Тёмный

Padre Dkt Kamugisha: "Kuna matunda ya Ulimi" Malaika wanakuja kama watu/Muda wa ziada fanya kitu. 

Radio Mbiu
Подписаться 23 тыс.
Просмотров 21 тыс.
50% 1

Ni mfulilizo wa afundisho ya kila juma kutoka katika Kanisa kuu la Bukoba, Mafundisho haya hutolewa kila Alhamis saa 11 Jioni katika Kanisa kuu la Bukoba Jimbo Katoliki la Bukoba,
www.radiombiu.co.tz
#RmSautiYaFaraja

Опубликовано:

 

10 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 23   
@paschalmiligo3896
@paschalmiligo3896 2 года назад
Baba kamgisha asante kwa utume wako.
@Udindigwa
@Udindigwa 2 года назад
Amina Baba
@evodiastephano2926
@evodiastephano2926 Год назад
Baba Mungu amubariki kwa mafundisho Yako mazuri unaendelea kutubariki
@charlesadongo3885
@charlesadongo3885 2 года назад
Since I bumped into your teaching always Feeling encouraged from Kenya
@dominicblass4319
@dominicblass4319 2 года назад
Tyk baba, mungu azidi kufungulia ufunuo ili utuelimishe zaidi
@edgarlupumbwe6436
@edgarlupumbwe6436 2 года назад
Amina baba padre
@mariamakoye9066
@mariamakoye9066 2 года назад
Asante Kasisi
@manjaugodwin7834
@manjaugodwin7834 2 года назад
Nabarıkıwa sana mtumıshı na mafundısho yako.
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 года назад
Na mimi nitajibiwa hakika ,Asante saana Baba Padre napenda Mafundisho yako na wewe usiikose Mbingu kwa kujitoa kwako kuhubiri ili watu waokoke ,Naamini Unakohubiri Waumini wataacha pombe na Wampokee Roho mtakatifu ili Waje Wauone Ufalme Wa Mbinguni
@sarahmsangi7243
@sarahmsangi7243 2 года назад
" nimesoma kwenye shule ya kikatoliki sikuwahi kujua kama pombe ni ruhusa ,miaka yote juzi nikiwa safarini siti moja na padri nikawa namuuliza maswali akaniambia kwa wakatoliki pombe ni ruhusa kunywa akaniambia mimi ni padri lakini nakunywa pombe lakini sio muda wa ibada
@sarahmsangi7243
@sarahmsangi7243 2 года назад
" hakika nilishangaa sana padre kuniambia kunywa pombe sio dhambi nikamuuliza kwhyo kwa mkatoliki kunywa pombe sio dhambi na kumiliki baa sio dhambi. Padre Kamugisha umepewa neema ya kufundisha sana MUNGU akubariki
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 2 года назад
Asante Sana padri.Endelea kupiga injili.ndivyo inavyotakiwa.siyo Jumapili kwa Jumapili.tena kwa SAA.Asante kwa neno.
@manjaugodwin7834
@manjaugodwin7834 2 года назад
Mungu akubarıkı sana sana.
@ElishaKasambo-yu5jt
@ElishaKasambo-yu5jt Год назад
Ubarikiwe baba
@missphilip-vh2xp
@missphilip-vh2xp Год назад
Ameeen mtumish wa bwana
@irenemashallo2311
@irenemashallo2311 2 года назад
Thanks alot Father....
@agnessima5032
@agnessima5032 10 месяцев назад
Nimejifunza kitu..kumbe Mungu is not limited by SPACE!!
@AlexPaschal-m4p
@AlexPaschal-m4p 2 месяца назад
Baba
@dominicblass4319
@dominicblass4319 2 года назад
Tyk baba, tunamshukuru Mungu ndani ya kanisa kuwa na mtumishi Kama wewe unayetuelimisha,unayetufundisha masomo mbalimbali.
@alexandergresmo2656
@alexandergresmo2656 2 года назад
Mungu akubariki dct Kamgisha
@simonyombo3347
@simonyombo3347 2 года назад
Amina mtumishi Bwana Yesu akutie nguvu
@freddykulwa8190
@freddykulwa8190 Год назад
Tumsifu yesu kristor
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 года назад
Amina Amina
Далее
Самый БОЛЬШОЙ iPhone в МИРЕ!
00:52
Как подписать? 😂 #shorts
00:10
Просмотров 192 тыс.
NENO LA SHUKRANI KUTOKA KWA BABA ABATE
33:03
Самый БОЛЬШОЙ iPhone в МИРЕ!
00:52