Тёмный
No video :(

PAF yaanika Sauti za Mwakinyo kususia pambano, Ugomvi wa mwanamke watajwa, Tutapambana kisheria. 

Mwananchi Digital
Подписаться 1 млн
Просмотров 14 тыс.
50% 1

.Kampuni ya Promosheni ya Ngumi za Kulipwa nchini, PAF leo Jumatatu imeanika vielelezo kibao ya mambo yaliofanywa na bondia Hassan Mwakinyo 'Champez' zikiwemo sauti kwa kile kilichoitwa kupangia kazi/ vitu vya kufanya waandaji hao kinyume na mkataba wake

Опубликовано:

 

28 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 149   
@alexanderjustine1523
@alexanderjustine1523 11 месяцев назад
Hakuna bondia hapo
@user-oo6lc4mv9m
@user-oo6lc4mv9m 10 месяцев назад
Kwani kakwambia nibondia wako😂 tulia yule anamsimamo wake
@Officialking23
@Officialking23 10 месяцев назад
😂😆😅😂tanzania bado sana jamn, mambo gani haya sasa
@ashrafurwegoshora4227
@ashrafurwegoshora4227 11 месяцев назад
Aukuwa serious boss tamaa zimekuponza,wewe ndo umevuruga pambano, usisahau sheria msumeno
@hamzamoshi8275
@hamzamoshi8275 11 месяцев назад
Amevuruga pambano au amevuruga mkundu wako 😅
@williamgeorge-hd2tn
@williamgeorge-hd2tn 11 месяцев назад
Mwakinyo yupo sahihi
@MultiKelvin1994
@MultiKelvin1994 11 месяцев назад
Mwakinyo sio tu bondia... ni Mkurugenzi wa Mwakinyo Pros kampuni ya ngumi ambayo mlikuwa mna ubiya kuandaa hilo pambano... acha sanaaa babu
@floridauhagile8615
@floridauhagile8615 11 месяцев назад
Ktk maisha Kila mtu anamsimamo wake binafsi mwakinyo yupo sahihi Sana Ila Kama huna ajili huwezi elewa
@MussaIdd-pb8hr
@MussaIdd-pb8hr 11 месяцев назад
Mzee umekoseya uripaswa kumshika mkono siyokufosi kwamtu ariye mgombanisha nandunguyake siyosawa kwahiro mungu hamsamehi anaye sababisha hawerewani siyosawa
@dominicrobert266
@dominicrobert266 11 месяцев назад
Apelekwe tu kortini Ghana!
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 10 месяцев назад
Mwakinyo acha maringo,,kwastaili iyo watu wameuza pambano liiiileeee la ulaya
@benedictinelusambo069
@benedictinelusambo069 11 месяцев назад
Jicho la kushoto la huyo jamaa linacheze cheza ovyo ovyo
@gwajimagwajima
@gwajimagwajima 11 месяцев назад
Mjomba usicheke kilema cha mtu
@user-jt2rt5by1s
@user-jt2rt5by1s 11 месяцев назад
Usiongee hivyo ndugu, siyo vyema ndugu yangu.
@user-ki7hd3lg2q
@user-ki7hd3lg2q 11 месяцев назад
Mwakinyo yupo sahihi . Ww mzee huna hekima mtu kashakuambia kwamba apatani na mafia kwann ulazimishe , na pia umemzalau mwakinyo kusema mabondia wake hawajiwezi hata hao wakubwa walipewa nafasi kipindi hawana mashabiki
@hamdincatalonia3272
@hamdincatalonia3272 11 месяцев назад
Wauza unga wapo kazin
@abdallahsimba3516
@abdallahsimba3516 11 месяцев назад
Champez niko pamoja na wwe
@newmuslim8714
@newmuslim8714 11 месяцев назад
Una bondia apo bondia gani anachagua wakucheza nao
@EvanceBujiku-dc9rh
@EvanceBujiku-dc9rh 10 месяцев назад
Ningeomba wanamichezo wa boxing kukataa huyu promota taperi ,,kwanza anapiga hela kwa ability boxing harafu anawapeleka mahakamani,mkataeni,hana hela keshi,anatafuta vikampuni uchwara vya uswahillni vitamins pambano,mwakinyo Ana brand kubwa hata asipopiganna ,aingie ukumbini watu wanajaa,boxing mkataeni huyoo taperi
@dominicrobert266
@dominicrobert266 11 месяцев назад
Promoter uko sahihi ,wanaokupinga ni wapuuzi tu.
