Тёмный

Professor Jay: Tulikuwa tunakunywa maji ya bomba la chooni na kushindia mihogo tu (Part 1) 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 36 тыс.
50% 1

Professor Jay anasimulia miaka ya mwanzo ya muziki wake na jinsi ambavyo walifanya kazi katika mazingira magumu na umaskini mkubwa
#ChillnaSky

Опубликовано:

 

5 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 84   
@Yed-B1
@Yed-B1 3 года назад
Interview ya kikubwa sana tunatazama na family kutoka Bahrain
@albertomolo8147
@albertomolo8147 3 года назад
Naona unazifuatilia sana habari za bongo flava bro. Ni Mangi
@SWAHILINATION
@SWAHILINATION 3 года назад
Two legends✊🏿 My inspirations Sky for media and Jay for Hiphop. Tanzania we’re truly blessed
@christiancaden1278
@christiancaden1278 3 года назад
I realize I'm kinda off topic but do anybody know of a good site to stream newly released series online?
@achillesgabriel6847
@achillesgabriel6847 3 года назад
@Christian Caden I use Flixzone. You can find it by googling :)
@zaneari4730
@zaneari4730 3 года назад
@Christian Caden I would suggest FlixZone. You can find it on google =)
@forrestdarren2039
@forrestdarren2039 3 года назад
@Christian Caden I watch on flixzone. You can find it by googling :)
@theceefamily7764
@theceefamily7764 3 года назад
Sns na maximum TV team nawapenda sana,kwani mko on point,wakweli na high Q💪.Napenda Interview ya P'J(mheshimiwa).Mungu awabariki nyote❤️🔥🙏🇰🇪.
@hamedabashir9
@hamedabashir9 3 года назад
Mm nipo omani nawapata vizuri sana sky nakukubar mno hebu weka koment yako nifurai leo👌👌👌☺️
@SimuliziNaSauti
@SimuliziNaSauti 3 года назад
Asante sana Hameda
@noxiousmashairi
@noxiousmashairi Год назад
Nairobi Kenya tunamkubali Proff Jeezy
@vuvuzelajordankhasindu2963
@vuvuzelajordankhasindu2963 6 месяцев назад
I admire this guys, they are so humble. I have been following their interviews. Super proud of you Jay. Peace.
@vuvuzelajordankhasindu2963
@vuvuzelajordankhasindu2963 6 месяцев назад
Forever the King. Jay God bless you. Jay wee ni Mwambaaa. Peace.
@castoljmwalyego3778
@castoljmwalyego3778 3 года назад
Dah nimeenjoy mnooo,memory ni nzuri sanaaaa,zinaburudisha,zinatukumbusha mbali sana.
@georgeburchard4872
@georgeburchard4872 3 года назад
Magwiji wawili juu ya meza moja! Noma sana
@freddieelice6377
@freddieelice6377 3 года назад
Nice interview, daaaah, huwe unakaa na hawa watupe Safari zao, zinavutia Sanaa
@billnemess9369
@billnemess9369 3 года назад
Love from 🇧🇮🇺🇸 professor Jay ndie alinifanya nikaipenda Rap na hip hop kabisa 2006! Nikusaidieje ndo ilinifanya nimujuwe professor Jay! Mpaka sasa naipenda sana ile ngoma sana! I wish Bong hip hop ingerudi kuwa vile!
@zclassicfashionz
@zclassicfashionz 3 года назад
Yani interviews za Pro Jay uwezi choka kumsikiliza maana yuko vizuri anajua kujieleza na anatiririka kwelkweli.
@erickmweta8215
@erickmweta8215 3 года назад
Bless up kutokea Abu Dhabi @simulizinasauti
@vuvuzelajordankhasindu2963
@vuvuzelajordankhasindu2963 6 месяцев назад
The stories are really touching and teaching. Peace.
@Ibratz255
@Ibratz255 3 года назад
Interview Kali mno Sasa ngoja nkaangalie bongo dar es salaam na zali la mental upya
@janvierramazani2189
@janvierramazani2189 3 года назад
Chillna sky na kuwaka naku kubali Sana bro you know how to do interviews all the way from SA I wish to meet you when I come there in dar salama
@vuvuzelajordankhasindu2963
@vuvuzelajordankhasindu2963 6 месяцев назад
Have followed it to the end, very good interview. Indeed Jay aka Nigga Jay is talented. Peace.
@mozeytherealalien5634
@mozeytherealalien5634 3 года назад
🇧🇮🇧🇮 love from burundi
@niyongendakosamuel4674
@niyongendakosamuel4674 3 года назад
Moja kubwa kuliko entervieu zote sky
