Тёмный
No video :(

PART 1 | HOW I SURVIVED HESSY WA DANDORA POLICE HIT SQUAD AFTER BEING POSTED ON FACEBOOK 

Edmac Media Studios
Подписаться 38 тыс.
Просмотров 191 тыс.
50% 1

Watch part 2 here
• PART 2 | HOW I SURV...
Once posted on Dandora crime free Facebook page you are a marked man and your end is sealed. This is a story of Madola once a crime boss and feared in Eastlands,,He narrates his time in crime and how he escaped the dragnet of death and his journey to reforming''

Опубликовано:

 

27 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 159   
@linvi_chemutai
@linvi_chemutai 14 дней назад
I really love his compassion at such a young age, he had the love of Jesus that you cant teach.
@ephraimgithae6780
@ephraimgithae6780 Месяц назад
Uyu jamaa amecatch attention yangu sa zile amesema kuhusu mentality ya watu wa ghetto in terms of crime...aty iyo pressure inakuanga ya kutoka kuogopwa na kutambulika...that is so true...For me I was not in crime though nkiwa highschool nlikuwa na pressure ya kutaka kutambulika nakufit in na awa mabad Boyz...ghetto life is crazy...Yani the most useless things ndo ukuwa praised...stori za wizi ndo watu upenda kupiga na nani ndo mgori
@c-lektabenstarbwoy5504
@c-lektabenstarbwoy5504 Год назад
Iii story inaflow haiwez kuwa ya jaba,,uwongo ni expensive kumaintain,, ya uyu inaflow naturally
@ceciliawambua2293
@ceciliawambua2293 Год назад
this guy is speaking the truth, u see this people engage in crime they want to be feared respected mostly sio poverty, because if it's poverty wakiiba izo doh akuna kitu ya maana uwa wanafanya nazo ni kubuy manguo na kwenda reggae,waiba tu ndo wajienjoy na vitu za upuzi,gals wanakubaligi hao maboy ju ya crime, those boys are feared so gals wants to be associated with them, I have seen gals even dropping school to get married to a thug, nilisoma na such people, many of them are now regretting, they use drunks because of peer pressure bad company, wanataka kuonekana hao ni watu wa mafom , this thing is very satanic unatapa ata watoy wamsonko wenye wanakaa karibu na gettohs wanaigia Kwa crime
@rastaradio6
@rastaradio6 Год назад
True💯
@indiatsiwilliams793
@indiatsiwilliams793 Год назад
It's definitely coz of poverty....rich kids will probably do it for a while but will later change coz they've got so much to lose if they continue with crime life
@ceciliawambua2293
@ceciliawambua2293 Год назад
@@indiatsiwilliams793 if it is poverty then Kwa nini hawafanyiagi izo dooh kitu ya maana like investment,they buy clothes, drunks then for reggae , parties and pleasing women, and when they come out of crime they are very poor they have nothing , I feel they use poverty as an excuse to join crime
@phoebewangechi3495
@phoebewangechi3495 10 месяцев назад
How i wished i could be living Sivo😂😂dem days 😅😅thank God alinitoa Dando🎉
@rastaradio6
@rastaradio6 Год назад
The first time Madolla started his confession,Adi ingikuwa ni Mimi kumjudge,This boy has a bright future..He is saying everything to believe his story 🔥🔥🔥#Reform
@creativetelevision8134
@creativetelevision8134 Год назад
I need this boy please nipige story na yeye
@lnpMuzik
@lnpMuzik Год назад
sawa
@rastaradio6
@rastaradio6 Год назад
💯
@mugo5075
@mugo5075 Год назад
Story za jaba. Tho amefurahisha madame
@Xtrim-tunu
@Xtrim-tunu 11 месяцев назад
Civo ni Civil Servants.Iko katikati ya Kàriobangi South na Dandora.Stage ya mwisho ya R.O.G.
