Тёмный

PENZI LA MTOTO WA BOSS 💞 NA DADA WA KAZI PART 25 | Love Story 

DONTA TV
Подписаться 604 тыс.
Просмотров 48 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

12 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 1 тыс.   
@Dontatv255
@Dontatv255 3 часа назад
AYA JAMANI LIKE ZIKIFIKA 1000 TUNAACHIA EPISODE YA 26
@RatifaIssa-oi1zu
@RatifaIssa-oi1zu 3 часа назад
Yaan Kev utume kil siku ikiwezekn asubui na usiku
@marcusmagova-ti5xz
@marcusmagova-ti5xz 3 часа назад
Mnachelewa jmn
@kabongaaman7156
@kabongaaman7156 3 часа назад
Zinafika 2000 ila jitaidi uongeze na dkk pia mhn hii ni kiboko ya daktari😂😂😂😊
@HudhaimatHaji-wf8nh
@HudhaimatHaji-wf8nh 3 часа назад
​@@RatifaIssa-oi1zu😂😂😂kwa kweliii bora
@ELIAMICHAEL46
@ELIAMICHAEL46 3 часа назад
Ucjalii wala Mzee
@mohamedlopa8410
@mohamedlopa8410 3 часа назад
Ambao tunaomba mipango ya mama tina na mumewe ifeli ili wahumbuke pease like hapa tujuane,,,😅😅😅😅😂😂😂😂😂
@Farthun
@Farthun 2 часа назад
Naita feli kweli 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@MarthaNyangoto
@MarthaNyangoto 2 часа назад
Tayali wameumbuka washenzi sana 😂😂😂
@HappyJumwa-h9e
@HappyJumwa-h9e Час назад
tyr imeaanza kufeli wapuuz hawa tamaa tuu
@Mkambe-tr3iz
@Mkambe-tr3iz Час назад
❤❤❤❤
@aaminaasljbgbvf745
@aaminaasljbgbvf745 Час назад
Sana tuuu mambonimoto 😆😆😆
@Jeremiah798
@Jeremiah798 3 часа назад
Tunao muombea Kelvin afike 700k🎉🎉 subscribers huu mwezi tujuane❤❤
@نيجي-ن1د
@نيجي-ن1د 54 минуты назад
Akizingatia tu kutuletea vitu kwa wakati hiyo ni rahis sana
@judithpendo9985
@judithpendo9985 2 часа назад
Ila kelvin wamletea matatizo loveness jmn 😢😢team strong hoyeeeeeeeeee team donta family 🤗🤗 nawapenda nikiwa 🇸🇦🇰🇪🥰 Riyadh
@SalwaAsso
@SalwaAsso Час назад
Uko riadh sehmu gn
@CarolinekaladzeJambo
@CarolinekaladzeJambo Час назад
Hoyeee ❤❤
@JohnAdam-m7o
@JohnAdam-m7o Час назад
Riyadh 😅😅
@MariaAgustinou
@MariaAgustinou 56 минут назад
Hoyeee
@MariaAgustinou
@MariaAgustinou 55 минут назад
Tujuane Jaman kitu nacheki nipo Dubai ongera Kevin kwani unatupa raaa💯💯🥰🫶❤️
@JosephDismas-f7w
@JosephDismas-f7w 3 часа назад
🎉❤🎉 ahsante kaka kelvn kwa saplize ii ❤ wanaokubali gonga like apa please
@MussaMatata-d7v
@MussaMatata-d7v 3 часа назад
Mimi wakwanza jamani nimewahi..unaesoma comment hii mungu akubariki sana..ata mkinipa like sio mbaya..😎😎😎😎
@cartoonpati2914
@cartoonpati2914 44 минуты назад
Amen
@lucywaithira-li8jz
@lucywaithira-li8jz 37 минут назад
Amen
@MussaMatata-d7v
@MussaMatata-d7v 22 минуты назад
🙏
@Scholaticatoyi
@Scholaticatoyi 16 минут назад
Amen 🙏
@mejumaaramadhan8811
@mejumaaramadhan8811 3 часа назад
Mm wa kwanza from kenya 🎉 kama wewe n mkenya gonga like plz
@FaidhaRamadhani-p6i