@zclassicfashionz
@zclassicfashionz 3 года назад
Wakubwa kama wakubwa nyieee.... 👊✋
@sagandamalechampullo659
@sagandamalechampullo659 3 года назад
Good Artist
@davidwalalason7630
@davidwalalason7630 3 года назад
Bcoz of this interview I have to go for the song bongo daresalam
@ThaFunkHouse
@ThaFunkHouse 3 года назад
Ngomanagwa & Joseph FamLeee
@masungajames4250
@masungajames4250 3 года назад
nakipenda sna hichi kipindi bro vp Adam mchovu anatakiwa aje kwenye hicho kipindi kwamana namkubarii sna
@afreecastzaxie
@afreecastzaxie 3 года назад
namkubali sana jay
@vibeanytime8783
@vibeanytime8783 3 года назад
Nipeni like zangu 1k kama wewe ni team SnS
@yvesyveldinhomzee.5682
@yvesyveldinhomzee.5682 2 месяца назад
Legend
@kinani_bwoy
@kinani_bwoy 3 года назад
Kama king waburundi big fizzo the Bantu bwoy
@hamadeddy3046
@hamadeddy3046 3 года назад
Mtafute na Afande Sele hapo leo namuona Profesa Jizzle
@amirimohammed2875
@amirimohammed2875 Год назад
@Femksful
@Femksful 3 года назад
Interview nzuri SANA hii!! 💯%!!
@stellah3844
@stellah3844 3 года назад
Safi sanaaa
@AMwamzola
@AMwamzola Год назад
It's was my favorite song on that time
@kahawathungu
@kahawathungu 3 года назад
Professor Jay mcheshi sana. Ndio maana hazeeki
@salumjumah5648
@salumjumah5648 3 года назад
Interview bora sana hii
@mejakimaro2773
@mejakimaro2773 3 года назад
Endelea kuwa darassa kwa vijana wanaokuja kwenye hii tasnia ya utangazaji bro! Hasa jins yakuuliza maswali
@panjumitindo1135
@panjumitindo1135 3 года назад
Bunda Nyumbani Kipindi Iko Ndo Naanza Shule Ila Kuna Bro Wangu Alikuwa Anamsikiliza Sana Nigga Jay Kitambo Sana
@eliassabbath2480
@eliassabbath2480 Год назад
Bnd home
@emmanmollel8886
@emmanmollel8886 3 года назад
Bonge moja la interview aisee
@hamimualmas9663
@hamimualmas9663 3 года назад
Umempa idea yangu sky nlitaka nifanye part two
@samuelezequiel7612
@samuelezequiel7612 3 года назад
Chilly na sky🔥
@itNeza
@itNeza 3 года назад
Anasema Story za Mwaka nilipo Zaliwa Dhuu ( Legend kabisa Ma 90 huko ) 🙄😁
@ronniebertin3563
@ronniebertin3563 Год назад
Profesa j umeua
@breezy9398
@breezy9398 3 года назад
Mashabiki wa sns naombeni msaada wa ku subscribe channel yang ya you tube 👏👏
@ellymakongo656
@ellymakongo656 3 года назад
Bunda kwetu
@panjumitindo1135
@panjumitindo1135 3 года назад
Nyumbani
@ellymakongo656
@ellymakongo656 3 года назад
@@panjumitindo1135 sehem gan om boy
@janetahmed6948
@janetahmed6948 3 года назад
Intewiew kali ebu leteni lavalava na zuchu yani wcb tafuteni jamani tujue mengi
@qualitydon7753
@qualitydon7753 3 года назад
Always +974 respect sky
@frankkajoba8372
@frankkajoba8372 Год назад
Nature kupakwa powder😂😂😂
@eliassabbath2480
@eliassabbath2480 Год назад
Bunda nyumbani
@msalikemedia
@msalikemedia 3 года назад
Bonge la kipindi 😍
@rashidisaidi8535
@rashidisaidi8535 3 месяца назад
Tunayeiangali 2024 hii intavyuu tujuane
@zclassicfashionz
@zclassicfashionz 3 года назад
Nature 😂😂😂😂😂😂
@AllyMwakyioma
@AllyMwakyioma 9 дней назад
Ya mwaka gani hiyo?.
@vibeanytime8783
@vibeanytime8783 3 года назад
Dah... nimekuwa wa kwanza 🤣🤣
@SimuliziNaSauti
@SimuliziNaSauti 3 года назад
Hongera sana
@shabanimanyank8950
@shabanimanyank8950 3 года назад
@@SimuliziNaSauti mpeni hela sio hongera tuu...
@nurukwilabya2790
@nurukwilabya2790 3 года назад
@@shabanimanyank8950 😆😆😆😆
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 3 года назад
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌
@omarymbalala6224
@omarymbalala6224 3 года назад
Utanambia nn
@rosemofuga6313
@rosemofuga6313 3 года назад
Siri ya urembo ya bwana huyo ni mama lissa
@AMwamzola
@AMwamzola Год назад
Bongo dsm
Далее
Пчёлы некроманты.
00:46
Просмотров 28 тыс.
Salama Na Profesa ep 55 | MAPINDUZI HALISI Part 1
41:30