Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI
Aya endelea kuchapa Kazi maana wewe ni Mbunge Kiraka yaani huna Jimbo maalumu maana yake ni kwamba ushughulike katika maendeleo na changamoto kwenye majimbo yote ya Tanzania Bara.