Mashallah mungu akupeni madkilizano mema katoka nyumba zenu na mapemzi mazuri nimefurahi sana huskiliza na kuona aditokee kidudu mtu akavunja mahusiano yenu mungu awabariki ameen
Bimkubwa MashAllah...bi mdogo anaonekana hana heshima kwa mwenzie anailazimisha tu..kwanza hata anavyo m refer mwenzie anamuita huyo hayo mara yulee lakini mwenzie anamuita bimdogo
Ni mukubwa tabia yako nzuri Mashallah keep up nyinyi ni mufano bora kwa society, ongera kwa familia zenu kuwapa malezi bora, inaonekana roho zenu na tabia zenu nzuri, nawapongeza sana
Yaani natamani ungekua karibu ningekupa zawadi jamani nimefurahishwa na comment yako Udugu wangu kweli mchawi Pesa apo Pesa IPO na wanatimiziwa ata kama akioa wanne
@@rahmaramadhan2476 kabsa mme hapo akikoroma kama hutaki mke mwenza tembea mbele mwanamke ukiangalia maisha hko nje yalivyo madume kwann nisikae nlevyombo tu kwani shida ikowapi na chapatikana kilakitu
MAASHAALLAH.....Kutokana na hali ha kujiweza kwa mwanaume na sheria za kidini NIMEMUELEWA....Ila NIMEWAPENDA ZAIDI wake zake kwa jinsi walivyokuwa HURU kujieleza kiundani na bila woga...na pia unapotazama " WAKE HAWA" BODY LANGUAGE zao wakiti wakitazamana unaweza kuona wazi kwamba WANAWEZA KUISHI PAMOJA na kusiwe na MATATIZO na kama yatatokea matatizo na kukoseana heshima ..BASI MUME WAO YUKO VIZURI na ana uwezo wa KUYATATUA...NIMEWAPENDA WOTE...#MAASHAALLAH
Hongereni sana wanawake wenzangu kwa mioyo yenu ya ujasiri duuu kushare Mume ni kazi ngumu sana.Ila hapa naona kama kachuki kapo kabisa hata ukiwaangali unaona.
Awe Buddhist,Muslim ama Christian inabidi tuwaheshimu wanaume wanaokaa na mke mmoja. That's the only true love,mapenzi mengine kama haya ya kuganwanywa sintowahi kuyaelewa,wanawake tunavumilia mengi sana kwa kweli
Bii mdogo ni mrembo sana Pia anajua kujieleza Na sioni kama ana mashauzi yupo fresh kwakweli jamaa amejitahidi sana kuwaunganisha ,wapo fresh nijambo la heri kuwaoa Wake zaidi ya mmoja ni suna ya mtume lakini Uwe Na uwezo ,sio kuwalundika chakila huna nguo hawana vitoto vinalizana Paka kalala ktk ya jiko , hapo utakua umetenda dhambi sana
Uzuri wa mtu tabia huyo mke mkubwa uzuri wake nimuonekano watabia yake huyo mdogo inaonekana kabisa anaigiza tu afanyeje ila huyo bi mdogo hana upendo wake wakufosi
Mke mkubwa Allah akuzdishie subra hongeta dada ss wanawake kua na moyo km wko Maa shaa Allah kaka unadhi kubwa hpo usione sifa tuu kuwa n matala muhimu wafundishe dini wasali washikamane n dini unadhima kubwa sn hpo