@dominicrobert266
@dominicrobert266 11 месяцев назад
Apelekwe tu kortini bana.
@senixdanethox
@senixdanethox 10 месяцев назад
Hapo kwenye hasara sasa duh 500mil wakati dola 20000 huwez kulipa hata uwanja wa taifa ukujaa huwa hawafikishi mil 580
@PaulMethusela-yp3ok
@PaulMethusela-yp3ok 10 месяцев назад
Kimsngi mzee unakurupuka sanaa kwaerezo yako tu hauko sahh huwez kumrazimisha mtu
@twahirburhan3726
@twahirburhan3726 11 месяцев назад
Kumbe ndo maana Mandonga huwa anamponda kwamba anashinda kimchongo!
@malkavoice2570
@malkavoice2570 10 месяцев назад
Sasa huyu mzee haya mambo ya mwanamke mbona Mwakinyo hajaongea! Huyu kweli alikuja kugombanisha sio kupromote
@samwel7975
@samwel7975 10 месяцев назад
Kisheria hapo hakuna mkataba. Kusema tu kwamba mpinzani anakuja mwingine ambae hajaandikwa kwenye mkataba kisheria mmeshapuyanga...Sheria inasomwa ilivyo sio kwa kuongezea vilivyo kichwani kwako
@nyungwajunior1301
@nyungwajunior1301 10 месяцев назад
Mwakinyo analeta uswahili katika mchezo ambao tayari ulishaqnza kupendwa na mashabiki na wadhamini kuvutiwa na kuanza kuwekeza fedha nyingi.
@dominicrobert266
@dominicrobert266 11 месяцев назад
Duh hatuna bondia hapa,tuna dramatic man.
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 10 месяцев назад
Hapo wote mnaonekana ni wajanja watupu Sasa mmekutana,,
@malkavoice2570
@malkavoice2570 10 месяцев назад
Ngumi ni sanaa kwahyo bondia anaweza kuwa na misimamo yake juu ya maslahi yake na ninyi kama mnalazimisha awasikilize ninyi kwa maslahi yenu mnakosea. Diamond yule pale amezaminiwa na Pepsi kwenye show yake akija coca hawezi kuwaruhusu hata wauze tu soda au maji. Ninyi mmemkosea sana Mwakinyo mnapaswa kumplz jambo liishe vzr
@kambilukwele2831
@kambilukwele2831 11 месяцев назад
Yupo sahii
@othumanlorenzo260
@othumanlorenzo260 11 месяцев назад
Sana Sana boxer ndugu yetu anakaa kijajanja
@wazirisaid8326
@wazirisaid8326 10 месяцев назад
Wewe hustahili kuwa promota umebebwa kwasababu ilukuwa ni mipango ya kumharibia Mwakinyo. Wewe ndio umeharibu mkataba kwakuweka mambo yaliyokuwa nje ya mkataba. Ungekua unahitaji kushirikiana na Mafia mungekwenda nyote na Mwakinyo asaini mbele yenu nyote kuonesha kuwa amekubaluana na hapo angekataa baadaye angekuwa na kosa lakini umeweka ulaghai ktk mkataba. Unaposwma barua rasmi, kwani una barua rasmi ya Makubaliano kati ya Mwakinyo , PAF na Mafia? Kama nchi hii ni yenu wewe Mafia na Mwakinyo? Maandishi hayo unayoyaonesha yalikuwa hakali mwanzoni lakini sasahivi ni batili. Halafu Kwani Mafia ni mdhamini au Promota?Hayo maneno ya kunyang'anywa mwanamke yapo kwenye maandishi? Mbona ya mwakinyo unataka yawepo kwenye maandishi? Hao walioahirisha kuja kwasababu mwakinyo hapigani ni kiekelezo tosha cha ukubwa wa Mwakinyo.
