Yoyote uatakayesoma hii comment mungu akubalik ww na uzao wawe na tabia nzuri kama loveness na ambao tunaomba tina haachike na kelvin please like tujuane💕💕💕💕💕💕💕
Yesss ❤❤❤ yaaaani umenifurahisha sana kujuwa ukweli kujuwa ulikuwa na watua ambao siyo house girl nidiye mke wakweli na ila tinaa siyoooooo alafu usimsahau dayana na mama yake kumtibia keep it up dayana ❤❤❤❤❤❤
Thanks so much bro kwakutochelewesha episode 🎉🎉🎉 nakwakua leo n Sunday naomba yeyote atakae soma n kulike comment hii Mungu ampe afya, uzima,n tamaniyo la moyo wake 🙏🙏🙏💞💞💞🇰🇪
Amani ya Mungu iwe juu yetu sisi ote tunaofuatiliya hii movies ya Donta TV,ninawaombea kwa Mungu awape Afya njema,Riski nyingi,awape pia nguvu,awakinge na kila mabaya, awape Ulinzi siku zote za Maisha yenu napia awape mwisho mwema. Aaaaameeen 🤲