Waimbaji walioimba George na wilsoni kinyonga wametangulia mbele za haji aliobaki ni ndogo wao wiliamu kinyonga lakini Hali yake ni mbaya kimaisha ananufaikaje na usanii wake wa muziki mbona serikali ya Kenya haiwaangalii wasanii Bora kama hao walitangaza Kenya sana kimuziki mpaka leo muziki yao ni mipya kwa Kila kizazi inasikitisha sana William kinyonga anafika kukosa hata pakulala na nyimbo zao zinahiti sana afrika ya mashariki looo
Shiiingi haha tana maua Hadi leo paka siku yakiama kweii pesa nisabuni yaloho watu wamepotea kwajiri yashiiingi mungu awalaze mahaii pema kwautunzi wanyimb nzuri nawaiio hai mungu wape nguvu
Yani wimbo wenu kiooo chajamii sana mahana yoye muliyo yaimba ndoyapo ivyoivyo dunia yaleo, tumuombe allah tuzitumie vizuli izi malizetu allahuma amiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,tusitumie nafasi yafedha kuwa nyanyasa wengine wasio kuwanao,mahana shilingi ndo sabuni ya roho
Money kills but it is also a flower Asante sana wa sanii wa les wanyika.You made us go thru our high school life smoothly.Misiki yenu iliweka alama kubwa rohoni za wasikilizagi wskati wa enzi hizo.Mulifanya kazi bora
Reminds me of my time in Arusha , places like Kijenge, Kimandolu, Sanawari....Unga Limited. A fab time of youthful days. Enjoyed mbege while listening to these songs.... nostalgia now miles away in diaspora !
Wilson your good Star was stolen by the enemy,If possible visit Rev Ezekiel Mombasa mavueni you get delivered,if I can get you I can take you there oh God ,not too late brother
@@Shammy-rn3tn the soloist is the son of Wilson Kinyonga. Of course the audio is the original song but the son and the group are just acting as though they're singing live but not. All in all, good to see the son of Wilson Kinyonga.
Enzi za kina Baba zetu hizi, ujumbe uliokwenda darasa wanaimba uhalisia wa pesa hadi uhalisia huo unashuhudiwa hata leo .hewana mabingwa na waliotangulia mbele ya haki MUNGU awafanyie apendavyo maana ndiye m Muumba.
Sina Cha kuongea zaidi ni kazi nzuri walifanya Hawa jamaa ndugu willson George wiliamu na band ya wanyika kwa wote Kila pakuchao nyimbo ni mpya waliotangulia mungu awafanyie taafifu tunawakumbuka bado