@hassanalawy4325
@hassanalawy4325 10 месяцев назад
Mzee nimekuelewa saaana….. biashara na mambo yako binafsi wapi na wapi? Mara oooh, kiatu wamenibadilishia mara glove mara kiatu kimenibana…..leo anasema mtu sielewani nae….kwakweli mwakinyo ni mtu wa mipasho…… Sasa kama inafikia hatua kaka yako tumbo moja hamlewani wewe c, mtihani
@bekabakari7394
@bekabakari7394 11 месяцев назад
Nadhani mwakinyo Amesha jitambua Anaelewa professional boxing Sio kuburuzwa buruzwa Na wajanja kufaidika Nadhani utakua mfano mzuri
@mckobatz5861
@mckobatz5861 11 месяцев назад
Kujitambua ni kususia ngumi kwa sababu ulipokonywa demu au ni kusimamia misingi ya uweledi "professional bases"? Yaani masuala binafsi yanaingilianaje na kazi ambapo maandishi hayasemi taratibu husika? Kuliko kumsifia na kumchochea ashike misimamo inayoweza kumrudi baadae ni vyema tumshauri apunguze mihemko ya mambo binafsi kazi isiathirike hizi ni biashara na ni maisha ya watu.
@othumanlorenzo260
@othumanlorenzo260 11 месяцев назад
​@@mckobatz5861kaka ahsante Kwa kuelewa Mimi sijui watz wakoje, wanasema Kwa mfano jamaa ana msimamo Mimi nimemuonea mtu ambaye ana uelewa mdogo Sana katika ngumi, na utawala wake Kwa haiwezekani uka personalize jambo kama hili mambo binafsi yanaingiaje katika professionalism pili Kwa anavyojinasibu nilitegemea atakuwa ana MTU anaweza kuongea nae, analeta mambo binafsi na Hana adabu
@jamilmwinge3695
@jamilmwinge3695 11 месяцев назад
Mzee kila mtu kamkataa basi si ungeomba upige nae gem tuone izo dollars 9000 ujinyakulie mwenyewe. 😢😢
@user-hi8le2vb7z
@user-hi8le2vb7z 10 месяцев назад
STRAIT KAWEKA KAFUNGA NDOA,STRAIT KAWEKA MIMBA.KUNA WATU WANA SHABAHA KWELI KWELI😊
@abdallahsimba3516
@abdallahsimba3516 10 месяцев назад
Tapeliiii mkubwa weeee
@emmanuelsichone4681
@emmanuelsichone4681 11 месяцев назад
Tujue kua mwakinyo ni Brandi ni promota pia analesini zake ana kampuni kwaihuwezikumweka sehem Moja nakampuni aliokosananayo umuweke men kad tujue nayeye anapro yake itwayo champez
@contempo_builders
@contempo_builders 11 месяцев назад
Kwani mkataba aliingia kama kampuni au kama bondia?
@emmanuelsichone4681
@emmanuelsichone4681 11 месяцев назад
@@contempo_builders hapo ndo panaufafanuzi kwenye chama Cha ngumi
@maweni5332
@maweni5332 11 месяцев назад
Mumechemsha sana na mukienda mahakamani atakunyoosheni
@othumanlorenzo260
@othumanlorenzo260 11 месяцев назад
Kivipi nisaidie atawashindaje
@ramadhanirashidi4175
@ramadhanirashidi4175 11 месяцев назад
Nipo nawewe mwakinyo
@saidisalumu103
@saidisalumu103 11 месяцев назад
Kayakanyaga
@user-ix3er9ec9u
@user-ix3er9ec9u 11 месяцев назад
Mkienda mahakamani atawauliza me nilipaswa kupigana na nani??
@mckobatz5861
@mckobatz5861 11 месяцев назад
Nani aliyepropose mabadiliko ya bondia kati ya kampuni na yeye?
