Тёмный

PROFESA MBELE AWASHANGAA WASHAURI WA RAIS 

Wasafi Media
Подписаться 4,8 млн
Просмотров 3,9 тыс.
50% 1

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Опубликовано:

 

23 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 17   
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv 2 часа назад
Raisi ana akili za darasani hana maarfa ndiyo maana wana mugeuza wanavyo taka
@juliuszakayo6771
@juliuszakayo6771 2 часа назад
Tuaitaji chaadema kuutanga maandamano ya nchi nzima zianzie kila kitongoji TUONE haw polisi
@RamadhaniKitala-gx6wc
@RamadhaniKitala-gx6wc 2 часа назад
Siku zote ya kuambiwa na changanya na nako ila rais inatakiwa achukue maoni ya wananchi ili tujenge taifa kuliko kuangali ya upande moja
@MsNajma-j7e
@MsNajma-j7e 3 часа назад
Hi bado tutandamana tu ata kmya kmya police hawajui sheria wananchi wap wakaseme..uko bungeni wabunge wakitoa hoja turia anapnga sasa wananchi wap wakaseme
@juliuszakayo6771
@juliuszakayo6771 2 часа назад
Kidoogo naendelea kukiamini chombo chenu maana waandishi wengi sasahiv wa nchi yetu wanatia kinyaa ukisikia wakizisifia serikali na na maovu take utachoka, katiba imeeeka wazi kua Rai anakua na washauri wanaolipwa na Ila Sheria Ina sema pamomoja na ushauri wao pia Sheria hiohio Nina sema halamiki kuutumia huo ushauri anaweza shauriwa vizuri Ila anaweza kuuacha huo ushauri nakutumia akili yake huo ndio ubovu wa katiba na Sheria zetu,
@EllenWaigama
@EllenWaigama 51 минуту назад
Na yeye ni mtazamo yake kama nyie mnavyotoa mitazamo yenu inayoegemea upande wa serikali pasipo kuchambua kwa hali halisia
@PROSPERMAZIGO
@PROSPERMAZIGO 32 минуты назад
Wasafi mnaanza kupoteza ethics ya chombo cha habari.
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 16 минут назад
Kwann
@emmanuelmwakyoma5746
@emmanuelmwakyoma5746 Час назад
Raisi kasema serikali yake Ina interegensia kubwa, na interegensia kubwa Ni bwana msiba bwana Yona wachalinze makonda na shehe mwaipopo, watu waio faa boblia inasema watu wazushi waongo wahaini wachochezi watu walio na moto wa kichawi kwenye nchi ili iungue, raisi akiwaamini hao nchi itateketea. Mie najifika kwenye handaki la Yesu
@philemonsnyanda9450
@philemonsnyanda9450 53 минуты назад
Wangekua na intalejensia wangejua mbowe kalala wapi😂
@ZaidAKissinza
@ZaidAKissinza Час назад
Hii ni redio ya comedy? Maana siielewi ndugu zangu
@philemonsnyanda9450
@philemonsnyanda9450 49 минут назад
Saiv imeanza anza kujirekebisha kidogo zamani huwezi kutamani kusikiliza
@RamadhanAthuman-d4c
@RamadhanAthuman-d4c 3 часа назад
Washauri hewa hao ipo day kitanuka tu
@RamadhaniKitala-gx6wc
@RamadhaniKitala-gx6wc 2 часа назад
Wajina Bora angesikiliza ushauri wa wananchi kuliko hawa washauli wake
@wanainchitvrdc6705
@wanainchitvrdc6705 41 минуту назад
Kumbe kakitenge haka jui hata kusoma kiingereza
@VIPSwahili
@VIPSwahili 35 минут назад
Psychology imemsumbua😂😂
@EllenWaigama
@EllenWaigama 52 минуты назад
Na yeye ni mtazamo yake kama nyie mnavyotoa mitazamo yenu inayoegemea upande wa serikali pasipo kuchambua kwa hali halisia
Далее
Сказала дочке нет!
00:54
Просмотров 262 тыс.
O’zim bilib ketvotudima😅
01:00
Просмотров 1,3 млн
How the Modern Computer Was Really Invented
8:40
Просмотров 55 тыс.
TURKEY | A Muslim Superpower?
13:52
Просмотров 83 тыс.
VIONGOZI WA CHADEMA CHINI YA ULINZI
6:46
Просмотров 2,3 тыс.