@@alindaro7978 WEWE HUJUI HADITHI ZA NASIKH NA MANSUKH. ndio ipo hadithi Mtume saw alihalalisha DUFU. Lakini Mtume saw akatoa hadithi nyengine ya kuharamisha DUFU kwa wanawake. Kwaio kujua hadithi moja katika dini hakukufanyi utoe fatawa. Hio haiko sawa. Ni hadithi zilizofutwa kisharia. Ni kama aya ya mwanzo ILISEMA pombe msinywe mkisali tu lakini haikuwa kharamu, na ndipo ikaja aya baadae ya kufuta fatawa ya aya hio NA kuja aya ya kuharamisha moja kwa moja. Sasa haya mambo ya fatawa ni mambo mazito lakini wengi hujiropokea. Hio haitwi ijitihadi bali inaitwa kutoa fatawa kabla kujua.
@@alindaro7978 nilikuwa najaribu kumfunza huyo anae sema bidaa ili ajifunze kuna bidaa zilizokubaliana NA sheria ZAFAA NA kuna bidaa zinazopingana NA sheria. NA bidaa ina MAFHUMU mawili. Ni mada pana lakini waislamu wa skuizi tumezoea kupopoa mambo tu kila mtu AONEKANE shekhe.