@eliaskasambala3408
@eliaskasambala3408 11 месяцев назад
Kanuni za ngumi znaruhusu kubadili opponent
@krispinkomba4606
@krispinkomba4606 11 месяцев назад
​@@eliaskasambala3408kanuni zinasema unaweza kubadili mpinzani ndani ya muda gani
@alexanderjustine1523
@alexanderjustine1523 11 месяцев назад
Hujui ngumi n mikataba usipende kukariri
@ashrafurwegoshora4227
@ashrafurwegoshora4227 11 месяцев назад
Sasa kama ukipitia maangaiko yote ayo ukishindwaje kuachana na udhamini wa mafya (ulilazimika kutowatoa mabondia wa mafya maana ulikuwa na na mkataba)acha janjajanja mzee
@filbertnaje8953
@filbertnaje8953 11 месяцев назад
Sasa na wewe unampangiaje promota Cha kufanya wakati pesa umeshachukua si tamaa izo atakuja kufirwa uyo mwakinyo wewe umeshachukua pesa sponser usimpangia watu wanaenda kwa mkataba anko
@bausmohammed6673
@bausmohammed6673 10 месяцев назад
Umejifanabisha iyo siyo picha yako
@simbajumanne9718
@simbajumanne9718 11 месяцев назад
Mwakinyoo wewe ni kengeeee kabisaaa
@daffangov6074
@daffangov6074 10 месяцев назад
Wanamchafua mwakinyo tu
@abdallahsimba3516
@abdallahsimba3516 11 месяцев назад
Ataje mmbo mbaya akuambie we inakuhusu nni
@hamdincatalonia3272
@hamdincatalonia3272 11 месяцев назад
Mwakinyo mwamba sana amumuwezi
@dominicrobert266
@dominicrobert266 11 месяцев назад
Dogo kachukua kàoa kalenga ,duuh!
@MsafiriBaruti
@MsafiriBaruti 11 месяцев назад
Knachokulalamisha ni nn acha tupambane
@bausmohammed6673
@bausmohammed6673 10 месяцев назад
Huyu mzee anatumiwa na wabaya kumualibia mwakinyo namng'ata sikio kw hilo kafeli mshamba pigana wewe
@machumbeliesto2694
@machumbeliesto2694 11 месяцев назад
kwa maelezo yako inaonyesha kabisa mlikuwa na makubaliano ya kushirikiana kuandaa hili pambano kati yako wewe na Mwakinyo. kwangu mimi Mwakinyo yupo sahihi kwa maamuzi aliyochukua
@user-lo9pb1po8l
@user-lo9pb1po8l 11 месяцев назад
Mwakinyo akamatwe apigwe fimbo 1000
@jastinmsigwa4154
@jastinmsigwa4154 11 месяцев назад
Poromota unamakosa yakukiuka makubaliano. Hivyo wewe ndiwe uliyesababisha haya yote. Ukwel nikwamba mwakinyo amenyooka. Icon yetu yatz nimwakinyo.
@MaulidAdam
@MaulidAdam 11 месяцев назад
Acha tamaa promota
@MsafiriBaruti
@MsafiriBaruti 11 месяцев назад
Jamani huyu mtu alishawakataa hao watu Kuwa hawataki na alimwambia huyu Mzee mapema naalimwambia Kuwa hao watu walisha kosana huko Tanga na matatzo makubwa hivyo asitafute utetezi
@isayajohnson2150
@isayajohnson2150 11 месяцев назад
Aliwakataa kwenye mkataba au kwenye nini?
@abdallahsimba3516
@abdallahsimba3516 11 месяцев назад
Mzeee hana jipyaa
@gwajimagwajima
@gwajimagwajima 11 месяцев назад
Hiyo biashara ,usichanganye biashara na maswala yako bunafsi
@rogertuga007
@rogertuga007 11 месяцев назад
​​@@gwajimagwajimanakupa mfano mdogo tu kakutombea mkeo na mwanao kike na unajua ukamfumania halafu anatafuta kazi na wewe upo kwenye jopo la usaili. Vipi mtu huyo utampitisha kwenye huo usaili mufanye kazi pamoja kwenye ofisi yako na kuweka pembeni matatizo yako binafsi?
