒏𝒅𝒐 𝒎𝒖𝒏𝒈𝒖 𝒂𝒎𝒖 𝒆𝒑𝒖𝒔𝒉𝒊𝒆 𝒏𝒂 𝒎𝒂𝒋𝒆𝒓𝒂𝒉𝒂 𝒕𝒖
@methodiafrancis9636
@methodiafrancis9636 Месяц назад
Kabisaaaaa
Далее
Добрая весть 😂
00:21
Просмотров 398 тыс.