Тёмный

PART4.MREMBO AFICHUA MASHARTI MAGUMU YA UTAJIRI,MALI NA PESA NIMEPATA KWA MAUMIVU MAKALI ILA... 

Maks Media
Подписаться 148 тыс.
Просмотров 62 тыс.
50% 1

Развлечения

Опубликовано:

 

26 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 128   
@angle3600
@angle3600 4 месяца назад
Kumbe ni wengi wanao ishi na nyoka ,Yarabi Wewe ni tajiri wa kila kitu,ulivyo niumba kila kitu wakiweza,naomba unipe riziki iliyo ya haki,itokanayo na kazi ya mikono na uzima na afya unaonijalia,na kizazi kitokanacho na tumbo langu kiepushe na haya yote,wewe ulietuumba unauwezo wa kila kitu,Nakupenda sana Mungu
@nuhukenny7183
@nuhukenny7183 4 месяца назад
😂😂😂😂😂😂
@trophywilson7211
@trophywilson7211 4 месяца назад
Na hilo joka labda ni jini
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 4 месяца назад
​@@trophywilson7211hivi una amini story hizi nizauongo 😂😂😂
@MuniraHassann
@MuniraHassann 4 месяца назад
Uo ni mtihani tuu
@ZuhuraBarack
@ZuhuraBarack 4 месяца назад
Yarabi atunusuru jamani tuwe watu wema mbele yako kama utajiri upatwa hivi wacha nikuitaji kila Mara yarabi alah amiin
@FayBen-kh4ln
@FayBen-kh4ln 3 месяца назад
Truly God is everything he poses everything
@arya-star53
@arya-star53 4 месяца назад
Eeeeh MUNGU turehemu sisi watoto wako hatujui tulitendalo🙏😭, mama huyu hata ufahamu wake ushatekwa kwa akili ya kawaida huwez sema et nataka niendelee kuishi maisha haya haya
@SmilingCityMap-xb9md
@SmilingCityMap-xb9md 4 месяца назад
Tamaa ndio chanzo Mama sio kuzaliwa maskini unaokupa ukatili huo wa kufanya ushetani tamaa hukupa ujasili mwingi. Na wengi huamuwa kuuwa ujambazi nk kisa tamaa
@trophywilson7211
@trophywilson7211 4 месяца назад
Lakini Watu wengi wanahusudu Majini
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 4 месяца назад
Yesu wangu waepushe hawa watu
@RamadhanMadiluu
@RamadhanMadiluu 27 дней назад
Mama nice njia
@juliethhope7281
@juliethhope7281 2 месяца назад
Mungu ninusuruuuuuuu mwanaoooo
@HannahSamira-z5d
@HannahSamira-z5d 4 месяца назад
Allah tupe Stara ya Duniani na Akhera🤲Dah!Sio lazima uwe Tajiri kwa kufuga Nyoka?Sasa Maisha gani ya Mtihani?kwan ni lazima tuwe matajiri kwa kufuga nyoka?kesho
@BiafraSeleman
@BiafraSeleman 3 месяца назад
Subhanallah
@EvelynNatasha-yj5vg
@EvelynNatasha-yj5vg 4 месяца назад
Jesus is caming soon
@maryamkokani4683
@maryamkokani4683 3 месяца назад
Maisha magumu unapesa na hata vacation dubai na paris hukufika very sad indeed...
@BettyJoram-td1jb
@BettyJoram-td1jb 4 месяца назад
Mungu atusaidie jamn huo ni ushetan kukaa na joka dah
@Cyrile-yv1er
@Cyrile-yv1er 4 месяца назад
Sasa masherti hayo umetajilika bila kusaidia jamaa Yako niutajiri gani? Pole sana Mungu akuwezeshe
@salisali3738
@salisali3738 4 месяца назад
Sio umaskini ni IMANI DHAIFU
@shantellemwanakombo3703
@shantellemwanakombo3703 4 месяца назад
Duh kumbe wapo wengi eeh??