@gwajimagwajima
@gwajimagwajima 11 месяцев назад
@@rogertuga007 Kwa hiyo yy katombewa sio ?kama anafaa apewe kazi halaf ww uliotombewa ondoka maana kutombewa kwako hauhusiani na maswala ya ofisini
@saidinalmsofethatsgoodwaya6454
@saidinalmsofethatsgoodwaya6454 11 месяцев назад
Mjanja mjanja sana Mwakinyo ila wakishamba
@othumanlorenzo260
@othumanlorenzo260 11 месяцев назад
Sana kaka
@luganokibona7328
@luganokibona7328 11 месяцев назад
😂😂😂 Karingo Godson Karingo
@ukuvukiland2387
@ukuvukiland2387 11 месяцев назад
Huyu mzee muongo sana hasara milioni 500 unashindwa kumlipa bondia dolla 20000 😀😀😀😀haya mambo profesa jay aliimba promota anabeep nakumbuka mapromota wa bongo flavour kipindi kile ,wamewafanya wasanii wengi wamekua mateja sasa mmekimbilia kwenye ngumi,bongo noma kweli.😂😂😂😂😂
@aloyceisdory7855
@aloyceisdory7855 10 месяцев назад
Kuna gharama za maandalizi apo kwanza ata bei ya mkanda tu umeisikia kweli
@kazkaz1943
@kazkaz1943 11 месяцев назад
Mwakinyo jifunze kusamehe saba mara sabini iyo misimamo sio mizuri flan simtaki flan simtaki si mizur katika maisha ❤ nakupenda
@user-ki7hd3lg2q
@user-ki7hd3lg2q 11 месяцев назад
Mzee anajitahidi kujisafisha lakini bado anajikandamiza mwenyewe bora angekaa kimya wakayamaliza . Promota matapeli tunachohitaji nyie mlikubaliana nn kuhusu mwakinyo pro na promotion yenu
@ellymagoke6079
@ellymagoke6079 11 месяцев назад
Mkataba huo auhusiani na pambano la pili hauna jina la mzambia
@littlesakhoiv1893
@littlesakhoiv1893 11 месяцев назад
halikuwa hapigani na mzambia...
@iamdarlez2683
@iamdarlez2683 11 месяцев назад
Mzee acha uwongo voice note 100 unafta ndani ya sekunde moja tu sasa mtu anafta ukamuita mtu akusetie si nusuu nzma apo imetmika sasa voice note 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂acha uwongo
@jummane3306
@jummane3306 11 месяцев назад
Kargo njaa yako mbaya haufai ndio maana uliwahi kulikoroga pale yanga kwasababu ya njaa yako
@dominicrobert266
@dominicrobert266 11 месяцев назад
Acha ujinga wewe!
@ibrahimyusuph7544
@ibrahimyusuph7544 11 месяцев назад
Mwambiki mwakinyo alejesha hizo ps alizochkuwa
@hamdincatalonia3272
@hamdincatalonia3272 11 месяцев назад
Nyinyi uzeni unga tu
@bausmohammed6673
@bausmohammed6673 10 месяцев назад
Mwakinyo hapigani akale wewe njaaa
@user-ow2lb4ek9b
@user-ow2lb4ek9b 11 месяцев назад
Huo mkataba unahusu mwakinyo na okwiri na sio mwakinyo na indonga sasa ukienda mahakaman nani atashinda kesi
@Gude415
@Gude415 11 месяцев назад
Hapo Mwakinyo Amefanya Nini Sasa Mbona Amema Ualisia na Co Kama Unavyo Sema wewe Mzee We Mzee Jau
@hafidhdrogba3392
@hafidhdrogba3392 10 месяцев назад
Wewe mzee unarohombaya fikilia ingenue wewe unauwadui namtu alafu unambiwa ufanyenae kazi ofisini kwako ungekubali?.wewe mtumzima tena unawatoto kama mwakinyo punguza rohombaya
@mckobatz5861
@mckobatz5861 11 месяцев назад
Kiburi si maungwana
@MultiMbongo
@MultiMbongo 11 месяцев назад
Kutombewa kunamchanganya😅
@luminary9506
@luminary9506 10 месяцев назад
Kwa mtazamo wangu sidhani kama mwakinyo anapigania njaa saivi anapigania brand..... So mzee izo story za nilimlipa nilimlipa hio njaa ya ivyo alisha amalizaga sana zamani
@ibrahimomari2458
@ibrahimomari2458 11 месяцев назад
Maelezo ya promota yanaonesha wazi kabisa alikuwa na nia ovu sana...
