Yaani Yanga tuna Raha kila Kona hadi tunaumwa, hata lichezwe kombe la mabauncer wa Simba na Yanga bado mabauncer wa Yanga watashinda tu - Makolo hadi mseme poooh... vinginevyo mtateseka saaanah tu .... nyie kinachowaponza midomo yenu isiyokuwa na break.
Huyu ndiye Lema tunayemjua, ❤ tulimmiss sana alipokosekana. Pira limechezwa LA Hali ya juu. Nakumbuka maneno yake ya Jana , akiwa very humble, hakuwa na wasiwasi, kumbe hakujua mungu alipanga nini kwa ajili yake Leo. Bravooo🌹🌹🌹