@Rasta-ys9lz
@Rasta-ys9lz 3 месяца назад
Sasa uyo dada ana umaharufugani yeye na yesu nani maharufu acheujinga nyoka nishetani anaishi na shatani kama hajui
@JaneMutuga-xi4jq
@JaneMutuga-xi4jq 3 месяца назад
Nyoka sasa ilichukuliwa jee na wenyewe?na mtoto wako Ako wapi?na familia wapo salama wote na watoto wako wote wapo salama
@Oderabrenda
@Oderabrenda 4 месяца назад
Dada yote.ni mateso njoo kwa Mungu
@jacquelinemwakasala9563
@jacquelinemwakasala9563 4 месяца назад
He kumbe wengi wenye Mali wanaishi na nyoka did jamani Mungu turehemu isee so sad
@omarikiringo260
@omarikiringo260 4 месяца назад
Acheni ku brand u free Mason tumche mungu hela hizo hazina maana huwezi kusaidia mtu wala sadaka yake haikubaliki. Na kuna siku ya hukumu tuta mjibu nini Allah. Mali ni vitu vya dunia.
@jumapiliissa4835
@jumapiliissa4835 4 месяца назад
😂😂 Awa hawana pesa pomo tu za utapeli anaeweza kupata pesa za ndagu hawezi kujitangaza kuweni sasaivi kunamichezo mingi ya utaftaji
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 4 месяца назад
​@@jumapiliissa4835hizi media za hovyo hupotosha watu, wana wanatengeneza story za uongo
@DafiMohamed-dz8xk
@DafiMohamed-dz8xk 4 месяца назад
Tamaa mbaya ndio maana dini yetu ya kiislam inasema kama unataka uishi bila wasi wasi mwangalie wa chini sio wa juu utakufuru ndio kinachowakuta watu kama huyu mama...Sasa kiko wapi unataka kuwafurahisha binadamu badala umfurahishe mungu...Hope umeshajifunza
@BiafraSeleman
@BiafraSeleman 3 месяца назад
Subhanallah.
@phiahofficialtv7140
@phiahofficialtv7140 4 месяца назад
Hii channel ya mganga nyoka
@Zenygoldsuperwoman
@Zenygoldsuperwoman 4 месяца назад
Y'a Allah bora nifishe maskini kuliko kunipa utajiri wa shirki kama hizi Innalillah wa inna ilayhi rajiun Subhanallah
@FeroozRashid
@FeroozRashid 5 дней назад
Je unapopewa huyo nyoka unakuwa umeshajenga nyumba au ?
@RehemaMasalu
@RehemaMasalu 4 месяца назад
Je, hizo mali alizokuwa nazo zinaendelea kumsaidia au ipoje hiyo?
@khadijab7066
@khadijab7066 4 месяца назад
Jamani mama asani kanenepq atari mashallaah
@abuqusay8912
@abuqusay8912 4 месяца назад
😂😂😂😂😂😂😂Mfanyabiashara na mtu anayelala chini ya kofia
@SarahKizito-q8y
@SarahKizito-q8y 4 месяца назад
Nani anamjua huyu mama jamani
@NajmaBarry04
@NajmaBarry04 4 месяца назад
nyinyi n wapuuz mtakufa vibaya ety unachukia umaskini innalillah wainaileh rajiun 😢😢
@khadijaHatungimana
@khadijaHatungimana 4 месяца назад
Duuuh iyi dunia ina siri kubwa ya Allah ongoza waja wako Aamiin. Iyi tena duuuh kali
@NabosJuma
@NabosJuma 4 месяца назад
Watengeneza content hawa hamn lolote wew unazan mtu anaye miliki nyoka anaweza kujitangaza?
@TatuTatu-f1v
@TatuTatu-f1v 4 месяца назад
Subuhanallah mtihani kweli ndo Pana faida gani tena jamani
@AntoinetteMufuka
@AntoinetteMufuka 4 месяца назад
Meacham ne ni ibuokwasa babuibinafaida ukuzumiliya umasikini dipomungu anakubariki
@HannahSamira-z5d
@HannahSamira-z5d 4 месяца назад
Kesho kwa Allah mtajibu mashitaka, Sasa ni Life gani ya Utumwa?Hawa sasa wanajielezea kama wamefanyiwa Alal badir ya Mbayana,wakaa na nyoka wote wanajieleza kama vichaa
@trophywilson7211
@trophywilson7211 4 месяца назад
Na Muhamadi aliyemsilimisha Shetani na Majini ndiye atajibu wa kwanza
@gastosalehe3658
@gastosalehe3658 4 месяца назад
Mama Hasani.
