Ni swali zuri sana rafiki yangu umeuliza. Kwanza ni kutokana na limitations za muda wa wimbo, kutokana na stations nyingi za habari hawapendi kucheza nyimbo ndefu. Kwaiyo kwa wimbo wa tenzi ni kama tunatoa tu muelekeo ili watu watakaoupenda wauimbe wote. Nadhani hiyo ndiyo changamoto kubwa tunayokutana nayo hasa sisi ambao hatujawa maarufu