@SHARONOKORE
@SHARONOKORE Год назад
Hes so alive 😃 good narrator kudos 💯
@sandrapaul2804
@sandrapaul2804 Год назад
Sawa ahh sawa ahh
@stephenob4046
@stephenob4046 5 месяцев назад
😂😂😂😂
@YazzbeatsofficialMusic
@YazzbeatsofficialMusic Год назад
He is quite a story teller
@catalystke
@catalystke 10 месяцев назад
fr
@dnwkenya532
@dnwkenya532 Год назад
He was my class mate salute
@michaelmwasya6989
@michaelmwasya6989 Год назад
Kuna vitu zingine haziingiani kwa story,,,, alisema alianza crime ya kwaza akiwa almost 18yrs akiwa amemaliza high school,,,then later anasema walikosana na mzae akaenda kuishi na mabashte Koch na akasare shule...then anasema alimaliza.......gaps ni mob unless Kuna vitu anamezea kusema
@crazykids5779
@crazykids5779 4 месяца назад
Wacha nsikzie kwaza
@maxwelljuma6509
@maxwelljuma6509 10 месяцев назад
Nice story. Next time ekea story teller ata Maji
@edmacmedia
@edmacmedia 10 месяцев назад
Huwa wanapewa plus na what to eat thank you
@marcdavid5826
@marcdavid5826 Год назад
Huyu jamaa si mwizi
@ellymzera2457
@ellymzera2457 Год назад
Hii story imeshika..
@aliabdullahi6710
@aliabdullahi6710 Год назад
Tunataka part 2 mkuu
@bravinpeace
@bravinpeace 11 месяцев назад
Sawa😂😂😂😂sawaa
@janemutunga7775
@janemutunga7775 Год назад
Huyu boi n malisafi walai😂
@edmacmedia
@edmacmedia Год назад
😂😂😂
@mamumadu2140
@mamumadu2140 Год назад
Shoot your shot
@GeoffreyOlulo
@GeoffreyOlulo Год назад
Fisilet 😂😂
@frashaoskah8446
@frashaoskah8446 Год назад
So many stories left hanging because jamaa wa interiew nkama hana time.....3/10 ratings
@daudsuleiman2252
@daudsuleiman2252 Год назад
NICE GUY.HE IS STORY TELLER
@samuelmuriuki5849
@samuelmuriuki5849 Год назад
Such a story teller..
@samuelkamau196
@samuelkamau196 3 месяца назад
Apo ni kweli uezi toa ugeto ndani ya mgeto....kama uamini fika pale TikTok ucheki Marco meng tv
@eddymaweng1294
@eddymaweng1294 Год назад
Kureform ndio form...
@dodyblacky2542
@dodyblacky2542 Год назад
Good job manze keep it up !👊🏾👊🏾
@KelvinWara
@KelvinWara Год назад
Aty kasa ni kwa masmarta bro
@TinselTatiana-qg6qp
@TinselTatiana-qg6qp Год назад
Wanaume wako n wivu huku ama pia nyinyi mlikuwa mnataka interview😂😂🎤
@brianwamaitha4962
@brianwamaitha4962 6 месяцев назад
😅😅😅
@gmchats5335
@gmchats5335 7 месяцев назад
Sawa basi!!
@sharonjones3862
@sharonjones3862 20 дней назад
Sawa 😂😂
@abdiwahabnadhi4756
@abdiwahabnadhi4756 Год назад
Yea it is good testimony lakini bro make sure you edit this videos and remove the parts that might cause problem to these reformed youth. Although they are here trying to save the other youth but their real story might bring problems to them, so usikuwe selfish ukitafuta interview noma kisha hawa wajipate wakitafutwa na DCI.
@jacksonmutua1013
@jacksonmutua1013 Год назад
Story za jaba na dom
@cedricchagwi5490
@cedricchagwi5490 Год назад
This guy is a storyteller hehehe inakaa movie wuuuueh!!!
@caltoncarl6504
@caltoncarl6504 2 месяца назад
Me to I have a story edmac
@edmacmedia
@edmacmedia 2 месяца назад
gani hio Calton
@nyasimigeoffrey7737
@nyasimigeoffrey7737 8 месяцев назад
killing me anytime he says sawa!!!
@timmusumba5846
@timmusumba5846 8 месяцев назад
Huyu vile walihama "Civo" mpaka mumenunuliwa "PS2" na video games inaonyesha hakulelewa Kwa shida!