@RukiaHassan-w4u
@RukiaHassan-w4u 4 месяца назад
😂😂
@chunaabdullah1333
@chunaabdullah1333 4 месяца назад
Kumbe ni ya kweli haya mauzauza mmmh, Allah nishibishe na iki napata 😢😢
@MercyOdhiambo-r1g
@MercyOdhiambo-r1g 4 месяца назад
Mtangazaji unaongea sana kushinda yule unalfanyie interview punguza
@Babylon_Must_Fall
@Babylon_Must_Fall 4 месяца назад
Anauliza maswali yale yale, mjinga huyu!
@erickndelwa6975
@erickndelwa6975 3 месяца назад
ndio utajiri wa hivyo upo ila hii story imetengenezwa af interviewer mwenyewe yuko hapo bahati mbaya hajui namna ya kupangilia maswali story ndefu ila hamna cha maana
@arjunmutotowadzaleka
@arjunmutotowadzaleka 4 месяца назад
Maswali mengee Sana brother
@AlfaMtulo
@AlfaMtulo 3 месяца назад
Shambani fuluu ututajili kwa nchiyetuyaTANZANI Hakunagauchawihukowalamashaliti.
@BrackWolf-el6bt
@BrackWolf-el6bt 4 месяца назад
Da kweli ngoj namim niend nikachukue mazingir hay
@LucasTimotheo-xw7ik
@LucasTimotheo-xw7ik 4 месяца назад
Hiyo ni sawa nakumsadiki shetani. Tuacheni mambo hayo. Jamani
@JaneNderitu-fp6hl
@JaneNderitu-fp6hl 3 месяца назад
Like to join them now
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 4 месяца назад
Sasa ivi kula mwanamke Anajitia Anaishi na nyoka bibi mzee sula kama babuni😂
@LatiphaSalim
@LatiphaSalim 4 месяца назад
Hee mshakosa kazi za kufanya kila siku nyoka na mim namiliki chura
@Maria-dg6ik
@Maria-dg6ik 4 месяца назад
😭😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏
@valentinanduku8718
@valentinanduku8718 4 месяца назад
ndo mm husema usione mtu tajiri ukadhani inatoka kwa Mungu sio wote wa Mungu
@veronicajohn7645
@veronicajohn7645 4 месяца назад
Jamani Jamani Jamani. Sasa nitanza kuwaangalia Kwa jicho pembeni nikiwakuta Dada Zangu wamepaki magari kwenye hoteli nzuri.
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 4 месяца назад
Dah kumbe wengi wanaishi na nyoka ili wapate pesa hizi tamaa mbaya sana
@veroclement-xv7kx
@veroclement-xv7kx 4 месяца назад
mama hasani wewe na huyo jamaa niwaongo mnatafuta kiki
@baruanikalenga2246
@baruanikalenga2246 4 месяца назад
Kumbe nawe umeona
@phaustineokitwi7043
@phaustineokitwi7043 4 месяца назад
Nduniani mambo ni mengi masaa ndio machache 😢😢
@phiahofficialtv7140
@phiahofficialtv7140 4 месяца назад
Ndege ndege
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 4 месяца назад
Huyu mama hata hafanani na utajiri, Mmesahau kumfanyia shopping kwanza ya mavazi kabla ya interview ili story ifanane nae 🤗🤗🤣🤣🤣
@RukiaHassan-w4u
@RukiaHassan-w4u 4 месяца назад
😂😂😂😂😂😂Kuna wengine wamefunikwa hawaoni hilo pesa hata ukipoteza lugha Yake ipo mtu anabaki n vidalili
@ashuranahoda2564
@ashuranahoda2564 4 месяца назад
Subuhannallah
@EdwardDismass
@EdwardDismass 4 месяца назад
😂😂😂😂😂 yani jamani mko wengi kwery dy
@ApollinaireBalolage
@ApollinaireBalolage 4 месяца назад
Mungu awalaani
@AsnatSaid-zp2kr
@AsnatSaid-zp2kr 4 месяца назад
mmh! bora ugar dagaa kwenye aman..
