Mungu akusamehee samuel maana wew na ezekiel kwa mtazamo n mawaidha yupi anapotosha watu wew kama injili yake haikuridhishi tulia kwenye unaridhika na hubiri kile cha kusaidia wengine hatuamin binadamu tunaamin Mungu
I you don't know any servant of God pls don't put a curse in your life be careful. He is a blessing to my life I'm out side the country I'm living abroad. Keep your attitude.
Kama mtumishi wa Mungu nitaongea ili kubadilika, unaposema jambo lazima utaje dhambi ya ntu ili abadilike je ni wapi kumemkosea Mungu, ukweli utaambiwa tu maana hats Youana mbatizaji akiuwawa kwa kumwambia Hello dhambi zake hivyo sitishwi na kitu chochote.
Ili mtu asemehewe ni lazima ajue dhambi ndipo atubu ndiyo maana Yesu akisema katika kitabu cha Luka 13:3 kama msipo tubu mtaangamia nanyi hivyo hivyo kwa hiyo ili mtu apate msamaha wa dhambi unapaswa kutambua dhambi kisha utubu. Tatizo yako nikufundwa mafunzo ya mwanadamu ambayo anajitungia kichwani badala neno la Mungu kutoka Biblia, tafuta kanisa ambalo litaweza kusaidia kukua katika maarifa ya neno la Mungu badala mafundisho ya kutungiwa na mwanadamu, madhara yake ndiyo maana watu walipelekwa mlimani na outta kafara, ukiongozwa na hekima ya wanadamu badala ya Mungu utaangamia
Dada Rachel kama serikali ya Kenya ilikuwa na wasiwasi naye na kumtuhumu kwamba alihusika kuwapeleka watu mlimani na kuwaua huko kwanini usihoji hilo, anatakiwa aongelee hilo kwanini serikali ya Kenya limshitumu kwamba alishirikiana kuwaua watu mlimani,
Pastor ezekiel hamlazimishi mtu kufuata injili yake ni sisi wenyew tunatafuta chanel yake,tunaamua kutazama kwa hiari yetu wenyewe,kisha unasikiliza mafundisho alafu unachagua mwenyewe je uendelee kufata mafundisho yake au laaa
😮 Ezekiel aliwauwa watu mlimani? Una ushahidi wowote wa kuthibitisha hilo unaloliongea? Acha kushiriki dhambi za watu wengine. Be careful unapotoa comment yoyote ktk mambo ambayo hujayathibitisha wewe mwenyewe. Acha kueneza uzushi na uongo. Give us evidence.
Umempendea ni ni Ezekiel kama sio tapeli wewe kutoka hela, zake maana umesikia alitoa hela nyingi kwenye mkutano Kenya. Mlikuwa wapi kuambatana naye kabla ya kutoa hizo hela, umelogwa na hela. Wewe ni Yuda akiyensakiti Yesu kriato
Sio tapeli mfatilie ezekiel ni pasta wa ukweli Mimi ni mtz lakin hiyo ndio mathabahu yangu nimeponywa magonjwa makubwa nimefanikiwa mengi lakin kubwa nimejifunza neno la Mungu sana na zaidi ambayo sikuyajua Toka mdogo ukweli sio Kila mtu ni WA kumbeza nakushauri kwa upendo tu
Wachungaji wa Tanzania ni matapeli, wenyewe wanaangalia hela hawaangalii neno la Mungu, kama mtu hana hela hawezi kufanya mkutano,Mungu awasaidia watanzania maana wanatumikia hela sio Mungu, inabidi pia Ezekiel awe makini kwamba anapendwa kwa ajili ya fedha sio kwa ajili ya huduma Itakuaje mtu ambaye anatuhumiwa pia kuwapeleka watu mlimani na kuwaua huko, je anataka kuleta hiyo roho chafu kwa watanzania. Watanzania muwe makini
Hakuna mtu ambaye anakipimo cha kumpima mtu kwamba huyu ni mtumishi wa Mungu huyu sio mtumishi wa Mungu. Kipimo ni neno la Mungu, Tatizo ambalo naliona na watumishi wa Tanzania kuvutika na hela Ezekieli na sio neno la Mungu. Ezekiel alituhumiwa kuwa alikuwa pamoja na mtu ambaye aliwapeleka watu mlimani na kuwaua huko, lakini kama aerikali ya Kenya iliona hana hatia, basi vema ila umakini unahitajika
Sila ujue kwamba watu wanapaswa kuvutika na neno la Mungu, na sio miujiza. Mungu atawakataa siku ile ya mwisho, Yesu amesema katika kitabu cha Matthayo 7:21, wewe umekuwa shabiki wa Ezekiel kwasababu umevutika ne hela zake, na sio neno la Mungu na unahisa naye. Bora ukateseka kwa ajili ya neno la Mungu kuliko kuteseka kwa ajili ya Ezekiel. Kumbuka kwamba wajinga ni wengi, hawaishi wajinga,
Mungu atakuhukumu wewe ambaye unavutika na watu kwa ajili ya mali wala sio neno la Mungu. Yesu akisema usipotubu na wewe pia utaangamia vilele Luka 13:3 tambua Mungu hatamsamehe mtu mwovu mpaka aweze kutupu. Umejaa fundisho la mashetani mtu hawezi kusamewa pasipo kutubu, Watu wawili walikuwa wakiteseka pamoja na Yesu msalabani mmoja alimtukana Yesu Kristo na mwingine aliomba msamaha, Yesu alimsamehe alio omba msamaha,