@FaidhaRamadhani-p6i 2 часа назад
Jaman vipenz vya lovenes na kelvin mje hapa ❤ nawapenda sana donta tv mungu azidi kuwabariki katika kazi zenu❤🎉🎉🎉🎉
@JosephatiJumanne
@JosephatiJumanne Час назад
Nakupenda dadaa
@fahilashukuru1476
@fahilashukuru1476 3 часа назад
Like zenu kwa wingi kama mnamkubari loveness kuwa Mrs kevi
@ZeinabBakar-je4nr
@ZeinabBakar-je4nr 3 часа назад
Tunao peda kazi ya team ya dnt alafu mm wakwanza naombeni like kutoka 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤❤❤❤❤❤ tuko pamoja
@glorymanga3650
@glorymanga3650 3 часа назад
Nipo hapaa wa kwanza ilaa wacha tuangalie movie kwanza❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@Jennifersenkondo-h7z
@Jennifersenkondo-h7z 3 часа назад
Jaman me Leo wakanza naomben like❤❤❤❤
@VictoriaDawiteh
@VictoriaDawiteh 2 часа назад
🙋
@Trizahteryy
@Trizahteryy 3 часа назад
Jamani tangu nianze kuwatch hii kipindi hakuna like niliopata tafadhali team Kevin Anguka na like kama unampenda ❤❤❤❤❤❤❤
@MugabeMedard-yf9jn
@MugabeMedard-yf9jn 3 часа назад
Nawatakia jumapili njema nyote mungu awe nanti . ila kama utafurahi kelvin wakiachana na tina gonga hapo
@mohamedlopa8410
@mohamedlopa8410 3 часа назад
Yoyote uatakayesoma hii comment mungu akubalik ww na uzao wawe na tabia nzuri kama loveness na ambao tunaomba tina haachike na kelvin please like tujuane💕💕💕💕💕💕💕
@HappynessJoseph-s1e
@HappynessJoseph-s1e 2 часа назад
🎉🎉🎉
@mohamedlopa8410
@mohamedlopa8410 2 часа назад
😂❤
@mohamedlopa8410
@mohamedlopa8410 2 часа назад
❤❤❤
@SofiyaSur
@SofiyaSur Час назад
Mimi naomba kwanza tina afumaniwe na kevlini
@trueone365
@trueone365 3 часа назад
Number one from Burundian tunawapenda Sana nipeni izo like ata mbili zinatosha
@Kabybukavu
@Kabybukavu 3 часа назад
Wakwanza fro dr conco naomba ata liké kumi jmn❤❤❤
@fardamkali5866
@fardamkali5866 3 часа назад
Duh yaaan dk 1 tu tayar tunakanyagana kwenye coment. Love it na like nyinginyingi
@MustyNgongo
@MustyNgongo 3 часа назад
Wakwanza leooooo🎉🎉🎉🎉 ata like ishirini tu🙄🙄🙄 sinema yetu pendwa tuliekuwa tunaisubilia kwa ham
@jamilashabani8580
@jamilashabani8580 3 часа назад
kila mtu wa kwnza wa pil na wa Mwish nani
@jamesmutisya5754
@jamesmutisya5754 3 часа назад
Nimewahi Leo,,,ebu piga like tukisonga
@StellaKahindi-m8b
@StellaKahindi-m8b 3 часа назад
Nimewahi leo kutoka Kenya 🇰🇪tuliokuwa tukisubiri mtoto wa boss kwa hamu gonga like tukisonga nawapenda sana isei ❤❤❤❤👌
@JoyGacheri-e5j
@JoyGacheri-e5j 2 часа назад
Uko sure wewe ni mkenya😂😂😂😂
@InukaUangaze-s3y
@InukaUangaze-s3y 3 часа назад
Wapi nduruuuuuu kujeni huku ndio kwetu ❤❤❤❤bureee kwa mafunzo mazuri
@JeniferMassawe-y8n
@JeniferMassawe-y8n 2 часа назад