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 4 месяца назад
Jesus christ
@FatumaAmisi
@FatumaAmisi 4 месяца назад
Jaman kubali haliyako tuache tamaa
@rahmahasan32
@rahmahasan32 4 месяца назад
Dada ameongeza mpaka mwili walisikika yaarabi
@firdaushamid8200
@firdaushamid8200 4 месяца назад
Allah ananguvu zaid nayeye ndio mwenyekupeana namwenye kunyanganya
@trophywilson7211
@trophywilson7211 4 месяца назад
Na Mpaka upitie kwa Yesu KRISTO
@JosephGakome
@JosephGakome 4 месяца назад
Mimi nirifikiri unazo Mari hizo mpaka Sasa
@Zenygoldsuperwoman
@Zenygoldsuperwoman 4 месяца назад
Na hasara kubwa ipo kwawatu wenye kufanya kitu unajuwa ni kosa kwa mola wako Fana awuzubillah minazalika
@baruanikalenga2246
@baruanikalenga2246 4 месяца назад
Huyo basi ni kinyonga😅😅😅 makubwa jamani munajua kujitrndisha
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 4 месяца назад
Anakula nini
@LatiphaSalim
@LatiphaSalim 4 месяца назад
We mam upumbavu nani akupe utaji bure utaponza
@TatuTatu-f1v
@TatuTatu-f1v 4 месяца назад
Pole kwa majukumu Yako
@chunaabdullah1333
@chunaabdullah1333 4 месяца назад
Fanya kazi nenda gulf uone kama utakua maskini mjinga ww uko nakila kitu mwili wako
@marksafaritz8076
@marksafaritz8076 4 месяца назад
Jichanyeni mtapeliwe 😂
@MoinaminaAmina-qh1jb
@MoinaminaAmina-qh1jb 4 месяца назад
Tatizo lenyewe ??nikwamba mnatoa kafara za watoto wazenu na wamajirani mna waua mna chinja ili kutoa kafara za nyoka zenu hâta wazazi wenu mna toa kafara ili mpate utajiri washetani nakuabudu shetani hapa duniani tunapita lakini mambo Yako huko Siku yakiama mbele yamungu
@OmanOman-ru4eu
@OmanOman-ru4eu 4 месяца назад
Timu hamamu tuendelee kusungua hamamu tupate oesa halali
@germainndayishimiye8684
@germainndayishimiye8684 4 месяца назад
Alajuela awana aibu kusema
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 4 месяца назад
Anakula nini 😢
@AndrewMartin-yr8rh
@AndrewMartin-yr8rh 4 месяца назад
Nahitaji namba yake dada na mm aniunge
@browskymuba6923
@browskymuba6923 4 месяца назад
Ehh mwingine tena wa 3
@salamarashid3687
@salamarashid3687 4 месяца назад
Yajayo yanafurahisha
@MwanaidhMary
@MwanaidhMary 4 месяца назад
Umasikini uwo mnao nyie tuu sio umasikini majiendekeza tuu
@kiriistaicy183
@kiriistaicy183 4 месяца назад
Alijitoa ki vipi?