@NycMarto-zf3jo
@NycMarto-zf3jo Год назад
Part two waiting
@edmacmedia
@edmacmedia Год назад
Kesho 9am
@philipvirgil8081
@philipvirgil8081 Год назад
Next episode pliz
@xopapii
@xopapii 8 месяцев назад
bro even made the interviewer laugh ....funny guy
@nancylaura6039
@nancylaura6039 3 месяца назад
Huyu kitu ilimuokoa ni damu ya mamake ya ukuhya hakua na damu ya wizi huyu. 😊
@agathaauma5995
@agathaauma5995 Год назад
part 2 loading ama
@susankabiru4897
@susankabiru4897 Год назад
Hii story na jaba .....acha tu ....😂❤
@clintonmucheru6861
@clintonmucheru6861 Год назад
Press na prezzo man toa uyu boy kwa dimanga afanye kazi apate riziki alishe fam yke Sonko saidia yut man ajitoe kwa wizi
@SANCHOZ254
@SANCHOZ254 11 месяцев назад
Mbona slang ya eastlando iko present tense 😂😂
@favouredkamau
@favouredkamau Год назад
Nipee No yake
@josephinewanjiku9591
@josephinewanjiku9591 Год назад
Part 2 tunangoja
@edmacmedia
@edmacmedia Год назад
Kesho 9am
@lonesharkandrew
@lonesharkandrew Год назад
Unajua Bayano😁?
@blessedent4387
@blessedent4387 7 месяцев назад
sawaaaa😂😂
@alexwasike979
@alexwasike979 Год назад
I dont feel like these guys should be forgiven ati coz they have changed ...pay for what you did wrong
@edmacmedia
@edmacmedia Год назад
So you are a saint?? Kila mtu hukosea
@shirugaks7464
@shirugaks7464 Год назад
Hawa Jamaa wa mtaa ni great story tellers. Lakini sheng ni Kali, sukuelewa siivo ni wapi.
@Generation-hs9ru
@Generation-hs9ru Год назад
Civil servants sides za kariobangi
@minorityreport5096
@minorityreport5096 8 месяцев назад
madollar mwenyewe
@Saraphineh.1
@Saraphineh.1 9 месяцев назад
We wacha story madollar😂😂😂😂😂😂sasa mbona unadaganya yawa 😂😂
@maadreece
@maadreece Год назад
Hii story ni uongo buana huyu boyz tumekua naye area alikua anakaziwa life ka nonsense😂
@michellekokonya463
@michellekokonya463 Год назад
😂😂 exactly felt so too ... Story za base
@nashgatu
@nashgatu Год назад
why do this 😂 sasa ata syke imeisha ya kuwatch
@Haustine3507
@Haustine3507 Год назад
Za jaba😂😂😂
@micaangote2138
@micaangote2138 Год назад
UKO SURE🤣 KUMBE TUNAPIMWA APA
@georgeogutu4771
@georgeogutu4771 Год назад
0:29
@annnzisa5659
@annnzisa5659 6 месяцев назад
Karibu akue handsome
@edmacmedia
@edmacmedia 6 месяцев назад
sawa,,,
@festusokinda4702
@festusokinda4702 11 месяцев назад
Jaba lazima
@athmanboanza4603
@athmanboanza4603 Год назад
Bro anatoa story poa but interviewer concentration Iko chini you ask funny questions..
@TinselTatiana-qg6qp
@TinselTatiana-qg6qp Год назад
C ww ungeconcetrate tafuta show yko
@tonysilva9929
@tonysilva9929 Год назад
WORK ON NOISE REDUCTION
@harrietmigide7267
@harrietmigide7267 Год назад
How handsome is this guy❤
@edmacmedia
@edmacmedia Год назад
Sasa wewe si uitishe tu namba upewe 😂
@mamumadu2140
@mamumadu2140 Год назад
Shoot your shot Jameni..😂
@Melovemacolour
@Melovemacolour Год назад
​@@edmacmedia 😂😂 namba itembee
@bantumacharia1671
@bantumacharia1671 Год назад
@harrietmigide7267 gimme your number
@susanmaina3130
@susanmaina3130 Год назад
Huyu ni mtoto hauoni ndevu zake ni zile za thenge.
@winskenya1
@winskenya1 Год назад
Part 2
@indimulielvis7960
@indimulielvis7960 Год назад
Wueh...Harry👊👊🤣🤣🤣
@broken_arrow1813
@broken_arrow1813 Год назад
Civo ni wapi?
@edmacmedia
@edmacmedia Год назад
Kariobangi South
@chrismalekela5984
@chrismalekela5984 Год назад
Civil servants houses in Kariobangi south,civo ni short form ya civil servants
@edwinmahianyu1513
@edwinmahianyu1513 10 месяцев назад
I assure u hakuna mtu ashai engage Kwa crime anaweza peana ctory they are ever quiet
@BazeChillsport
@BazeChillsport 5 месяцев назад
John Kiriamiti alikuwa Churchill Show na yeye ndiye kama Godfather hiyo industry coz of dem dayz
@davidwainaina1368
@davidwainaina1368 Год назад
Saaawa
@ericknyamwaro
@ericknyamwaro Год назад
𝙨𝙖𝙖𝙬𝙖😅
@IvyMwangi-wx6vc
@IvyMwangi-wx6vc 8 месяцев назад
Mbona wezi hukua na ka innocent face? Khaiii
@BazeChillsport
@BazeChillsport 5 месяцев назад
Enda Facebook uingie group inaitwa Nairobi Crime Free ... Innocent faces 😅😅😅iko Kwa tu Kwa Goole 😅....