Yesss ❤❤❤ yaaaani umenifurahisha sana kujuwa ukweli kujuwa ulikuwa na watua ambao siyo house girl nidiye mke wakweli na ila tinaa siyoooooo alafu usimsahau dayana na mama yake kumtibia keep it up dayana ❤❤❤❤❤❤
@JudyJm-y3y
@JudyJm-y3y 2 часа назад
Wauuuuuu leo babake Kevin makofi kwako naona love naeda kupata mwenye hekima ❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@GraceKenya-i4j
@GraceKenya-i4j 2 часа назад
Thanks so much bro kwakutochelewesha episode 🎉🎉🎉 nakwakua leo n Sunday naomba yeyote atakae soma n kulike comment hii Mungu ampe afya, uzima,n tamaniyo la moyo wake 🙏🙏🙏💞💞💞🇰🇪
@WilliamJoel-kz2jv
@WilliamJoel-kz2jv 3 часа назад
One love nimewah leo❤❤🎉🎉
@نملةالمقبالي
@نملةالمقبالي 3 часа назад
Angalau na Mimi Leo nimewahi naomba like kamani❤❤❤
@hodamzungu4107
@hodamzungu4107 3 часа назад
jamani leo nimewahi naomba like zangu sikwaubaya lakin❤❤❤❤
@HudhaimatHaji-wf8nh
@HudhaimatHaji-wf8nh 3 часа назад
nimewahi jmn leo asant donta tv week hii nyingi rahaa❤🎉😊
@Viviankemunto-p4k
@Viviankemunto-p4k 3 часа назад
Hpo sasa hyu ndio kelvin yule tunajua 😂siku Moja mbili unachia mzigo hongera sana Wana donta Tv 🎉🎉🎉🎉
@Purryjacob
@Purryjacob 3 часа назад
First one from kenya i deserve my likes 🎉
@rtrw708
@rtrw708 3 часа назад
Hha nyie tu ni kuomba liké Mimi Léo siwapi ata moja😂😂 mareshe
@MercyChepngeno-c1j
@MercyChepngeno-c1j 3 часа назад
Jamani Kevin tunapongeza kazi nzuri mnayoifanya❤❤❤
@ZuwenaOmar-xk6gq
@ZuwenaOmar-xk6gq Час назад
Iko bomba saana, Nipeni hizo like namimi wlnijisikie nina wadau jaamn kweny hii move kali
@SaideZainune
@SaideZainune 3 часа назад
Mimi apa wakuanza kutoka mozambique naomba like zangu
@Ellywangu
@Ellywangu 3 часа назад
Wakwanza Leo nipeni likes za loveness❤
@SofiaMwashasha
@SofiaMwashasha 2 часа назад
Diana congratulations 👏 you have done ✅ a good job 🎉🎉🎉 much love you siz
@jajauwimana
@jajauwimana 3 часа назад
Leo sija chelewa naitaji hâta marafiki 5 wenye wako 🇸🇦🇸🇦tujuwane kweli❤❤
@AshaKomboBakar-ve9bw
@AshaKomboBakar-ve9bw Час назад
@jajauwimana
@jajauwimana Час назад
@@AshaKomboBakar-ve9bw ❤❤
@Channah254
@Channah254 Час назад
❤❤here
@jajauwimana
@jajauwimana Час назад
@@Channah254 ❤❤
@jajauwimana
@jajauwimana Час назад
@@Renny2080 yes❤
@Mokayaduke
@Mokayaduke 3 часа назад
Leo mimi wa kwanza wapi like za loviness😅
@VincentEkiteles
@VincentEkiteles 3 часа назад
Wa kwanza wapi likes zangu kutoka kenya
@SafiMarieCarmella
@SafiMarieCarmella 3 часа назад
Jamanii wapili leo namimi naombeni like leo nawapenda nyote ndugu zangu❤️
@janethsanga-p6l
@janethsanga-p6l 2 часа назад
Nimependa ukalimu wa candy kwa loveness apewe maua yakeee🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@famidaally2665
@famidaally2665 2 часа назад