@ErnestBoniface-nw4pt
@ErnestBoniface-nw4pt 11 месяцев назад
Akili huna
@williamkeita1519
@williamkeita1519 11 месяцев назад
Upo sahihi huyu promoter mwiz
@fahadfarid8561
@fahadfarid8561 11 месяцев назад
Ww kazi yako ndio kupromot nothing else,hassan kazi yake ni kupigana nyote mnalinda brand zenu so acheni ushamba kuchafuana huu mchezo still bado mnajitafuta vp kila siku uchafu tu tena hadharan huo ni ushamba sana...
@filbertnaje8953
@filbertnaje8953 11 месяцев назад
Mwakinyo ni shoga lile
@MussaCharlessongo-iw5hf
@MussaCharlessongo-iw5hf 11 месяцев назад
Promota wezi saana hawa jamaa
@user-ow2lb4ek9b
@user-ow2lb4ek9b 11 месяцев назад
Yaan ww karigo ni boya mtu unayeshirikiana naye kibiashara kasha kwambia hawaelewan ww ukofosi sasa nani mwenye tamaa hapo
@stanleygeorge-lg8et
@stanleygeorge-lg8et 11 месяцев назад
Aendelee kua mgangaa
@salimulaya1866
@salimulaya1866 11 месяцев назад
Huyu jamaa kama mbele ya vyombo vya habari anaongea hivi, akiwa huko pembeni je inakuwaje?
@user-ix3er9ec9u
@user-ix3er9ec9u 11 месяцев назад
Je hayo maandishi mnayo ya huyo bondia wa pili mliemleta
@gwajimagwajima
@gwajimagwajima 11 месяцев назад
Aliomleta yy,aliomchagua yy,maana anachagua mabondia kaa nguo
@twahirburhan3726
@twahirburhan3726 11 месяцев назад
MANDONGA ALISHASEMA SIKU NYINGI HASSANI NI BONDIA WA MCHONGO! NA KUMBE NDIO MAANA KULE UINGEREZA ALISINGIZIA KUIBIWA BEGI KUMBE NI MCHONGO!
@user-ow2lb4ek9b
@user-ow2lb4ek9b 11 месяцев назад
Huyu mzee ni muongo alafu hiyo voice note inamfunga unayefanya naye biashara kashakwambia hawezi kufanya biashara na mtu aliyemfelisha kimaisha sasa iweje usimsikilize
@MultiMbongo
@MultiMbongo 11 месяцев назад
Mkataba unasemaje?
@ayubutwalbu6594
@ayubutwalbu6594 11 месяцев назад
Mzee huna Sera unamakosa uwezi kuwakutanisha mtu na adui yake hata Kama ungekua wewe
@abisaimuhanji3687
@abisaimuhanji3687 11 месяцев назад
Watu wa michezo hasa waratibu wamejaa migogoro migogoro kinoma ndio maana hatuendi mbali..
@WinfridaDavid
@WinfridaDavid 11 месяцев назад
Uyu mwakinyo choko xn na sasa hv atutaki habari zako maan analeta ushoga tuh bora tukomae na madonga mtu kazi anatupa burudani xafi tuh
@Marjeby
@Marjeby 11 месяцев назад
Hassan Mwakinyo 1.Ana roho mbaya sanaaa 2.Mshamba 3.Elimu yake ya darasa la saba inamtesa sanaaa. 4.Anna uanamke mwingi
@christiancalvin2183
@christiancalvin2183 11 месяцев назад
Umesahau no. 5 Mswahili
@OchoaHomeDecor_
@OchoaHomeDecor_ 11 месяцев назад
No6 mgaigai
@saleheinnocent7636
@saleheinnocent7636 11 месяцев назад
😂imeisha iyo
@saleheinnocent7636
@saleheinnocent7636 11 месяцев назад
Mzee kubadili to jina ushajiloga nenda polisi haraka
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 11 месяцев назад
Huyu Mzee inaonekana ni tapeli
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 11 месяцев назад
Huyu Mzee Inaonekana ni tapeli
@rahimsadru-ct4ot
@rahimsadru-ct4ot 11 месяцев назад
Yan km umeshindwa kumuelewa huyu jamaa ,,bas ww n mjinga
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 11 месяцев назад
