Leo Septemba 23 Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kinafanya maandamano ya amani yanayotarajiwa kuanzia Ilala na Magomeni huku lengo kubwa ikiwa ni kupaza sauti zao kuhusu mauaji ya utekaji wa viongozi wenzao yalaiyotokea hivi karibuni.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.
22 сен 2024