Wangapi wanatamani family ya tina ifeli kama mm 😂😂😂❤❤❤
@Encky3v
@Encky3v 30 минут назад
Mpaka hap washafeli sanaaa
@HidayaMbodze
@HidayaMbodze 2 часа назад
Huree tina ameshikwa huku nako diana kafanya ile kitu. Alafu mama kelvin kuumbuka ilhali Kelvin ka win 😂😂😂😂
@TeshmonyAntonio
@TeshmonyAntonio 3 часа назад
kelvin can I advice you to break up with your woman and start a relationship loveness may God will forgive you bro
@FauzCarlos
@FauzCarlos 3 часа назад
Nimekula wa kwanza kulike nipe like zangu
@bahindwaghislain
@bahindwaghislain 3 часа назад
Watu wamekuwa ni wengi mno. Kelvin nazani ungechukuwa kazi🤝
@DoreenKabeby-kw4bj
@DoreenKabeby-kw4bj 3 часа назад
Leo pia nmewai naomba likes ❤️❤️❤️❤️❤️❤️💋💋
@WellngtonpeterJapeth
@WellngtonpeterJapeth 3 часа назад
Me pia nawaomba like
@Namly_mulas
@Namly_mulas 3 часа назад
Hay jamani leo nimewahi nipeni hizo like zenu ❤😂🎉
@Najmahnyangasi
@Najmahnyangasi 2 часа назад
Oyaaaa wa mwisho huyu yuataka like na yeye 😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉kazi nzuri sana Kelvin ❤❤❤❤
@LUGALILAISACK
@LUGALILAISACK 3 часа назад
Npo apa mwamba wa kwanz ad Kelvin mwenyew nmemuwah
@SadaDjuma-e9b
@SadaDjuma-e9b 2 часа назад
Amani ya Mungu iwe juu yetu sisi ote tunaofuatiliya hii movies ya Donta TV,ninawaombea kwa Mungu awape Afya njema,Riski nyingi,awape pia nguvu,awakinge na kila mabaya, awape Ulinzi siku zote za Maisha yenu napia awape mwisho mwema. Aaaaameeen 🤲
@paulinemkambe8121
@paulinemkambe8121 Час назад
Hatimaye loveness ni Mrs Kelvin ❤❤❤❤alhamndulillahi
@MwasemaFadhili
@MwasemaFadhili 3 часа назад
Leo wa Kwanza like wap
@NasmaBahati
@NasmaBahati 3 часа назад
Wakwanza jaman like zangu😅😅😅😅
@eligiverlema524
@eligiverlema524 3 часа назад
Mnanifurahisha mno,hamcheleweshi siku hizi😊😊😊😊
@AdeleVict
@AdeleVict 2 часа назад
Imesha fika ,achiya 26
@moreenfelluzy3243
@moreenfelluzy3243 Час назад
Mkisifiw bas msiw mnachelewesh sas jmn
@RAMADHANCHANDE-t3s
@RAMADHANCHANDE-t3s Час назад
Ni kheri ukweli umeanza kujulikana kama umependa ukweli kuanza kujulikana gonga like hapa
@wilmotkarisa6174
@wilmotkarisa6174 3 часа назад
Hapa naona TALAKA yamuelekea Tina na NDOA ikimuelea LOVENESS❤❤❤ Kama umeliona hilo hebu reply hapa....na usisahau kugonga like💪
@AshaMohd-u7n
@AshaMohd-u7n Час назад
Nitafrai sn kelvin kumuoa love ness . Ninswatayarishia bonge la gift🎉
@jamilashabani8580
@jamilashabani8580 Час назад
Msha maliza kutazama penye nia pana njia Penye Kheir Hapakosi shariii
@jamilashabani8580
@jamilashabani8580 Час назад
Fatuma Mke wa ally na Tina au aisha mke kisi au kizinjaa Mwengine Mmeingiaje humu Jman Aziza na Amina wako Wapi
@jamilashabani8580
@jamilashabani8580 56 минут назад