@nyamweyajoseph244
@nyamweyajoseph244 6 месяцев назад
H😂😂😂😂huyo jamaa ni story teller 😅
@eliudone9607
@eliudone9607 9 месяцев назад
Mr sawaa😂😂😂
@sharonjones3862
@sharonjones3862 20 дней назад
😂😂😂😂😂😂sawa
@immortal4660
@immortal4660 9 месяцев назад
After they tell you all this story how do you help them?? Or is just a story?
@denniswachira4596
@denniswachira4596 3 месяца назад
Saawa😂
@sharonjones3862
@sharonjones3862 20 дней назад
Sawa😅
@vincentohdellboss9051
@vincentohdellboss9051 Год назад
Stori za jabaaa hizi...real thugs awatokeangi kwa interview after kureform waubaki stori inatolewa kwa news, TMK wanaume
@BazeChillsport
@BazeChillsport 5 месяцев назад
John Kiriamiti alikuwa Churchill Show.... Tafuta documentaries hata za walami uone lazma moja abaki....to tell a story....
@user-vq7io8ml6m
@user-vq7io8ml6m 3 месяца назад
Civil servant
@benrick7958
@benrick7958 Год назад
💥
@justusnjeru
@justusnjeru Год назад
Civo ni wapi
@gasmask1130
@gasmask1130 Год назад
Sawaaaa😂😂😂😂
@Dice_KE
@Dice_KE Год назад
Sivo ni wapi?
@SecurityGie
@SecurityGie Год назад
Civil servants houses in kariobangi( outering)
@carolinewanjiru8694
@carolinewanjiru8694 Год назад
Audio🎧30:23
@carolinewanjiru8694
@carolinewanjiru8694 Год назад
😂😂😂😂
@kelvinmathenge5677
@kelvinmathenge5677 Год назад
haha the funny thing
@dadw7920
@dadw7920 11 месяцев назад
I hate the "sawaaa" at the end of his statements & the term "ariifff." I hate ghetto slang.
@BazeChillsport
@BazeChillsport 5 месяцев назад
Kaskie vibaya hukooo kwenyu... Shembeteng' for life😅.. Nyongwaaa
@martinboogua2430
@martinboogua2430 Год назад
Sawa 😂😂
@hommiegee3779
@hommiegee3779 Год назад
is it poice or police
@mwenyeji-
@mwenyeji- Год назад
This guy 😂😂😂😂
@benardkiniti6033
@benardkiniti6033 Год назад
The most boring thug story ave heard,the interviewer huna maswali watu wanataka kuskia
@SHARONOKORE
@SHARONOKORE Год назад
Kaskie vibaya uko kwenyu 🥴
@mbuguwahtv7107
@mbuguwahtv7107 Год назад
Ebu give examples of probable questions the interviewer should ask
@TinselTatiana-qg6qp
@TinselTatiana-qg6qp Год назад
Enda ukatoe ur interesting story
@Anneyy25
@Anneyy25 Год назад
Huyu Madolla bado hajachange...
@donna8894
@donna8894 Год назад
Bana
@libertywild7507
@libertywild7507 Год назад
Unajuaje?
@Anneyy25
@Anneyy25 Год назад
@@libertywild7507 I cannot disclose some things lakini heri a change for real.
@user-ob1lq1dc3y
@user-ob1lq1dc3y 10 месяцев назад
😂
@rastaradio6
@rastaradio6 Год назад
Pin account number ya kusupport yut
@edmacmedia
@edmacmedia Год назад
0726557342
Далее
Музыкальные пародии
00:28
Просмотров 23 тыс.
HOW DID SHE DECIDE TO DO THIS?!
00:27
Просмотров 8 млн
Youngest Notorious Motorbike Gangster in Nairobi
56:53
Просмотров 3,8 тыс.
GANGSTER SHOT IN HEAD IN DRAMATIC POLICE SHOOTOUT
1:01:11
THE DAY WE HIJACKED A MATATU WITH PLAIN CLOTH POLICE
1:08:30
Музыкальные пародии
00:28
Просмотров 23 тыс.