Тёмный
No video :(

PESA , KUCHEPUKA NA MAWIFI SABABU ZA NDOA NYINGI KUVUNJIKA - CHRIS MAUKI 

Wasafi Media
Подписаться 4,7 млн
Просмотров 7 тыс.
50% 1

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 16   
@aminathaabubakarmasoud565
@aminathaabubakarmasoud565 2 месяца назад
Nampenda sana Mr. Mauki❤❤❤❤❤❤❤
@DosianaLulakuze-bv7fg
@DosianaLulakuze-bv7fg Месяц назад
Kabisa kabisa hapo ni shida
@mamii7935
@mamii7935 4 месяца назад
Shukran lavidavi
@robisonmabaso4720
@robisonmabaso4720 Месяц назад
Nimepata ukakasi kuelewa kwamba kuchepuka na mawifi Ilibidi iwe Kuchepuka mkato alafu mawifi Bila mkato ni maana nyingine kabisa
@herbertbavuma7228
@herbertbavuma7228 3 месяца назад
Mauki naomba uanze na Diva maana naona issue ya ndg,mawifi na wakwee amairudia sana huenda ilmfanya kitu.
@ngwacahnyagwaswa9979
@ngwacahnyagwaswa9979 Месяц назад
Kweli 😂
@DativJoa
@DativJoa 2 месяца назад
mi mchaga ila tangu nkiwa mdogo sijawahi kutaka kuolewa na mchaga
@zenasmjema4050
@zenasmjema4050 2 месяца назад
Ila kwenye Hilo swala la marafiki ni ujinga mume akiwa mjinga ndio basi Tena ndoa hakuna
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 2 месяца назад
Chanzo cha ndoa nyingi kuvunjika ni wanandoa wenyewe, malezi, kwa ujumla ni changamoto, anzia kwa mwanamke mpaka mwanaume hivyo msihamishe makosa ya wanandoa. Kwa wanandugu. Mnazidi kuyakoroga tu,
@DativJoa
@DativJoa 2 месяца назад
uko sawa. wanandoa wakishikana wakawa wamoja, wifi ,mama mkwe nawenginevhata wawe wakorofi ,hawawezi kuvuruga ndoa. mwanandoa ndo anafungua mlamgo.
@hildamarua3112
@hildamarua3112 2 месяца назад
​@@DativJoakabisa
@hildamarua3112
@hildamarua3112 2 месяца назад
Umenena vyema sana
@zayanazayana5518
@zayanazayana5518 3 месяца назад
Vipi na bint akiolewa hataki family ya mume Wakija wazazi wa mume mke anakasirika, pengine mume alikuwa anawasaidia wazazi wake, lakini akifika mke anamkataza Semeni pande zote
@user-kb7zn8lm8m
@user-kb7zn8lm8m 2 месяца назад
Hapo wengi sio kuchukia ndug wa upande wa pili tatizo wanakuja na command zao na wanataka kukucomand hv umeolewa na wangap hii tatizo na kila unachofanya hata kiwe kizur ni kibaya tuu hii tatizo na hapo ukute mwanaume anaegemea ndug zake hii ratizo a wengi hawataki mkae nwanaume auluze mke ongea ndug ongea ajue shida nini atatue kwa uwaz mbele zao nafhan ingekuwa poa kwa wengi
@DativJoa
@DativJoa Месяц назад
@@user-kb7zn8lm8m . Hakuna mke anaeolewa akiwa na chuki ya kuchukia nduguwa mume. tatizo wanaume wengi hawajui kuacha maisha ya zamani na ndugu zao ili waanze upya familia yao. wanataka kama walikua wanawasaidia waendrlee hivo hivo. . mume umeoa sasa ndugu zako wakiwa na shida wanatakiwa kumwambia mke wako . mke aje akuambie muone mtasaidiaje. kama ni pesa mkubaliane na mke kiasi halafu mpe mke awape. otherwise, hawataona thamani ya mke wako .watamdarau. na wakimfharau, mke atawachukia.
@DativJoa
@DativJoa Месяц назад
@@zayanazayana5518 kuna wanaume vilaza mpaka wana saidia familia zao kwa siri. na hizo familia zinajua kabisa kijana wetu hutusaidia kwa siri mkewe asijue. sasa unafikiri mkeo akijua atafurahi? hapo ndo chuki huanza. zikianza sasa wanatafsiri eti hataki nisaidie kume mume alikosa akili . nandugu nao wasema mkewake mbaya hataki atusaidie ndo maana tuasaidiwa kwa siri. kuna wanaume vilaza mpaka wanawaambia ndugu zao eti mke wangu anawachukia. wanakua chanzo cha magomvi
Далее
CHRIS MAUKI AFUNGUKA MAZITO JUU YA SIRI ZA MAMA MKWE !!
18:48
A Minecraft Movie | Teaser
01:20
Просмотров 20 млн
Ishi na Wanawake kwa akili - Dr Chris Mauki
9:01
Просмотров 10 тыс.