Mchumia Juani Hulia Kivulini,,, loveness Wangu Neema Kwako Sasa umeteseka sana kwa Kweli Allah anasema alio pendelewa kheir,, Hupewa Mitihan
@HappynessJoseph-k2d
@HappynessJoseph-k2d 45 минут назад
Wote mnaotamani tina afanikiweee😂😂.......mkuje na like zenu hapa😁😁
@SdFft-j5g
@SdFft-j5g 2 часа назад
Alfu Diana asantee kwa kuwaambia ukweli wa mambo wazazi wke na kelvi afadhali wamekua ss🎉🎉🎉
@MalkaNinik
@MalkaNinik 2 часа назад
Nimefurahia sana huyu dada alivyo fanya bila kuchelewesha kwasababu ya mamake
@SdFft-j5g
@SdFft-j5g 13 минут назад
@@MalkaNinik kabisaa, alfu tukute next episode ety alikua ni mawazo au ndoto tuu😂😂😂😂
@Christine-ho5us
@Christine-ho5us 46 минут назад
Jamani leo niko na furaha sana Daina umecheza vizuri sana wote wamefurai kama mimi koga like tukizonga
@FurahaChristine-g8w
@FurahaChristine-g8w 2 часа назад
Thank you baba Kelvin una ni furahisha sana tena n'a huyo malaya Tina awo ndoke arudi nyumbani kwa woo siyo mwanamuke kabisa
@Jojo-y7k8g
@Jojo-y7k8g Час назад
Daah wenye watafulahi Kevin akimuowa Lavi gongeni like hapa from Burundi ❤❤❤
@NyenjeNdeu-u6p
@NyenjeNdeu-u6p 3 часа назад
😂😂😂😂😂😂😂Mimi naona nikiandika haitoshi nimerekodi voice note👇 ▶︎•|၊|။||||။၊|။|||။|||။ 03:53
@narutonaruto4303
@narutonaruto4303 2 часа назад
Umenishinda tabia😅😅😅
@IMAAMUHALLY
@IMAAMUHALLY 55 минут назад
Nimechelewa wapi mimi hapa kutoka south kusin like zen mungu akubaliki
@VictoriaNkole
@VictoriaNkole 2 часа назад
Secretary anajua kunifuraish kiukwel yupo vzr, next pleaz
@SheilaMbajira
@SheilaMbajira Час назад
Jamni Leo hata kama mm ni wa mwisho naomba like kwa kazi nzuri ya wana donta TV
@EmmaculateNzembei-gl1gq
@EmmaculateNzembei-gl1gq 3 часа назад
Thank tulikuwa twaa suburbia sana kumuona loveness
@musanaberanyiratungane7119
@musanaberanyiratungane7119 37 минут назад
Jamani tamaa nimbaya na usaliti pia nimbaya ❤❤❤❤❤❤❤❤
@papysalume9881
@papysalume9881 Час назад
Uhu demu na mukubali sana❤❤❤more love ❤️ 🇿🇦🇿🇦
@annaki318
@annaki318 2 часа назад
Nilichojua Leo ni kwamba hii movie inawadau wengi sanaaa . Aloooooo weeeeeeeeeee DONTA TV burudani kwa woteeee😂❤❤
@augustinbayaga5346
@augustinbayaga5346 3 часа назад
Wa 6 from Burundi 🇧🇮 mnipe like zangu😂
@AaAa-tf7sl
@AaAa-tf7sl 3 часа назад
Waaah Leo umetuweza kka Kelvin ❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@EliyaEstomih
@EliyaEstomih 3 часа назад
Wa kwanza leo naomba like zangu hamjawai kunipa ata Moja ata jamani ❤❤❤❤
@SharonShanny-d7t
@SharonShanny-d7t 29 минут назад
wooow kazi nzuri,,kweli shetani hana mamlaka yoyote na mipango ya nwenyezi Mungu,,lazima mama tina na babaake wakule kivumbi🎉🎉🎉
@Deborahdepsy-qh4rj
@Deborahdepsy-qh4rj 3 часа назад