@farhannahkulishwaburekunam5360
@farhannahkulishwaburekunam5360 4 месяца назад
Je inakuaje ukisafiri
@LilianMbele
@LilianMbele 4 месяца назад
Kulala na ngoja una maana gani,
@paramaa5839
@paramaa5839 4 месяца назад
Ulikuwa unalala naye vp heb nyoosh vzr
@aboudijaaboudija
@aboudijaaboudija 4 месяца назад
😂😂😂
@user-xf9or5cv1d
@user-xf9or5cv1d 4 месяца назад
Nyinyi waongo hayo mnayo sema ni ushirikina
@RukiaHassan-w4u
@RukiaHassan-w4u 4 месяца назад
Mbona hii Chanel jamny imekuwa inapenda Kiki maana munazingua kila siku story anarudia pale pale hakuna cha Zaid. Awe pole tyu. Umaskini sio kilemaaa n fungu la riziki Lina mda maalum. Jitahidini muwe munanyoosha maelezo maana mara alikuwa akiweka kwenye ndoo ss video hii alikuwa n briefcase 😂😂😂munatuchanganyaaa
@JosephGakome
@JosephGakome 4 месяца назад
Tuereze kwa Sasa wazazi wako wanakuchukuriaje tuambia,
@AronzakariaLuchanganya
@AronzakariaLuchanganya 4 месяца назад
Nawapata wapi!!! Namm nitajirike
@trophywilson7211
@trophywilson7211 4 месяца назад
hahaha umesikia hautajiriki haraka
@farhannahkulishwaburekunam5360
@farhannahkulishwaburekunam5360 4 месяца назад
Sasa kama kichwa hukioni unaml8sha vipi
@JosephGakome
@JosephGakome 4 месяца назад
Je unaerewana na wazazi wako mbona husemi habari za wazazi wako,
@fardoshnassor7847
@fardoshnassor7847 4 месяца назад
😢😢
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 4 месяца назад
Chatu Huyo 😢
@MaishaBabu-m2g
@MaishaBabu-m2g 4 месяца назад
Ivi watu mnaaamini hizi story za nyoka? Ni mchongo wa mganga huu
@rukiyyarukiyya6317
@rukiyyarukiyya6317 4 месяца назад
😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏
@janesaru9377
@janesaru9377 4 месяца назад
Hakai tajiri ata
@danieljoseph1610
@danieljoseph1610 4 месяца назад
Huyu mwanamke ni mwongo! Freemasoni hawatoi utajiri wa nyoka, freemason ni chama kikubwa duniani na nguvu yake sio yakitoto namna hio! Utajiri wa nyoka utatolewa kuzimu!
@JacklneManonga
@JacklneManonga 4 месяца назад
Ila amesema kuwa nyoka akupewa na frimason
@esteroseollotu6119
@esteroseollotu6119 4 месяца назад
We nae hujasikiliza story unakurupuka
@MagdalenaMatiko
@MagdalenaMatiko 4 месяца назад
Uchawi wowote ni freemason
@MagdalenaMatiko
@MagdalenaMatiko 4 месяца назад
Ukitaka kuijua freemason vizuri mfatilie Gwajima alipowaelezea mwanzo mwisho,toka ilipoanza ni akina nani wanafanyaje kazi
@trophywilson7211
@trophywilson7211 4 месяца назад
mmh hata akina Putini wanasema wamefuga majoka na Akina Chris wa Nigeria
@JosephGakome
@JosephGakome 4 месяца назад
Hiro joka urikuwa uripa chakura aina gan
@trophywilson7211
@trophywilson7211 4 месяца назад
watoto wachanga
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 4 месяца назад
😂😂😂😂,hivi kwanini mnatengeneza story za uongo?huuu ni uongo wa wazi mnahadaa watu wasio na upeo na fikra, hivi hamuoni aibu kudanya watu? Media za hovyo kabisa, mnapotosha watu ili. Waamini ushirikina?wakapate pesa kwa nyoka?pesa ni kufanya kazi wajinga ninyi Serikali ipo kweli?mnafaa kuchukuliwa hatua kwa kupotosha watu mbwa ninyi
@JosephGakome
@JosephGakome 4 месяца назад
Je ririkuwa rinakunya mavi aina gani
@MariamJuma-pe4sy
@MariamJuma-pe4sy 4 месяца назад
😂😂😂😂😂😂😂 jamani 😅😅😅😅
@epitomeapex
@epitomeapex 4 месяца назад
Dah kweli uhuru umezid😂😂😂
@AsnatSaid-zp2kr
@AsnatSaid-zp2kr 4 месяца назад
😂😂😂Atari
@Marym-iw2wr
@Marym-iw2wr 4 месяца назад
😅😅😅😅😅nmekoma hp
@Amina-o8i
@Amina-o8i 4 месяца назад
Ss uyo asan yapo wapi
@phiahofficialtv7140
@phiahofficialtv7140 4 месяца назад
😂😂😂😂😂😂😂karanga
@mercylinekerubo6883
@mercylinekerubo6883 4 месяца назад
Umaskini sio ugonjwa jameni Bora ugonjwa ipite mbali Mungu wangu nashkru sana kwa kunifanya nikanyage nyayo zako
@marthamvanga8028
@marthamvanga8028 4 месяца назад
Usitamani mali ya mtu mwingine
Далее
kikongwe season 2 episode 3
50:54
Просмотров 18 тыс.
US-Tanzania Tech Challenge
2:29:27
Просмотров 709