Jamani enyi polisi chunguzeni uhalifu ufanywao kwa kina sio kuchukua watu wasio na hatia na nitehemeo la familia mkawaeke tu jamaa zao zikiwa na mitaharumi Tuweni na IMANI kwani hata hiyo Imani imezungumziwa katika vita vya dini 😭😭😭😭😭
Kwani polisi wa pwani wako na adabu aje? Wah! Nyinyi inaonekana mko Marekani na bado mncomplain? Huku bara polisi hutupaka mafuta kwa mgongo wakitumia bakora na kisha they take every last coin in our pockets. Kuoga wanatwambia tunaweza tumia sweat.
For my behalf I thank God because this fellow Kenyans they were brought back while alife without any damage....wacha wawasaidie kwa sababu hayo yalifanywa kinyume na polisi.
Elfu saba zaree hyo kazi ya kuhojiwa na Polisi na unapata mshahara. Mm sioni shida kulingana na vile wanaeleza watekaji hawana ubaya na mtu mzuri ila kwa waghaini. Hatuko salama kama serikali haitaachwa huru kufanya kazi yao jinsi wajuavyo. Sie hoja yetu ni usalama kwa wote.
Wakenya tukiunghana mikono pamoja na kujitolea kwa nguvu kama hawa wanao hojiwa basi ndipo tuta maliza uhalifu wa mapolisi wakoloni na ikiwa hawa mashoga hawaogopi wewe mwanaume unaogopa nini?
@@nusaybahbae8931 Kwajili ni halali kusimaisha mateso za polisi wa koloni na ata hivi ni kweli na wote wanajua kwambha lamu kuna mashoga wenghi na wenghine wanawachokoza bila ya sababu mbhona haufunghi midomo zao?Hauwezi kwajili wewe ni mmoja wa wale mapolisi wa kibandia
Aah hii story ikianza nilikua nimewaka hasira iweje polisi watese wenzetu kumbe ata walikua wakila wanaoga vizuri na kujipaka manukato kwani holiday?tushukuru wako hai tu ile mbaya ni kutesa na kuua watu,lakini wangewaambia wamewashikia nini hapo walikosa
Kwani hawali chakula kwao. Kuchukuliwa kiholela bila ya kujuwa wanapokwenda hayo ni mateso tosha .Lakini wewe ni punda wa bara uko na chuki na watu wa pwani mpaka ndani ya mkundu wako. Fala wewe