Jamani wenye tunaomba Tina apatikane araka mama ya kelvin ajue tabia zake navile anapenda kutetea sana
@MargretMburu-z2x
@MargretMburu-z2x 17 минут назад
Film zenyu donta Kwa kweli ni tamu na zenye mafunzo sana hongereni wasani wote WA donta❤❤🎉
@ivybrown958
@ivybrown958 3 часа назад
Wa kwanza leo naomben likes my loves❤❤❤❤
@JastFinancial02
@JastFinancial02 Час назад
Nilikwambia 25 inatoka leo like zangu jaman 🤲
@EveHerbat
@EveHerbat 3 часа назад
Jmn namm nimewahi Leo naombeni like❤️
@AsifiweImani
@AsifiweImani Час назад
Wale watakao soma iyi comment mungu abariki kazi zao, baba Kevin amegudua km wanataka kuiba mali yake kazi nzuri sn kbs .❤❤❤🎉🎉🎉
@SmartyClintz
@SmartyClintz 3 часа назад
Wa kwanza kucomment +254❤❤
@NdayishimiyeAgnes-of2tn
@NdayishimiyeAgnes-of2tn Час назад
Wow hongera baba kelvin,waliomkubali Diana kwa alichokifanya kufikisha taarifa kwa baba kelvin kuhusu familia ya akina Tina msipite tujuane
@TeshmonyAntonio
@TeshmonyAntonio 2 часа назад
finally mmefikia kwenye tulikuwa tunahitaji tunaona sasa mambo yanaenda vigood
@candidamushi-se9mb
@candidamushi-se9mb 50 минут назад
Afadhali Leo duu baba Kev bigup
@catestano
@catestano 3 часа назад
Wakwanza leo like zangu kutoka kwnya
@JamesWisdomtz
@JamesWisdomtz 3 часа назад
Wakwanza Leo ila sijawahi kupata hata likes10😢😢😢
@JastFinancial02
@JastFinancial02 Час назад
Wanasapoti hii drama ya @DONTA TV Isihishe iwe mwendelezo like zenu hapa tuwatambue
@adelaa.magnusy5820
@adelaa.magnusy5820 3 часа назад
Waoooo!! Huy ndiy Kevi sasa kazi on time
@MwanamkuuMwalinendo
@MwanamkuuMwalinendo 2 часа назад
Walio na rahaa km mm kwa mipango ya familia ya Tina kujulikana tijuane kwa like
@JanethMasawe-q5y
@JanethMasawe-q5y 3 часа назад
Wa kwanza Leo jaman like zangu
@Bahati-qd3dj
@Bahati-qd3dj Час назад
Congrats❤❤kazi nzuri👌👌big up👏👏👏
@ElizabethGodfrey-u4n
@ElizabethGodfrey-u4n 3 часа назад
Kazi nzuri❤❤❤
@Mzawadi
@Mzawadi Час назад
Daaaaah Hy movie 😢🔥
@bvrmusica
@bvrmusica 3 часа назад
Wakwanza from kenya🇰🇪🇰🇪 wapi likes za wakenya
@StevenEzekiel-nb8ev
@StevenEzekiel-nb8ev 3 часа назад
Leo wa kwanz mimi jamn like zangu wap😮😢❤❤
@meikoking
@meikoking 3 часа назад
Wakwanza like zangu jamani😂😂😂
@medarute-yo6qz
@medarute-yo6qz 2 часа назад
Ambaooo wamemuunga mkono dayana kutoboa siri tujuwanee😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@ShivoLee-w7w
@ShivoLee-w7w 3 часа назад
Leo nimewahiii jamn like zangu
@InnocentPhotographs-py1md
@InnocentPhotographs-py1md 3 часа назад
Nimekuwa wakwanza jamani 😢 naomba like zenu
Далее
BABA YANGU KIPOFU Full episode /48/ #love
20:27
Просмотров 72 тыс.
RC Helicopter Trick
00:13
Просмотров 8 млн
MY MOTHER EP 29  | Sad Story 💔💔
24:39
Просмотров 20 тыс.
MAUMIVU [4]
18:58
Просмотров 10 тыс.