Ni mfulilizo wa afundisho ya kila juma kutoka katika Kanisa kuu la Bukoba, Mafundisho haya hutolewa kila Alhamis saa 11 Jioni katika Kanisa kuu la Bukoba Jimbo Katoliki la Bukoba, www.radiombiu.co.tz #RmSautiYaFaraja
Na mimi nitajibiwa hakika ,Asante saana Baba Padre napenda Mafundisho yako na wewe usiikose Mbingu kwa kujitoa kwako kuhubiri ili watu waokoke ,Naamini Unakohubiri Waumini wataacha pombe na Wampokee Roho mtakatifu ili Waje Wauone Ufalme Wa Mbinguni
" nimesoma kwenye shule ya kikatoliki sikuwahi kujua kama pombe ni ruhusa ,miaka yote juzi nikiwa safarini siti moja na padri nikawa namuuliza maswali akaniambia kwa wakatoliki pombe ni ruhusa kunywa akaniambia mimi ni padri lakini nakunywa pombe lakini sio muda wa ibada
" hakika nilishangaa sana padre kuniambia kunywa pombe sio dhambi nikamuuliza kwhyo kwa mkatoliki kunywa pombe sio dhambi na kumiliki baa sio dhambi. Padre Kamugisha umepewa neema ya kufundisha sana MUNGU akubariki