@@rahimsadru-ct4ot na wewe ndio Unaweza kuwa mjinga wa kutupwa kwa kushindwa kufikiria nje ya boksi
@saidinalmsofethatsgoodwaya6454
@saidinalmsofethatsgoodwaya6454 11 месяцев назад
Hakika Hassan amekosea sana
@user-xx7cx5cw7n
@user-xx7cx5cw7n 11 месяцев назад
San jmni
@saidkizota3595
@saidkizota3595 11 месяцев назад
Huyu mzee choko katumwa
@DamasMichael
@DamasMichael 11 месяцев назад
Ila mwakinyo shida
@williamkeita1519
@williamkeita1519 11 месяцев назад
Mnafik huyu mzee
@ahmedsalim4930
@ahmedsalim4930 11 месяцев назад
MWAKINYO ANAHARIBU SANA HATAKAMA YUKO SAWA HUYU MZEE AU MWAKINYO YUKO SAWA ANAHARIBU KUSEMA (MIMI NIMEKOSANA NA NDUGU YANGU HATA AKIFA SISEMI NAE DUH😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 NDUGU YANGU MUISLAMU MWAKINYO TAFADHALI MUOMBE MSAMAHA NDUGU YAKO ILIUPATE REHMA YA ALLAH
@abdallahsimba3516
@abdallahsimba3516 11 месяцев назад
Ya hasemi nae kwa sabbu huyo mafia ndio kasababishaa
@gaspercharles2244
@gaspercharles2244 11 месяцев назад
Tatizo sio yeye kwa kauli inaonyesha wamegombanishwa na inawezekana kaka yake ndio hataki kumsamehe
@williamjohn7907
@williamjohn7907 11 месяцев назад
Kwenye mchezo ndyo sehemu sahii ya kuombana msamaha mwakinyo ana shida
@twahirburhan3726
@twahirburhan3726 11 месяцев назад
Yaani hata kaka ako huongei nae? Ujinga kabisa
@rogertuga007
@rogertuga007 11 месяцев назад
Unajua sababu au unajiongelesha? Watu hawaongei hadi na wazazi wao sembuse ndugu
@moizjohnston3841
@moizjohnston3841 11 месяцев назад
Usenge tu press gani haina maswali?mzee amekomaa mwanamke mwanamke si uongelee point mambo personal tena ya kuskia yanakuhusu nn?
@kubewaiddy9088
@kubewaiddy9088 11 месяцев назад
hakuna mtoto mkubwa akamzidi mzazi, Hassani Mwakinyo ni mchezaji kama walivo wengine na anatakiwa kufuata taratibu na kanuni za mchezo no matter ana jina kubwa au laa,kwa hili achukuliwe hatua ili apate akili na kiburi kimshuke na iwe fundisho kwa wapuuzi wengine kama mwakinyo....
@hassanhussein-ow7qh
@hassanhussein-ow7qh 11 месяцев назад
Agiza alkasusi naja kulipa
@yusuphmwanza4405
@yusuphmwanza4405 11 месяцев назад
Mwakinyo is understandable
@williamjohn7907
@williamjohn7907 11 месяцев назад
Mwakinyo yupo kwenye sheria bondia aliye kuwa nae kwenye faiti akutokea
@dominicrobert266
@dominicrobert266 11 месяцев назад
Kaka yako huzungumzi nae! Kweli wewe kilaza.
@millenium-tz7151
@millenium-tz7151 11 месяцев назад
Mwakinyo yuko sahihi
@saidimoshi1276
@saidimoshi1276 11 месяцев назад
kwann unaongelea mwanamke ongelea tatizo nini bila kutaka mwanamke pili haujatuonesha mkataba wa Indogo acha janjajanja
@williamkeita1519
@williamkeita1519 11 месяцев назад
Ni kwanini mwakinyo hakucheza pambano tatizo ni wewe mshenzi unatamaa sana acha unafiki acha tamaa mandishi baki nayo mshenzi mbwa,kungunguni ww mahaka ma angalieni hilo
Далее
НЕ ИГРАЙ В ЭТУ ИГРУ! 😂 #Shorts
00:28
Просмотров 194 тыс.
WELCOME TO THE FAMILY, MOE! (Brawl Stars Animation)
00:40
Bishop Jacob Wamwea guborwo mbeca ciake ciothe ni mikora
1:08:46