Mwanafunzi mazuri WA Mwalimu Nyerere, hongera Sana, Ila kunakautaratibu ambako sikaelewi hivi, Watendaji wachama naserikali kufanya kazi kutengemea kiongozi mkuu aliyepo Kwa wakati huo kidogo kanaleta ukakasi akisema twende hivi sawa kisema tusiende sawa, hapo napata taabu sana
Binafsi sidhani kama unaeleweka kwa kiwango unacho dhani kwa sababu umekuwa ukibadilika badilika kwa maslahi yako binafsi kwa jina la uzalendo. Polepole wa kabla ya Magufuli na Polepole wa kipindi cha Magufili ni tofauti sana picha unayo ileta hivi sasa ni Polepole yule wa kabla ya Magufuli maana inayopatika hapo ni moja tu ukiwa nje ya mfumo wewe ni mkosoaji mkubwa sana ukiwa ndani ya mfumo huonyeshi uzalendo unao uonyesha sasa unataka kumanisha kipindi cha Magufuli na wewe ukiwa katibu mwenezi hakukuwa na mapungufu ya wewe kuongelea hata kwa kufata taratibu za ndani ya chama?mbona hukuwahi kufungua mdomo kukosoa lolote?na records zinaonyesha kipindi cha Magufuli kulikuwa na ukiukwaji mkubwa sana katika chama na serikali!nini kilikufanya ukaee kimya na nini kinakufanya leo ujitoe muhanga?
Hahahahaha Ndg Zang wanasiasa huwa mnachekesha Mkishapoteza Viti🤔🤔🤣🤣🤣🤣🤣hapo ndo huwa mnaona haja ya Uhuru wa Watu kujieleza//Wakati upo Katibu wa Uenezi hukuona kabisa kama Mawazo ya Wengine Yanafaa Kusikilizwa:Leo hii umetemwa ndo unakumbuka Shuka kumekucha.....